Ben Saanane
JF-Expert Member
- Jan 18, 2007
- 14,580
- 18,193
Ahsante kwa kuliona hilo kaka Sting
Kifupi tu ni kua nishajivua gamba. Huyu mleta mada hapa ni Mjeda tena Comandoo, mimi ugomvi nae kwa ajili ya demu siwezi.
Demu mwenyewe mara Ben Saanane, mara Chimbuvu, mara Nicas Mtei, halafu kuna jamaa gani sijui wa Arusha.
Yaani kwa haraka haraka tu naowajua humu JF ni kama 10 hivi, achana na ambao siwajui.
Kila siku nkiwa nae natambulishwa kwa mashemeji wapya, eti kaka zake.
Nishamfumaga One day Guest House akadai kuna ndugu yake ni mhudumu pale, amepitia kumsalimia.
Kifupi huyu demu hajatulia.
CC Evelyn Salt
asakuta same
mi siku hz nmekuwa mpoleZion Daughter nahitaji maelezo hapa, mimi sina mkwe, sasa huyo unayemzungumzia hapa ni mkwe wangu kwa nani? wewe ama dadako mkorofi snowhite??
Umechekelea nini ma wife??
gfsonwin unauliza kisu machinjioni?? we humuoni Madame B alivyo mdondokea kamanda Ben Saanane?? mjeda wa kichina mwenyewe kanywea sasa tunasubiri kamanda Ben achukue jimbo rasmi.:smile-big::smile-big::smile-big:
Ahsante kwa kuliona hilo kaka Sting
Kifupi tu ni kua nishajivua gamba. Huyu mleta mada hapa ni Mjeda tena Comandoo, mimi ugomvi nae kwa ajili ya demu siwezi.
Demu mwenyewe mara Ben Saanane, mara Chimbuvu, mara Nicas Mtei, halafu kuna jamaa gani sijui wa Arusha.
Yaani kwa haraka haraka tu naowajua humu JF ni kama 10 hivi, achana na ambao siwajui.
Kila siku nkiwa nae natambulishwa kwa mashemeji wapya, eti kaka zake.
Nishamfumaga One day Guest House akadai kuna ndugu yake ni mhudumu pale, amepitia kumsalimia.
Kifupi huyu demu hajatulia.
CC Evelyn Salt
asakuta same
Ha ha ha Shark jiengue mwenyewe......
Wivu tuna lolote chezea Madame B!!!!
endeleeni tu kumfata fata mje mchezee mabuti
Tena nawaonea wewe, Ben Saanane na wengineo, ngojeni mjeda arudi mcheki karate zake........
Evelyn Salt aka angelina Jollie ..kama una chembe ya kujali kwa rafikiyo Madame B basi achana na wajeda. Ben Saanane ndie husband material kwa madame b..La sivyo unataka mataekwondo na makungfuu yamuishie shostito..
ha ha ha,Evelyn Salt aka angelina Jollie ..kama una chembe ya kujali kwa rafikiyo Madame B basi achana na wajeda. Ben Saanane ndie husband material kwa madame b..La sivyo unataka mataekwondo na makungfuu yamuishie shostito..
Evelyn Salt acha fitna shem...tutakutenga kwenye ushem wetu kwanza wewe ni mchochezi juzi uliniambia Madame B hafai kumbe ulitaka kuchochea,ha ha haMi najua shemeji yangu komando ana tru love kwa shoga angu!!!!!!!
huyu shemeji Ben Saanane anamhitaji tu ili wazunguke nae kwenye M4C....
Mi najua shemeji yangu komando ana tru love kwa shoga angu!!!!!!!
huyu shemeji Ben Saanane anamhitaji tu ili wazunguke nae kwenye M4C....
Ha haaaa..Sasa subiri mimi na wewe mpka kieleweke..Nitakufuatilia huko chitchat mpka...Unamfahamu Chidumule??
ha ha ha,
Shem wangu wa ukweli Zion Daughter umemaliza Madame B hili analijua ndiyo maana ameniambia muda huu tuutumie vizuri kuwabaini maadui wa bond yetu.Siamini kama Shem wangu Evelyn Salt ameingia mtegoni kilaini hivi.....
Dah shem wangu Zion Daughter kweli wewe umekamilika na unajua chaguo zuri.huyo mjeda wa kona Bar atarudi baada ya viroba kuisha na kudanganya yupo China.Kwani China muda huu si usiku?Si angeingia au hadi aombe mtu wa kumuwashia kompyutaAtazunguka nae kwa sababu wanapendana na tena WANAWAKE tunaweza ..hivyo na Madame B anaweza pia. Ben Saanane ana upendo wa dhati..nia anayo na uwezo pia anao..huyu ndio shemeji anatakiwa..sio huyu kiplagatu anabip bip halafu anatokomea kusikojulikana..
Usitetemeke..ur my assignment..Ni kondoo tu wa zizi uliyepotea.Nitakurejesha kwa UPENDO.
Kila la kheri mkuu,lakini..............Dah shem wangu Zion Daughter kweli wewe umekamilika na unajua chaguo zuri.huyo mjeda wa kona Bar atarudi baada ya viroba kuisha na kudanganya yupo China.Kwani China muda huu si usiku?Si angeingia au hadi aombe mtu wa kumuwashia kompyuta
Madame B nikizunguka nae nitakua ninawakilisha waume bora wanaothamini wanawake.anaweza,ninampenda
Evelyn Salt acha fitna shem...tutakutenga kwenye ushem wetu kwanza wewe ni mchochezi juzi uliniambia Madame B hafai kumbe ulitaka kuchochea,ha ha ha