gfsonwin
JF-Expert Member
- Apr 12, 2012
- 18,272
- 20,692
Mpendwa kiplagati26,
nafurahi sana kusikia msimamo wako kwangu mimi.
Najua watu wengi watakuchukulia tofauti kwa sababu tu eti ungeyamaliza Pm.
Pm ni kachumbali ndani ya jamvini ambalo ni pilau.
Nashukuru sana kwa kunipenda.
Tumwombe Mungu tufike Mbali.
hebu hilo neno usilitamke utafkiri gfsonwin nikiita memba wa jamvini bana litie chumvi na pilipili na ndimu litokeapo na ladha nzuri ya mahabat lolz!
ita hata swt wangu kiplagati26 mweeeeeeeeeeeeh! hata haya hadi nikufune ili hali unaskiaga nikimwita shemeji DEAR WANGU??
Last edited by a moderator: