Nampenda sana Mahondaw

Watu wanafiki sana humu hujui tu
Wanaume wanaenda kabisa kwachu kwachu na vimatako vyao kama ubao haooo mpaka kwa Smart kuongea ujinga ilimradi tu
Pumbavvu kabisa wanaume wa hivi
Yataisha tuu shemeji mdogo....

Relax.....katika mahusiano kuna ups and downs.
You need to understand. Na namna ya Ku go through them.
 
Mtakatifu leo umekamatika...

BTW mbona mi sioni picha yoyote?? Au screen yangu ina aleji na jinsia Ke??
 
Watu wanafiki sana humu hujui tu
Wanaume wanaenda kabisa kwachu kwachu na vimatako vyao kama ubao haooo mpaka kwa Smart kuongea ujinga ilimradi tu
Pumbavvu kabisa wanaume wa hivi
Mmmhhh???? Serious???
 
Kwa nn smart911 asije kutuliza hii hali ya hewa..!!? Huyu Dada kweli wamemkwaza. Mkuu smart911 njoo mkuu umtulize shemeji yetu. Hali ya hewa si nzuri huku..!!
 
Sio makavu hii ishu imesukwaa
Mizimu yangu inaniambia kabisa this is planned

Mi bwana leo nipo tayari kwa lolote I don't care
Washaniharibiaa washamivuruga na kuvuruga kila kitu Smart911 hanielewiii nitajiua hakyamungu akili sio yangu hapa ishapaa
pole sana... wana jukwa tulikuwa hatufahamu chochote utusamehe bure... kumbe kuna lililojificha... pole mahondaw atakuelewa naamini..!!!!
 
mahondaw my dear cool down... Don't take serious

Nadhani jamaa anatania tu kama ilivo matani ya Jf sikuzote. Don't panic pls

Na bila shaka hata smart wako ni mtu muelewa na very smart kama ilivo I'd yake...

Hujui tu Valentina yani watu wana vitimanyongo humu dahhhhhhhhhhh!
 
Hahahahaa... akikukodi unistue nikusaidie kuwateka.
Anza mazoez..bro hii Ngoma si lele Mama. Ila naona intelligence imelega lega Mzee.huku suspect kabisaa hii mambo
 
ila huyu mtoa mada nae kwann hasemi kitu kakaa kimya... anasababisha ajali huku..!!!!
 
Reactions: Pep
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…