Nampenda sana lakini ananisaliti mara kwa mara

Nampenda sana lakini ananisaliti mara kwa mara

Haya mapenzi yasikieni tu. Huyu mdada nmempenda mpaka basi. Kila mara namfumania live au nakuta msg za mapenzi kwenye simu jamaa wakimsifia kuwa ni mtamu. (hapa huwa najipongeza kwa kuchagua mtoto ambaye hata wenzangu wana kiri)

Nikimfumania mara nyingi anakuwa mkali nami namwomba msamaha kwa kumuudhi. Hapo naweza mbembeleza hata week nikilia ndo ananisamehe kwa shingo upande sana.

Kiukweli nampenda na sipendi kumpoteza. Huwa namwambia basi anapo ni cheat awe makini nisiwe najua mwenzie anaumiza roho yangu anajibu sawa atajitahidi. Haupiti mwezi anarudia tena.

Nikimuuliza anakuwa mkali kuwa kwa nini namfuatilia na kumfanya akose uhuru.anasema mimi mlalamishi sana.

Sasa toka lasti wiki napiga simu hapokei.nimeenda anapoishi hayupo. Nimehangaika sana. Jana katuma msg kuwa hanitaki tena... Nmeumia sana kwa kweli nawaza nitaishi vipi nami nlishamzoea...natamani kunywa sumu. Hata sijui ipi ndo nzuri. Sijalala usiku kucha namuwazia Kidawa.
Watu wa aina hiyo wanakuwaga " wakali" sababu kubwa " unawanyima uhuru".

Mpe uhuru moja kwa moja. Acha kuwa zoba
 
Haya mapenzi yasikieni tu. Huyu mdada nmempenda mpaka basi. Kila mara namfumania live au nakuta msg za mapenzi kwenye simu jamaa wakimsifia kuwa ni mtamu. (hapa huwa najipongeza kwa kuchagua mtoto ambaye hata wenzangu wana kiri)

Nikimfumania mara nyingi anakuwa mkali nami namwomba msamaha kwa kumuudhi. Hapo naweza mbembeleza hata week nikilia ndo ananisamehe kwa shingo upande sana.

Kiukweli nampenda na sipendi kumpoteza. Huwa namwambia basi anapo ni cheat awe makini nisiwe najua mwenzie anaumiza roho yangu anajibu sawa atajitahidi. Haupiti mwezi anarudia tena.

Nikimuuliza anakuwa mkali kuwa kwa nini namfuatilia na kumfanya akose uhuru.anasema mimi mlalamishi sana.

Sasa toka lasti wiki napiga simu hapokei.nimeenda anapoishi hayupo. Nimehangaika sana. Jana katuma msg kuwa hanitaki tena... Nmeumia sana kwa kweli nawaza nitaishi vipi nami nlishamzoea...natamani kunywa sumu. Hata sijui ipi ndo nzuri. Sijalala usiku kucha namuwazia Kidawa.

One man down kojoa kalale
 
Nyinyi hamjui chalii anapewa nini, unakuta demu ni fundi wa kutoa ndogo
 
HANITHI MKUBWA WEWE!
 

Attachments

  • IMG_20220725_163649.jpg
    IMG_20220725_163649.jpg
    56 KB · Views: 8
Sumu ya panya ni nzuri au kuna Ile dawa ya kuogeshea mbwa nayo inafaa sana, kuna kujinyonga, kuna kujichoma kisu.

Ukapumzike unapostahili.
😂
 
Ifikie hatua matatizo yenu katika mahusiano muwe mnawaambia wazazi mfano mama,yaan hapa nimeumia mwanangu ateseke na mwanamke Malaya,atake kujinyonga sababu kaachwa na mwanamke Malaya[emoji15][emoji119] Daaa....utakufa Kwa ukimwi nyoko wewe!!

Kufa tu maana hujui kuitumia akili Yako vizuri[emoji57] mapenz ya nn kama hamyawez...[emoji34]....kupenda sifa za kijinga,yaan kinachokuuma ni Ile wenzio walikuwa wanakusifu una demu Bomba afu kakutosa.[emoji848] Kakate kidole Zimbabwe japo ufe umewaachia mkwanja wazazi wako.[emoji34][emoji1751][emoji1751][emoji1751][emoji119]
Ndioo...ndioooo
 
Ameshakuona wewe mdhaifu Kwa hiyo atakuendesha na kukusumbua sana iwapo utaendelea na huo uhusiano!

Wewe si mtu wa misimamo, hujiamini.

Epuka ulimbukeni wa mapenzi.
 
Yaani unamfumania mwanamke wako anatombwa, hlf baadae unamuomba msamaha kwa kumuudhi.
Ww hata nikikuita fala, naona sijakufanyia haki.
 
Back
Top Bottom