Nampenda MADAM B. Napenda awe mke wangu

Nampenda MADAM B. Napenda awe mke wangu

hayo ndo maneno sasa hapa naaza rasmi kualika wapendwa kwenye mnusoooooooooooooooooooo!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!

naskitika tu kwamba shoga yangu yupo msibani kafiwa na shosti wake Moro yaani leo na sare za kupelekea mahari tungetafuta alllaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaah
Nahisi una masilahi makubwa sana hapa kwenye hii deal,kilichobaki ni kwenda kulishwa vyura na chatu china lol!
 
Kipipi ni dada yako tangu lini?
Acha kujipendekeza Bishanga
Mi sikujui na kwenye list ya kaka zake we hajawahi kukutaja hata siku moja!

Subiri siku ya wewe kutoa mahari ,uhayani kuna kitu inaitwa 'okukurura' sasa kwenye mkeka ndo utajua nani atakuwa amekaa pembeni.
 
Last edited by a moderator:
Aisee unanikumbusha ugomvi wa uttotoni ukishindwa ngumi unang'ata meno,aste aste mkuu CHAI CHUNGU twende taratibu.... Madame B mbona ni kuku wako mwenyewe? Manati ya nini?
Kukaa kimya mkuu inauma!
Bora niwe narusha mawe gizani,ukisikia 'yalaaaaaaaaaah'ujue tayari limempata huyo .
 
Last edited by a moderator:
Nikupe mkakati wa kurudisha penzi la Madame B kwako? Mbona ni kazi rahisi tu?
Nipe huo mkakati mkuu.
Alafu unajua nilivyomkataza kuchangia humu ndani nilikua sahihi.
Sasa na huyo mchina asipokua makini na akajifanya yeye ni mwema atalia siku si nyingi.
 
Last edited by a moderator:
Kukaa kimya mkuu inauma!
Bora niwe narusha mawe gizani,ukisikia 'yalaaaaaaaaaah'ujue tayari limempata huyo .

Relax mkuu,everything will be fine,haiwezekani m kalenjin atoke bonde la ufa huko olemanagchop karibu na naivasha aje atunyang'anye mke hapa. Kwanza nasikia ni mkimbizi kakimbia vagi la uchaguzi kenya kukipoa anarudi.
 
Nipe huo mkakati mkuu.
Alafu unajua nilivyomkataza kuchangia humu ndani nilikua sahihi.
Sasa na huyo mchina asipokua makini na akajifanya yeye ni mwema atalia siku si nyingi.

Nshaanza kukusafishia njia,we tulia mkuu.
 
Madame B nafasi hiyo, jitahidi kum PM huyo anayejiita comando mtarajiwa. Wakati unawasiliana naye jitahidi kujua; kwa nini hakutumia PM kuwasiliana na wewe?, Kwa kadiri ya uwelewa wangu wa mambo ya kijeshi na sababu za kiusalama, haitakiwi kuji expose kama alivyofanya huyo jamaa,nini kimempelekea kujiexpose hivyo? (kama ni kweli). Hayo mambo angeyasema wakati mnawasiliana, ila sio kwa mafunzo ya ukomandoo.
 
::
Hongera Madame B
Umeonyesha ujasiri
Upendo huu wa hiari
Usafiri kwa tamathali
Uwafikishe mbali
Mshinde vingi vizuizi
Umtunze mpiganaji
Usitusahau Jf
::
Mpiganaji Kiplagati
Umejibiwa lako ombi
Uikumbuke tofauti
Ya jeshini na chumbani
Usimpigie bunduki
Bali kitenge marashi

Usitusahau Jf
::
Mpendwa gfsowin
Endeleza maandalizi
Uzipange zote kamati
Kwa ustadi na ufundi
Love connect imetii
Imeunganisha wawili
Katika hizi kamati

Usitusahau Jf
::
Wenye wivu mioyoni
Acheni kupiga ramli
Mtaumbuka hadharani

Mtaadimika jukwaani
Iliandikwa mbinguni
Duniani tuache ujuzi
Usitusahau Jf
::
Baraka nawaombeeni
Watoto mpakateni
Kupenda kama mauti
Asiwepo kuwatengeni
Mfike kilele uzeeni
Maendeleo yapateni
Mola awafute chozi
Tetra nawaageni.

=

Hapo kwa hzo bold Tetra,aminia we kichwa aisee.

Hapo kwa Blue,naidedicate kwa CHAI CHUNGU.

Hapo kwa red,
Inshallah, Amiin, Amiin, Amiin.
Asante Mpendwa Tetra, Utenzi wako nimeupenda sana.
Asante.
 
Last edited by a moderator:
tehe!tehe!tehe!tehe! Kaka tarehe ya nini tena! Umenifurahisha sana ila una nyota hapa jf thread zako unazoweka kituo lazima member and Guest watiririke!
Mkuu we acha,huyu demu kanichanganya kichwa yangu ata sijui hapa nilipo ni nchi gani aise!
 
Subiri siku ya wewe kutoa mahari ,uhayani kuna kitu inaitwa 'okukurura' sasa kwenye mkeka ndo utajua nani atakuwa amekaa pembeni.
Hahahahaaaa unataka nisije?
Ukileta noma kwani nabembeleza?
Naachana na dada yako nabaki zangu na Amyner wangu siunajua ninavyompenda aisee
 
Last edited by a moderator:
Madame B nafasi hiyo, jitahidi kum PM huyo anayejiita comando mtarajiwa. Wakati unawasiliana naye jitahidi kujua; kwa nini hakutumia PM kuwasiliana na wewe?, Kwa kadiri ya uwelewa wangu wa mambo ya kijeshi na sababu za kiusalama, haitakiwi kuji expose kama alivyofanya huyo jamaa,nini kimempelekea kujiexpose hivyo? (kama ni kweli). Hayo mambo angeyasema wakati mnawasiliana, ila sio kwa mafunzo ya ukomandoo.

Mkuu HP1, usiwe na hofu, nilishawasiliana nae kabla, ila alitaka kujihakikishia kuwa hakuna mwingine,ndio maana nikamruhusu afanye chochote ili ajiaminishe.
Asante.
 
Last edited by a moderator:
  • Thanks
Reactions: HP1
Nipe huo mkakati mkuu.
Alafu unajua nilivyomkataza kuchangia humu ndani nilikua sahihi.
Sasa na huyo mchina asipokua makini na akajifanya yeye ni mwema atalia siku si nyingi.

Kwenda zako huko.
We ulikuwa hupendi Comments zangu, lakini wengine wamezipenda.
 
Back
Top Bottom