Nampenda sana lakini ananisaliti mara kwa mara

Wewe huna tofauti na wale wanawauwaa wanawake sababu tu kashindwa kumcontrol na pisii inamburuzaaa... uachee ufalaaa
 
Pumbafu sana kijana huko siyo kupenda huko kunaitwa upumbafu( mbumbumbu)

Kupenda hakuko hivyo mwanamme kupenda lzm amhendo aliyempenda kama huwezi kumhendo uliyempenda jua hujapenda toka mara moja

Utakufa KIFO kibaya sana
 
Hapo hakuna maumivu bwana mdogo ni unadeka tu.

Ushawahi kutana na maumivu ya kuchaniwa mkeka na timu moja?

Achana na mapenzi utakufa mbwaa ww njoo huku tupambane na kanji.

Huko kwa kanji atakufa mapema mno, bora abaki huko huko kwa alikozoea.
 
Really !!!! If that is the case, what are you hanging for !? Just leave before we loose you !!!
 
Faken Kabsa
 
Duh we ni mwanaume wa Aina yake aisee. Mwanamke akionyesha mapicha picha achana naye.
 
[emoji28][emoji28][emoji28]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…