Nampenda MADAM B. Napenda awe mke wangu

Kaptain una bahati maana na Madam B aliweka bandiko la kutafuta mpenzi nenda Love Connect tafuta Uzi wake halafu jipime uapply.

Ha ha haaaaaaa! Nilitaka kusema hivyo hivyo! Sala za Madam B zimejibiwa. Comando huyooooo kajitokeza mzima mzima. Ila Madam B ule mpango wako wa kugombea ubunge kupitia chama tawala thithiem inabidi uuache. Lol!
 
Last edited by a moderator:

Hahahah.......... Kungwi wangu huyo.
Ok Ni kweli nimepata Ujumbe wake.............. CHAI CHUNGU na Nicas Mtei, Mbona mna wivu?
Au mnataka kunipa mdogo wenu?
Dada gfsonwin hebu Baelezee.
 
Last edited by a moderator:
gfsonwin dah!!naona kama kila siku zinavyosogea ndo tunazidi kusahauliana ila mimi nakukumbuka.......ila kumbuka kumpa ushauli na watch Madame B mpe maktichen party maana ndoa hiyo inanukia!!

Mhhhhhhhhhh......... KakaKiiza, we nawe........Kitchen Party hiyo.
Naja kutoa tamko now now.
 
Last edited by a moderator:
Hahahah.......... Kungwi wangu huyo.
Ok Ni kweli nimepata Ujumbe wake.............. CHAI CHUNGU na Nicas Mtei, Mbona mna wivu?
Au mnataka kunipa mdogo wenu?
Dada gfsonwin hebu Baelezee.

Niwe na wivu kwa dada yangu? Mi namshangaa shemeji CHAI CHUNGU anavyotokwa povu. Akuache upumuweee. Hahaha. Sasa una ruhusa ya kuendelea kuwa member na kucomment kwenye jukwaa la chn kabisa.
 
Last edited by a moderator:

Pole Bujibuji, domo zege linakukosesha mke hivi hivi! Makomando ni jasiri hawaogopi mtu. Komando katangaza kila kitu hadharani kisha anamwita Madam B ajongee PM.
 
Last edited by a moderator:
Pole Bujibuji, domo zege linakukosesha mke hivi hivi! Makomando ni jasiri hawaogopi mtu. Komando katangaza kila kitu hadharani kisha anamwita Madam B ajongee PM.
mwaJ, kila kitu cha kichina ni feki, hata tongozo alilopigwa Madame B ni feki.
Komando mwenyewe wa makaratasi tu huyo.
 
Last edited by a moderator:
Mjeda CHAI CHUNGU ameamua kujidunga viroba baada ya kuzidiwa kete na Komandoo. Hahaha

 
Last edited by a moderator:
Shikamoo mama.Dada snowhite hajambo?

Marhaba mwanangu Zion Daughter, dadako snowhite hajambo. Hebu kwanza bana usinikatishe raha yangu kwenye huu uzi. Mamio namngoja kwa hamu Madam B aje atoe tamko. Boss wangu Madam B mie nakuaminia kwa speed yako ya kukanyaga key board, mbona leo uko goi goi hivyo? Toa tamko linaloeleweka boss we si unaona mwenyewe gfsonwin kishaanza kutuo mastari na sare kesha chagua?
 
Last edited by a moderator:
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…