halafu wewe ukipigiwa huchez ngoma ishazimwa waanza kukata mauno maana yake nini??
Jamani Jamani, Kwanza Kabla ya yote Napenda Nichukue Nafasi hii kuwashukuru Hawa wafuatao kwa kuwa nae Mtarajiwa wangu.........
Napenda niwashukuru: mwaJ, Kaunga, Nicas Mtei, Bujibuji, Dada gfsonwin, ChaiCHUNGU, mtengwa, Zion Daughter, Smile, KakaKiiza, watu8, grand-mal, Paloma, Kiranga, kbm, gobore, BONGOLALA, Yegoo, Passion Lady, bucho, kiwatengu, Crashwise, ndetichia, Fidel80, PakaJimmy, Abdulhalim, Vin Diesel, tungibwaga, giyamo, LiverpoolFC, Preta, Daniel poul, Mvaa Tai, BADILI TABIA, UNDENIABLE, Tetra, HorsePower ,Tabalo, Denis Kasekenya na MUYOOL
Jamani Ninaamini nyie ni wakubwa na Mnafahamu Kitu kiitwacho MAPENZI,
MAPENZI yanaumiza, MAPENZI tanatesa, MAPENZI yanaua.
Nashukuru Kumpata Mtu ambae amewasilisha Hisia zake kwangu, kwa maana nami sasa najiona mwenye thamani.
Nawashukuru sana kwa Michango yenu, Najua kuna wengine Mmeponda kwa kitendo cha kiplagati26 kunitamkia hisia zake, najua hizo ni Changamoto tu katika Jukwaa kama hili, kwani sidhani kuna ambae hapendi kuona mwenzake akiingia kwenye uhusiano.
Dada gfsonwin............Napenda nikushukuru sana kwa kuwaweka wazi hao akina ChaiCHUNGU ambao wametokea kwenda against na kiplagati26 wangu,
Nadhani wewe ni zaiudi ya Somo wangu.
Ila Jamani, Napenda kuwaambia tu kuwa Wanaume wengi wa Humu JF.......mhhhhh!!!!!!!
Kuna baadhi ni waongo na wengine ni wakweli............. Ila naamini mimi ni mtu mzima, Nitapembua Chuya ili nipate mchele safi.
Jamani Ni bora kulitoa lililo rohoni ili uone uwepesi wake.
mdogo wangu sasa naanza kukupa somo mchuchu huyoooooooooooooooooo kesha kuja hana hiayana mkaka wa watu sasa shida kwako.
usintie aibu dada yako, uwe mtulivu, funga akaunti yako ya pm kabisaaa badili na namba ya simu. ujue hapa wapambe wanakutizama kumwaga sumu sasa uwe macho. acha mashoga na mafriend eti watu kutoka LEO TUPO HAPA pawe kituo cha polisi, mitoko isiyokuwa na sababu ikome na zile ofa za nguo mwanayamala bado nazikumbuka uzipige stop kwasasa umeskia??
Jamani Jamani, Kwanza Kabla ya yote Napenda Nichukue Nafasi hii kuwashukuru Hawa wafuatao kwa kuwa nae Mtarajiwa wangu.........
Napenda niwashukuru: mwaJ, Kaunga, Nicas Mtei, Bujibuji, Dada gfsonwin, ChaiCHUNGU, mtengwa, Zion Daughter, Smile, KakaKiiza, watu8, grand-mal, Paloma, Kiranga, kbm, gobore, BONGOLALA, Yegoo, Passion Lady, bucho, kiwatengu, Crashwise, ndetichia, Fidel80, PakaJimmy, Abdulhalim, Vin Diesel, tungibwaga, giyamo, LiverpoolFC, Preta, Daniel poul, Mvaa Tai, BADILI TABIA, UNDENIABLE, Tetra, HorsePower ,Tabalo, Denis Kasekenya na MUYOOL
Jamani Ninaamini nyie ni wakubwa na Mnafahamu Kitu kiitwacho MAPENZI,
MAPENZI yanaumiza, MAPENZI tanatesa, MAPENZI yanaua.
