CHAI CHUNGU
JF-Expert Member
- Feb 20, 2012
- 7,113
- 933
Hahahahaha!acheni kumzodoa mkaka wa watu, kwani mwafikiri ngerengere wanasoma akina nani?? nahofia tu usije ukawa ni ndugu yangu uliyekwenda kwenye hayo mafunzo mwaka juzi lolz!! hebu ni pm jina lako kwanza
ila best sijui umejuaje umepoint kweli manake lile bodi lake na komandoo ndo ataliweza ila hawa akina CHAI CHUNGU bure kabisaaaaaaaaaaaaaa.
Madame B Madame B toto la kinodoni mwanamke wa bashasha labda nimsaidie tu mta mada kwamba hyu ni mdada single aliwah toa bandiko hapa anatafuta mume wa kweli nafkiri hakumpata wa ukweli na mwenye dhamira kama yako. ni mcheshi, haishi vituko, ana huruma na ni mpishi mzuri kweli tena kote kote.lile body haki ya mungu bora limepata commando ,angefia mtu pale
Ata siyo wivu,commando gani anawaza migegedo asbh asbh?wivu bana !!!!!!!!!!!!!!
wahenga walisema ni kidonda ukishiriki utakonda
hahahahaha. Dada yangu wewe umepinda kweli
Ata siyo wivu,commando gani anawaza migegedo asbh asbh?
Chezeya matifu ya ukommando weye.
Antenna yenyewe haiwezi ku-search lol!
Hahahahaha!
Naona unanipunguzia cv lol.
nicas mdogo wangu huu uzi umenifanya nimepata nguvu ghafla baada ya kukosa kwa siku 4 hivi kisa kuuguza wanangu
ahaaaa kwani me napenda hela sana jamani? sijui nani kaniloga hapa mbona sipati jamani?Bado wewe..Lakn wewe ajitokeze Manager wa bank tena BOT kabisaa.
Commando mwenyewe ndio huyo wa mbele.utakalia majungu mwezio akija hapa na hung hoooooo huyoooooooooooo anamwopoa best yako chezeya komando wewe??
Commando mwenyewe ndio huyo wa mbele.
Ebu mwangalie alivyokata tamaa ya maisha lol!