Nampenda MADAM B. Napenda awe mke wangu

hao wakata nyonga stejini ni kweli kabisa wengine hamna kitu ,wakishatua kitandai wanakuwa kama nyanya ,,,,,,,,ila sikuwa hilo kwa mtunga hadithi ,ndiyo nimeshajua.
Si mnaona sasa mmeanza kutoa ya Master bedroom!
 
The Pen, jamani.
Eti Bi. Hindu.

Napenda unavyo-flow, anyway. Nikwambie kitu -- seriously? Usiku wa kuamkia leo niliota jina lako. Just that, sijui kwanini, but labda kuna tukio zuri ahead; na huenda likawa ndio hili ombi la jamaa. :A S-heart-2:
 
nimeipenda sana hii ,,,,,, imekaa kiutu uzima zaidi.
Ha ha ha ha!
Kuna kitu kilikua kimenikaba kooni lol,lakini Kwa kicheko cha hii comment naona kimetoka,ila tayari ata kabla sijapost tayari kimerudi tena.
 
Napenda unavyo-flow, anyway. Nikwambie kitu -- seriously? Usiku wa kuamkia leo niliota jina lako. Just that, sijui kwanini, but labda kuna tukio zuri ahead; na huenda likawa ndio hili ombi la jamaa. :A S-heart-2:

Kweli?
Basi itakuwa ni za huyu mjamaa.
 
Mi nilikuwa najua komandoo ni mtu jasiri na mvumilivu, kumbe kwenye maloveeeee hakuna uvumilivu!!!!!!
Yaani mwandiko wa Madame B umekuzingua, je ukiona sura yake si ndo ungechafua suruali hapo hapo!
 
Niko wapi hapa? Mbona hii thread imekaa kaa ki CC?
 
Mi nilikuwa najua komandoo ni mtu jasiri na mvumilivu, kumbe kwenye maloveeeee hakuna uvumilivu!!!!!!
Yaani mwandiko wa Madame B umekuzingua, je ukiona sura yake si ndo ungechafua suruali hapo hapo!

Hahaha!
Hapana chezea utamu regan morgan.
 
Last edited by a moderator:
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…