Nashukuru Kumpata Mtu ambae amewasilisha Hisia zake kwangu, kwa maana nami sasa najiona mwenye thamani.
Nawashukuru sana kwa Michango yenu, Najua kuna wengine Mmeponda kwa kitendo cha kiplagati26 kunitamkia hisia zake, najua hizo ni Changamoto tu katika Jukwaa kama hili, kwani sidhani kuna ambae hapendi kuona mwenzake akiingia kwenye uhusiano.
Dada gfsonwin............Napenda nikushukuru sana kwa kuwaweka wazi hao akina ChaiCHUNGU ambao wametokea kwenda against na kiplagati26 wangu,
Nadhani wewe ni zaiudi ya Somo wangu.
Ila Jamani, Napenda kuwaambia tu kuwa Wanaume wengi wa Humu JF.......mhhhhh!!!!!!!
Kuna baadhi ni waongo na wengine ni wakweli............. Ila naamini mimi ni mtu mzima, Nitapembua Chuya ili nipate mchele safi.
Jamani Ni bora kulitoa lililo rohoni ili uone uwepesi wake.
jamani jamani, kwanza kabla ya yote napenda nichukue nafasi hii kuwashukuru hawa wafuatao kwa kuwa nae mtarajiwa wangu.........
Napenda niwashukuru: mwaj, kaunga, nicas mtei, bujibuji, dada gfsonwin, chaichungu, mtengwa, zion daughter, smile, kakakiiza, watu8, grand-mal, paloma, kiranga, kbm, gobore, bongolala, yegoo, passion lady, bucho, kiwatengu, crashwise, ndetichia, fidel80, pakajimmy, abdulhalim, vin diesel, tungibwaga, giyamo, liverpoolfc, preta, daniel poul, mvaa tai, badili tabia, undeniable, tetra, horsepower ,tabalo, denis kasekenya na muyool
jamani ninaamini nyie ni wakubwa na mnafahamu kitu kiitwacho mapenzi,
mapenzi yanaumiza, mapenzi tanatesa, mapenzi yanaua.
Nashukuru kumpata mtu ambae amewasilisha hisia zake kwangu, kwa maana nami sasa najiona mwenye thamani.
nawashukuru sana kwa michango yenu, najua kuna wengine mmeponda kwa kitendo cha kiplagati26 kunitamkia hisia zake, najua hizo ni changamoto tu katika jukwaa kama hili, kwani sidhani kuna ambae hapendi kuona mwenzake akiingia kwenye uhusiano.
Dada gfsonwin............napenda nikushukuru sana kwa kuwaweka wazi hao akina chaichungu ambao wametokea kwenda against na kiplagati26 wangu,
nadhani wewe ni zaiudi ya somo wangu.
Ila jamani, napenda kuwaambia tu kuwa wanaume wengi wa humu jf.......mhhhhh!!!!!!!
Kuna baadhi ni waongo na wengine ni wakweli............. Ila naamini mimi ni mtu mzima, nitapembua chuya ili nipate mchele safi.
Jamani ni bora kulitoa lililo rohoni ili uone uwepesi wake.
this is getting more serious sasa naomba niwe dada na shemeji mkubwa kiukweli tuanze hivi, wewe na CHAI CHUNGU mliishia wapi baada ya ule uzi wake?? je ni kwamba mlipigana kibuti kama ndio its ok nenda na mjeda so far anakuapenda sana na kafunguka ila kama dugu yangau CHAI CHUNGU alikuja kurekebisha mambo nasimama hapa kama mwenyekiti wa UWJ na kama dada yako mkubwa na kama shemeji wa mumeo usiwe mtaka yote. ulikumkubali CHAI CHUNGU basi awe yeye ndo dhemeji.
naelewa ingawa nlikuwa natania kwenye post zilizopita ila kama kweli he still feels you, huitaj kuumiza nafsi yake, wala huitaj kuwa mwanamke asokuwa na masimamo. naweza kuelelewa unapopita na jinsi unavyopata utata nafsini mwako ila ukweli so long as ulimjaza CHAI CHUNGU nafsi mwako basi iwe kama ulivyokuwa umeamua.
