kiplagati26
JF-Expert Member
- Jul 24, 2012
- 305
- 135
- Thread starter
-
- #521
kiplagati26..............
Mpaka dk Hii, Sijajua unanizungumzia Mie Madame B au yule member mwingine Madam B.
Nikipata jibu hilo ndipo nitaendelea.
CHAI CHUNGU..............., Naona umamponda sana Kaka wa Watu, sijui kakukosea nini.
Kumbuka..... Ile Thread yako.
kwani sijaku PM Mpenzi wangu aaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa usiniangushe bana
Ungem-PM kwanza...sisi hbr zako za ukomando wa kichina hautusaidii! Shenzytypeeeee
kiplagati26 naomba tusizoeane...... Eti 'Nampenda awe mke wangu,eti Hisia za mapenzi'.jiangalie sana!
Kama unapenda ufaidi matunda ya kazi na mafunzo yote hayo basi achana na Madame B kabisa na ondoa hilo wazo kichwani.FUTA KABISA HILO WAZO
Ameolewa,unadhani hiyo B kwenye jina lake inasimama badala ya nini unadhani 'Beatrice au Brenda'?
Get lost!
Huyu Madame B ndo yule anayeshinda jukwaa la wakubwa na anasemaga mwenyewe anapenda madude makubwa na yampitie kotekote au ni mwingine?
Ka ni yeye basi usipompa kotekote atatafuta kwingine.
Ule ni ubunifu tu ktk kulichangamsha jukwaa.
Ina maana wale wote wanayoyasema yale mabaya pale jukwaani nao pia wanayatenda?
Pembua ubongo wako KakaJambazi
Huo ubunifu utalifanya penzi lenu lidumu.
Usihofu ukadhani atakuona sio wife material. What if marinda hamna!
aiyayayayayayyayy!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
mambo iko huku babuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuu, mwli snowhite na cacico pasi kumsahau mwaJ njooni sasa tuanze kuimba
'''' achia ngazi babu mchuma unaondoka huoooooooooooooooooo
'''''achia ngazi babuuu chuma unaondoka huoooooooooooooooooooooo
ulinitemaaa aseme niniiiiiiiiiii, iukanisemaaaaa sasa nakula vyanguuuuuuuuuuuuuu
naona mambo yako huko taarabu imo taarabu imo nana mambo yako huku weeeeeeeeeeeeeeee utaumiza roho yakooo enhhhhhhhhhhh!!
cc CHAI CHUNGU Madame B na Paloma
Elewa nisemacho.
Mpendwa kiplagati26,
nafurahi sana kusikia msimamo wako kwangu mimi.
Najua watu wengi watakuchukulia tofauti kwa sababu tu eti ungeyamaliza Pm.
Pm ni kachumbali ndani ya jamvini ambalo ni pilau.
Nashukuru sana kwa kunipenda.
Tumwombe Mungu tufike Mbali.
Sasa Madame B ulikuwa unanisumbua sumbua sas huyo ndege tunduni!!zile habari zako nikupeleke kwa mganga wa mapenzi!ulikuwa umeisha nichosha kilasiku ila nilikuwa naona soo kukwambia maana kila ukiona kibao mganga wakienyeji kutoka sumbawangu,nigeri ulikuwa ukitaka kujua habari zake!!Sasa utapumzika kuwa Popo tuachie upopo mimi na Paloma, amu, Zion Daughter, Vin Diesel Kipaji Halisi, figganigga, gfsonwin>>>>BTW ntakumisi kwenye baa zetu za usiku mwingi Paloma ongeza uzito tutammiss sana maana komando akikustukia anakuvunja mbafu!!:rockon::rockon::rockon::rockon:
Vp akikosea! utafurahia utamu au utazuga unaumia?!
hahahahaaaaaa KakaKiiza bhanaaa.....!!!
huyu komandoo asituletee kiwingu...tutamwendea kwa dr matunge mwenyewe atamuachia Madame B tutaendeleza upopo. kama vipi tumfanye na yeye ajiunge nasi kwenye upopo!!! si unajua atatufaa katika adventure zetu kama mkoko kuingia mtaroni - komando atalinyanyua tu- so yafaa tumuwahishe huyu!!