Nampenda MADAM B. Napenda awe mke wangu

halafu wewe ukipigiwa huchez ngoma ishazimwa waanza kukata mauno maana yake nini??

mwaaaali we acha!tu
yani sijui nilikuwa waaaapi!si ungeni[igia hata simu mweeeeeeeeeeeeee!walahi hili goma wacha tu nikatike mwenyewe hapa mbn linanoga tuuuu!
 

Kwa hio umemkubali.....hatujakuelewa ujue!!
Km ndio............................ayaaaaaaaaaaaaaaaa imekula kwangu sasa, kweli chelewa chelewa utakuta mwana si wako!!
 

Eeeeeepphhhhhhhhhhhh!!!!!!!!!!!!!
Dah!!!!!!!!!!!............. Njia panda.
Ila maji njimeyavulia nguo...............
 
Naombea huyu jamaa komando awe serious, vinginevyo tutashuhudia majanga hapa.
 

mdogo wangu huu sasa ni ukomavu wa kiakili. Ila umeona post yangu sijui namba gania tena nlomwaga usia kwako??

I just want to see you ukiwa na furaha kama mm na sipendi ukate tamaa ama uje ujute mbeleni.
Pia jua kabisa jambo jema huja baada ya mtkisiko mkubwa, usikate tamaa jipange upya endelea na maisha. So far toa mada nimempenda sana kwakua kasema ukweli wake na naamini hutamuumiza wala hutomvunjia heshima kwa namna yyte ile.

Jua kwamba mwanaume yyte hupenda heshima kuliko kupendwa na mwanamke hupenda zaid kupendwa, na huwez kumuheshimu mtu bila kumpenda kadhalika huwez kumpenda mtu bila kumuheshimu. Kwa kuyajua hayo ukawe mama kweli, mchumba mwenye nidhamua na hata mke bora asijute kwenda tanga kutoa mahari wala asijute kulijua jamvi hili.

Napenda kuona mapezi nu yana zaa ndoa takatifu itakayo kuwa mfano hapa jamvini na zaid itaeleimisha wengi zaid.

Nakupenda sana mdogo wangu wa moyoni.
 

ahahahahahahahahahhaahah mwali kwa usomo weye sikuweeeezi!lol!
hebu kaa nae chemba mtoto wa kike
tule mijpilau sisi!
yani mwaka huu mbn ntakoma na mijicolor of weddiiiing hapa Kongosho mwezi wa tano kule Madame B mwezi wa 10 UUUUIWH!
 
Last edited by a moderator:
Ur welcome.
Na leo umeongea kwa hekima sana haijawahi kutokea.Kila la heri katika safari yenu na meli yenu(MV MAPENZI) tunaomba ifike salama.

yaani Zion Daughter, tuombeane uzima, mbona sheshe!!!!!!!!!!

Kwa hio umemkubali.....hatujakuelewa ujue!!
Km ndio............................ayaaaaaaaaaaaaaaaa imekula kwangu sasa, kweli chelewa chelewa utakuta mwana si wako!!

Unaona sasa.................. Ulikuwa unasubiri nini?
Ndo basi tenaaaaaaaaaaaaaaa..................
 
Last edited by a moderator:
mi wangu ushanta tu si wanijua!ukiweo mi huwa na:yo:

sasa somo mi hapa nimepaki mlangoni naita watu ngomani we endeleza somo huko ndani! kirruuuuh!
 
eeeeeepphhhhhhhhhhhh!!!!!!!!!!!!!
Dah!!!!!!!!!!!............. Njia panda.
Ila maji njimeyavulia nguo...............

umeona enh! Dunia ni ya ajabu sana mdogo wangu, unachokiona utakiachaje ni kwakua hujapata mbadala. Kila jambo lawezekana kama una nia ya kweli na hupendikujiumiza so far kumpenda anayekupenda kwa dhati hadi akajilipu jua kwamba ni baraka kwako.

Mungu yuko hivi, hata kwenye viuno vya rahabu ndimo alimotoka kristo, ama hata kwenye viuno vya mke wa uzia ndimo alimozaliwa kristo so usiwe mtu unayeangalia wakati wa sasa bila kutafakari ujao.
 
ahahahahahahahahahhaahah mwali kwa usomo weye sikuweeeezi!lol!
Hebu kaa nae chemba mtoto wa kike
tule mijpilau sisi!
Yani mwaka huu mbn ntakoma na mijicolor of weddiiiing hapa kongosho mwezi wa tano kule madame b mwezi wa 10 uuuuiwh!
mwali aanzisha darasa la usomo Invisible naomba jukwaa la usome mweeeh!
 
Last edited by a moderator:

Mkuu KakaKiiza mbona sasa unatoboa siri?? we unadhani huyu commando kiplagati26 amechanganyikiwa hadi kum-please Madame B?? hayo ni matokeo ya kazi nzuri ya kamati ya ufundi ambayo wewe binafsi ulishiriki kikamilifu kumtafutia na hatimaye kumpeleka.:yo::yo::yo:
 
Last edited by a moderator:
mi ukishakuwa na hizi busara huwa navutaga mkeka nakaa na daftari kabisaaaaa nichkue nondo kwa kumbukumbu za wali wa baadae
 

Kuna nini tena? CHAI CHUNGU hana lake.
 
Last edited by a moderator:
Dogo kiulaini utavuta mashine... ila gia kubwa mno umeanzia...Kunguni hauwawi kwa BOMU... KIDOLE TU SAAIZI YAKE...
 

NAKUPENDA PIA SANA DADA YANGU gfsonwin, Najua ni wapi tulikotaka mimi na wewe, Hakika sijutii kuwa na Dada kama wewe, Si Nyuma ya keyboard tu, bali hata Nje ya JF,
Nakupenda sana gfsonwin, hakika nakupenda.


Amini sitakuangusha.

Ila kwa kuwa home ni monduli sio ishu sana, bora umeenda kwetu!!
Kila la kheri shemeji yangu!!

Hahahah...... Ndo uandae Makazi ili nije huko Ukweni.

yaoge mwali yaogeeeeeeeeeeeeeeeee!

Hahahahaha.......... Mlingo wangu snowhite..........Pole sana, Ndo nayaoga Mwaliwangu.
 
Last edited by a moderator:
Komando Kiplagati26,mimi nakuombea kheri uoe tu nikumegee mke wako ukiwa kwenye Mission mbali mbali.Tafadhali muoe faster utuongezee ladha ya Madame B.Kila la kheri.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…