Ur welcome.
Na leo umeongea kwa hekima sana haijawahi kutokea.Kila la heri katika safari yenu na meli yenu(MV MAPENZI) tunaomba ifike salama.
Kwa hio umemkubali.....hatujakuelewa ujue!!
Km ndio............................ayaaaaaaaaaaaaaaaa imekula kwangu sasa, kweli chelewa chelewa utakuta mwana si wako!!
mi wangu ushanta tu si wanijua!ukiweo mi huwa na:yo:mdogo wangu huu sasa ni ukomavu wa kiakili. Ila umeona post yangu sijui namba gania tena nlomwaga usia kwako??
I just want to see you ukiwa na furaha kama mm na sipendi ukate tamaa ama uje ujute mbeleni.
Pia jua kabisa jambo jema huja baada ya mtkisiko mkubwa, usikate tamaa jipange upya endelea na maisha. So far toa mada nimempenda sana kwakua kasema ukweli wake na naamini hutamuumiza wala hutomvunjia heshima kwa namna yyte ile.
Jua kwamba mwanaume yyte hupenda heshima kuliko kupendwa na mwanamke hupenda zaid kupendwa, na huwez kumuheshimu mtu bila kumpenda kadhalika huwez kumpenda mtu bila kumuheshimu. Kwa kuyajua hayo ukawe mama kweli, mchumba mwenye nidhamua na hata mke bora asijute kwenda tanga kutoa mahari wala asijute kulijua jamvi hili.
Napenda kuona mapezi nu yana zaa ndoa takatifu itakayo kuwa mfano hapa jamvini na zaid itaeleimisha wengi zaid.
Nakupenda sana mdogo wangu wa moyoni.
eeeeeepphhhhhhhhhhhh!!!!!!!!!!!!!
Dah!!!!!!!!!!!............. Njia panda.
Ila maji njimeyavulia nguo...............
yaani Zion Daughter, tuombeane uzima, mbona sheshe!!!!!!!!!!
Unaona sasa.................. Ulikuwa unasubiri nini?
Ndo basi tenaaaaaaaaaaaaaaa..................
Eeeeeepphhhhhhhhhhhh!!!!!!!!!!!!!
Dah!!!!!!!!!!!............. Njia panda.
Ila maji njimeyavulia nguo...............
mwali aanzisha darasa la usomo Invisible naomba jukwaa la usome mweeeh!
Sasa Madame B ulikuwa unanisumbua sumbua sas huyo ndege tunduni!!zile habari zako nikupeleke kwa mganga wa mapenzi!ulikuwa umeisha nichosha kilasiku ila nilikuwa naona soo kukwambia maana kila ukiona kibao mganga wakienyeji kutoka sumbawangu,nigeri ulikuwa ukitaka kujua habari zake!!Sasa utapumzika kuwa Popo tuachie upopo mimi na Paloma, amu, Zion Daughter, Vin Diesel Kipaji Halisi, figganigga, gfsonwin>>>>BTW ntakumisi kwenye baa zetu za usiku mwingi Paloma ongeza uzito tutammiss sana maana komando akikustukia anakuvunja mbafu!!:rockon::rockon::rockon::rockon:
mi ukishakuwa na hizi busara huwa navutaga mkeka nakaa na daftari kabisaaaaa nichkue nondo kwa kumbukumbu za wali wa baadaeumeona enh! Dunia ni ya ajabu sana mdogo wangu, unachokiona utakiachaje ni kwakua hujapata mbadala. Kila jambo lawezekana kama una nia ya kweli na hupendikujiumiza so far kumpenda anayekupenda kwa dhati hadi akajilipu jua kwamba ni baraka kwako.
Mungu yuko hivi, hata kwenye viuno vya rahabu ndimo alimotoka kristo, ama hata kwenye viuno vya mke wa uzia ndimo alimozaliwa kristo so usiwe mtu unayeangalia wakati wa sasa bila kutafakari ujao.
Jamani Jamani, Kwanza Kabla ya yote Napenda Nichukue Nafasi hii kuwashukuru Hawa wafuatao kwa kuwa nae Mtarajiwa wangu.........
