Nampenda MADAM B. Napenda awe mke wangu

Nampenda MADAM B. Napenda awe mke wangu

Last edited by a moderator:
Yaani wewe kwa kuwa ni komando basi unavamia wake za watu na kutaka wawe wake zake, angalia kijana. Ukomando wenyewe wa kichina. Madam B njoo huku unatafutwa na Komando.
Hii ni mizinguo tu bhana hakuna kikosi kama hicho wala kozi kama hiyo na hakuna afisa wa Jeshi anayeweza kuandika pumba hizi kama kweli wewe ni afisa wa Jeshi hebu niambie depth ni nini na inapatikana katika phase gani ya mapambano.
 
Last edited by a moderator:
Mbona Komando ameingia mitini tena??? Kila la kheri Madame B lakini tuahidi wadau wa jukwaa letu lile kuwa hiyo ndoa haitakuwa ndiyo mwisho wa michango yako muhimu kule jukwaani.
 
Mh! Mh! Mh! (busu la mdomoni)

Hizi verse najua mjeda wa kona Bar hatazielewa nitamtafsiria hapo chini kwa kiswahili...ajue penzi letu lilivyo deep



My love, though my spirit be dead
The pumping of my heart will harbor no bitterness

Though my body be buried in the cemetery

My arms will be raised to the heavens

To make petitions of this love, of my love for you

Though my soul be shrouded in death
This fragrance will defy death



Mahabuba wangu, hata nife roho yangu ipae akhera
Mpigo wa moyo wangu hautasheheni la kukera
Masalio ya mwili wangu utazikwa kaburini
Lakini mikono yangu nitayanyoosha mbiguni
Kutoa dua la hili penzi, kukupenda ewe waridi
Ijapo nafsi yangu itagubikwa na mauti
Nakshi hii itapenya na kukaidi kifo
 
Ata siyo wivu,commando gani anawaza migegedo asbh asbh?
Chezeya matifu ya ukommando weye.
Antenna yenyewe haiwezi ku-search lol!

CHAI CHUNGU my dear.
Mbona unamkandia sana mwenzako?
Nini tatizo?
Kunipenda mie au?
Yeye amezipenda Comment hzo hzo unazoponda.
Haya bhana,
ila tambua kuwa Hata ukimponda kwa kiasi gani, mie Madame B sitabadili uamuzi wangu.
Yaliyopita yatabaki stori isiyojirudia.

Naomba msikilize Mwasiti-Mapito.
 
Last edited by a moderator:
Last edited by a moderator:
majany usitake kumsingizia binti yangu mambo ya usangoma. Zion Daughter ni binti mcha Mungu yeye anamtegemea mwenyezi Mungu tu na ndio maana hata wewe pamoja na usharobaro wako umemshindwa kumng'oa. Kama unataka mbinu za kumng'oa inabidi uongee vizuri na sisi wazee sio kupiga kelele mitaani.

Kwakuwa leo tunazungumzia mambo ya rafiki na dada yangu mpendwa kupata Madame B "kiburudisho" cha moyo wake, hayo mengine tutayazungumza panapostahili.

Baba Mkwe hebu acha mambo za kubaniana,ng'ombe wameshuka leo usiku,nitamtuma mshenga a.k.a Mchungaji Bujibuji aje ili tuweke mambo sawa....halafu wale ng'ome 15 waliobaki utakuja kuwachukulia wapi??kumbuka ulisema nikupatie offline
Cc Zion Daughter
C.c Mwa J
 
Last edited by a moderator:
Baba Mkwe hebu acha mambo za kubaniana,ng'ombe wameshuka leo usiku,nitamtuma mshenga a.k.a Mchungaji Bujibuji aje ili tuweke mambo sawa....halafu wale ng'ome 15 waliobaki utakuja kuwachukulia wapi??kumbuka ulisema nikupatie offline
Cc Zion Daughter
C.c Mwa J
majany pepo la uwongo likutoke, ushenga wako kwa Zion Daughter nimeuanza lini?
Kukubariki haina maana kuwa uanze kunitumikisha.
 
Back
Top Bottom