Mjuni Lwambo
JF-Expert Member
- Apr 25, 2012
- 11,133
- 12,361
Madame B, just mu ignore naona ameshaanza lager sahizi, ameshaanza kupost pumba.Jamani UNDENIABLE,
Kundi gani nililokuwa nalo.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Madame B, just mu ignore naona ameshaanza lager sahizi, ameshaanza kupost pumba.Jamani UNDENIABLE,
Kundi gani nililokuwa nalo.
Sasa Madame B umeamua kuupangua u first lady kutoka kwa Ben Saanane??au ndo umeamua kutoka na kombati?
yani sio raha tuuu!
ni mijiraha!
naona mjeda anapiga tizi kule monduli akishamaliza atakuja hapa!
Tuko pamoja sana dadangu Madame B. Bahati mbaya bado sijamuona mdau watu8 lakini Nicas Mtei nimemuona amesononeka sijui hakupenda uende kwa komando!!??
c.c Mtambuzi-hivi bado umelela wewe mzee???
watu8Mkuu mie ujio wa komando kwenye familia yetu nimeupokea kwa mikono miwili...najua wale vibaka wa Kino Clain watakuwa wanapita mbali kabisa na kwetu
in between...sio mwanamke wala mwanaume.........hujajua jinsia yake halafu unatiririka mambo kibao.....ilipaswa ujue jinsia yake kwanza......we mtu anaitwa madame kabisa halafu unauliza jinsia yake kweli......Nampenda Madamu B naitaji kujua je ni msichana, na kama msichana je kaolewa, kiukweli nimevutiwa sana na coment zake post na jokes nyingi ambozo zilitengeneza isia za mapenzi juu yake mara nyingi natembelea jukwaa ili la MMU Ingawa sio mchangiaji saanaa, panapotokea ushauri natoa (lejea mada) kama ni Msichana na aujaolewa basi naomba nafasi japo ni fungue ukurasa mpya wa mapenzi nawe, na punde nitakapolejea Tz tuendelee next stage.
Kifupi makazi yangu yapo Monduri Arusha.. Niko china commando training course toka mwishoni wa mwaka wa jana nitapendeza univishe taji soon mwaka 2014 pale Ngerengere morogoro baada ya mafunzo ya miaka mingi ya ukomando na kuwa komando kamili nikimaliza salama mwakani na kupata nishani hiyo niliyoitafuta kwa muda mrefu cheo changu ni Luteni soon nitakua captan ukweli ni wakati sahihi wa mimi kuwa na familia sasa.
Madam B plz ni PM kweli naomba nafasi tuanzishe familia nzuri yenye amani na upendo wa dhati ili tusonge mbele kimaisha ingawa napenda sana mke ambaye sio mwanasiasa na kama mwanasiasa basi awe mpinzani nakupenda Madam B.
"Maisha yanawezekana ukiwa na Nia' ni PM kwa ukwel zaidi.
eeh..eh...yaani hadi Zion Daughter anaenda kwa sangoma......mungu wangu,Aunt Kongosho hebu njoo umtetee mwanao,hivi mama yake mwaJ anajua haya???
Huko kote nimepita nikamalizia traing Guatemala kwenye special forces kabla sijaingia Hellenic Millitary Academy....
Kwanza huyu jama ni best yake Chimbuvu.Sijui tangu lini hapo Kona Bar pamekua China.....
kiplagati26 naomba tusizoeane...... Eti 'Nampenda awe mke wangu,eti Hisia za mapenzi'.jiangalie sana!
Kama unapenda ufaidi matunda ya kazi na mafunzo yote hayo basi achana na Madame B kabisa na ondoa hilo wazo kichwani.FUTA KABISA HILO WAZO
Ameolewa,unadhani hiyo B kwenye jina lake inasimama badala ya nini unadhani 'Beatrice au Brenda'?
Get lost!
I mean mashabiki..........u mdada mcheshi sana humu, lazima una wafuasi mm ni mmojawapo kati ya wengi!!
Mmmmmmh..Kwa staili hii Komando na Chai Chungu mkajinyonge tu.Mpenzi wangu wa kumoyo Ben Saanane, najua unapata wivu sana pale uonapo tunda lako tamu linachumwa mtini.
Ila amini niwewe mmoja tu.
Hahaha!
Mapenzi yana nguvu dah!
Mmmmmmh..Kwa staili hii Komando na Chai Chungu mkajinyonge tu.
Nampenda Madamu B .