Napenda niwashukuru: mwaJ, Kaunga, Nicas Mtei, Bujibuji, Dada gfsonwin, ChaiCHUNGU, mtengwa, Zion Daughter, Smile, KakaKiiza, watu8, grand-mal, Paloma, Kiranga, kbm, gobore, BONGOLALA, Yegoo, Passion Lady, bucho, kiwatengu, Crashwise, ndetichia, Fidel80, PakaJimmy, Abdulhalim, Vin Diesel, tungibwaga, giyamo, LiverpoolFC, Preta, Daniel poul, Mvaa Tai, BADILI TABIA, UNDENIABLE, Tetra, HorsePower ,Tabalo, Denis Kasekenya na MUYOOL
Jamani Ninaamini nyie ni wakubwa na Mnafahamu Kitu kiitwacho MAPENZI,
MAPENZI yanaumiza, MAPENZI tanatesa, MAPENZI yanaua.
Nashukuru Kumpata Mtu ambae amewasilisha Hisia zake kwangu, kwa maana nami sasa najiona mwenye thamani.
Nawashukuru sana kwa Michango yenu, Najua kuna wengine Mmeponda kwa kitendo cha kiplagati26 kunitamkia hisia zake, najua hizo ni Changamoto tu katika Jukwaa kama hili, kwani sidhani kuna ambae hapendi kuona mwenzake akiingia kwenye uhusiano.
Dada gfsonwin............Napenda nikushukuru sana kwa kuwaweka wazi hao akina ChaiCHUNGU ambao wametokea kwenda against na kiplagati26 wangu,
Nadhani wewe ni zaiudi ya Somo wangu.
Ila Jamani, Napenda kuwaambia tu kuwa Wanaume wengi wa Humu JF.......mhhhhh!!!!!!!
Kuna baadhi ni waongo na wengine ni wakweli............. Ila naamini mimi ni mtu mzima, Nitapembua Chuya ili nipate mchele safi.
Jamani Ni bora kulitoa lililo rohoni ili uone uwepesi wake.
mdogo wangu huu sasa ni ukomavu wa kiakili. Ila umeona post yangu sijui namba gania tena nlomwaga usia kwako??
I just want to see you ukiwa na furaha kama mm na sipendi ukate tamaa ama uje ujute mbeleni.
Pia jua kabisa jambo jema huja baada ya mtkisiko mkubwa, usikate tamaa jipange upya endelea na maisha. So far toa mada nimempenda sana kwakua kasema ukweli wake na naamini hutamuumiza wala hutomvunjia heshima kwa namna yyte ile.
Jua kwamba mwanaume yyte hupenda heshima kuliko kupendwa na mwanamke hupenda zaid kupendwa, na huwez kumuheshimu mtu bila kumpenda kadhalika huwez kumpenda mtu bila kumuheshimu. Kwa kuyajua hayo ukawe mama kweli, mchumba mwenye nidhamua na hata mke bora asijute kwenda tanga kutoa mahari wala asijute kulijua jamvi hili.
Napenda kuona mapezi nu yana zaa ndoa takatifu itakayo kuwa mfano hapa jamvini na zaid itaeleimisha wengi zaid.
Nakupenda sana mdogo wangu wa moyoni.
umeona enh! Dunia ni ya ajabu sana mdogo wangu, unachokiona utakiachaje ni kwakua hujapata mbadala. Kila jambo lawezekana kama una nia ya kweli na hupendikujiumiza so far kumpenda anayekupenda kwa dhati hadi akajilipu jua kwamba ni baraka kwako.
Mungu yuko hivi, hata kwenye viuno vya rahabu ndimo alimotoka kristo, ama hata kwenye viuno vya mke wa uzia ndimo alimozaliwa kristo so usiwe mtu unayeangalia wakati wa sasa bila kutafakari ujao.
Ila kwa kuwa home ni monduli sio ishu sana, bora umeenda kwetu!!
Kila la kheri shemeji yangu!!
yaoge mwali yaogeeeeeeeeeeeeeeeee!