Nampongeza Hayati Membe kwa kutojilimbizia mali wala kuwaingiza watoto wake kwenye siasa

Resilience

JF-Expert Member
Joined
Jan 4, 2023
Posts
1,096
Reaction score
4,948
Nimefika nyumbani kwa Mzee Membe, ni makazi yakawaida sana tofauti na vile tulivyodhani.

Lakini pia hatua kubwa aliyofikia kisiasa tulitegemea watoto wake wawe wanasiasa lakini hakuna mwanafamilia aliyepachikwa kwenye siasa kwa kubebwa. Amekuwa mtu wa kutokukuiweka familia yake mbele na kuwafanya wanawe wasiwe maarufu nchini.

Nimtakie pumziko la milele
 
Amina, huyu ninamweka kwenye kundi moja na Jackson Makweta (MHSRIP)hawa hawakua royal families, royal families zimeifilisi nchi hii big time kutokana na greed zao,flu kidogo wanakimbilia UK,USA au Millpark Hospital, mlaaniwe na vizazi vyenu ambavyo vinakua na kuishi in a gravy train
 
Ongeza waziri mkuu wa zamani Msuya.
 
Amen
 
Mtu mwenye busara na Upendo hawezi kuwaingiza watoto wake kwenye Siasa!
 
 
Mie pia nimefika kwake Rondo - Chiponda ni maisha ya kwaida.

Naomba kufahamu kuhusu NAF BEACH HOTEL iliyopo Mtwara pembezoni mwa Bahari ni ya nani?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…