Nampongeza Hayati Membe kwa kutojilimbizia mali wala kuwaingiza watoto wake kwenye siasa

Nampongeza Hayati Membe kwa kutojilimbizia mali wala kuwaingiza watoto wake kwenye siasa

Hamfahamu huyo, yule kala kimya kimya uwaziri akiwa kijana kabisa huko bungeni
VIjana hawajui kuwa nchi hii inaongozwa na Cartels by any cost.
Nakumbuka kulikua na fainali moja ya viti maalum ambapo mtoto wa Pinda alifungana na Mpwa wa Yusuf Makamba, kipindi hicho Pinda ndiye waziri mkuu na alialikwa kusimamia uchaguzi ule na Makamba ndiye katibu wa CCM akiwa ndiye mkurugenzi wa uchaguzi ndani ya Chama.
Kilichotokea baada ya mabint wale kufungangana, Mkurugenzi wa Uchaguzi (Makamba), akashauri badala kwenda round nyingine ili kupata mshindi badala yake waandike majina ya wagombea kwenye karatasi tofauti, yakunjwa then apelekewe mgeni rasmi achague jina moja. Wazo likaonekana ni jema.

Mzee Makamba akachana vipande vya karatasi na kuandika majina na kumkabidhi Mheshimiwa Pinda, ambapo akachagua kikaratasi kimoja na yule mpwa wa Makamba akaibuka mshindi na kutangazwa.
Wazee wa nongwa (TISS) pale ukumbini walisha smell something fishy wakawa wanafuatilia kila kitu.

Vile vikaratasi vilipochanwa na kuwa dumped wakaenda kuviokota na kuanza kuviunganisha ndipo wakaona vikaratasi vyote viwili viliandikwa majina ya mpwa wa Makamba, hivyo hakuna namna yule mwingine angeshinda.

Taarifa zilipomrudia mtoto wa Mkulima alionyesha utulivu na kushauri liachwe maana ndiyo siasa na 'mshindi' amesha tangazwa.
 
VIjana hawajui kuwa nchi hii inaongozwa na Cartels by any cost.
Nakumbuka kulikua na fainali moja ya viti maalum ambapo mtoto wa Pinda alifungana na Mpwa wa Yusuf Makamba, kipindi hicho Pinda ndiye waziri mkuu na alialikwa kusimamia uchaguzi ule na Makamba ndiye katibu wa CCM akiwa ndiye mkurugenzi wa uchaguzi ndani ya Chama.
Kilichotokea baada ya mabint wale kufungangana, Mkurugenzi wa Uchaguzi (Makamba), akashauri badala kwenda round nyingine ili kupata mshindi badala yake waandike majina ya wagombea kwenye karatasi tofauti, yakunjwa then apelekewe mgeni rasmi achague jina moja. Wazo likaonekana ni jema.

Mzee Makamba akachana vipande vya karatasi na kuandika majina na kumkabidhi Mheshimiwa Pinda, ambapo akachagua kikaratasi kimoja na yule mpwa wa Makamba akaibuka mshindi na kutangazwa.
Wazee wa nongwa (TISS) pale ukumbini walisha smell something fishy wakawa wanafuatilia kila kitu.

Vile vikaratasi vilipochanwa na kuwa dumped wakaenda kuviokota na kuanza kuviunganisha ndipo wakaona vikaratasi vyote viwili viliandikwa majina ya mpwa wa Makamba, hivyo hakuna namna yule mwingine angeshinda.

Taarifa zilipomrudia mtoto wa Mkulima alionyesha utulivu na kushauri liachwe maana ndiyo siasa na 'mshindi' amesha tangazwa.
Yule binti mtulivu sana, hata mie nilisikia na mtoto wa mkulima alisema achana nayo tulia tu, hilo karatasi sikuwa nalifahamu duniani kuna watu wana roho mbaya na ndiyo wanaishi maisha marefu sasa.

Sent from my HUAWEI KII-L22 using JamiiForums mobile app
 
Nimefika nyumbani kwa Mzee Membe, ni makazi yakawaida sana tofauti na vile tulivyodhani.

Lakini pia hatua kubwa aliyofikia kisiasa tulitegemea watoto wake wawe wanasiasa lakini hakuna mwanafamilia aliyepachikwa kwenye siasa kwa kubebwa. Amekuwa mtu wa kutokukuiweka familia yake mbele na kuwafanya wanawe wasiwe maarufu nchini.

Nimtakie pumziko la milele
Pole yako ama labda una ajenda unataka kuwaaminisha jamii isiyojua undani wake na mali alizonazo na ziko wapi na kaandikisha kwa jina la nani
 
Nimefika nyumbani kwa Mzee Membe, ni makazi yakawaida sana tofauti na vile tulivyodhani.

Lakini pia hatua kubwa aliyofikia kisiasa tulitegemea watoto wake wawe wanasiasa lakini hakuna mwanafamilia aliyepachikwa kwenye siasa kwa kubebwa. Amekuwa mtu wa kutokukuiweka familia yake mbele na kuwafanya wanawe wasiwe maarufu nchini.

Nimtakie pumziko la milele
Kwahiyo unasimanga JMK?
 
Amina, huyu ninamweka kwenye kundi moja na Jackson Makweta (MHSRIP)hawa hawakua royal families, royal families zimeifilisi nchi hii big time kutokana na greed zao,flu kidogo wanakimbilia UK,USA au Millpark Hospital, mlaaniwe na vizazi vyenu ambavyo vinakua na kuishi in a gravy train
Makini sana
 
Nimefika nyumbani kwa Mzee Membe, ni makazi yakawaida sana tofauti na vile tulivyodhani.

Lakini pia hatua kubwa aliyofikia kisiasa tulitegemea watoto wake wawe wanasiasa lakini hakuna mwanafamilia aliyepachikwa kwenye siasa kwa kubebwa. Amekuwa mtu wa kutokukuiweka familia yake mbele na kuwafanya wanawe wasiwe maarufu nchini.

Nimtakie pumziko la milele
Kwa pumziko la milele yeye ndiye aliyekuwa muamuzi mkuu,wewe huna nafasi katika hilo.Kama alicheza karata yake vibaya sorry,bahati yake mbaye.
 
Amina, huyu ninamweka kwenye kundi moja na Jackson Makweta (MHSRIP)hawa hawakua royal families, royal families zimeifilisi nchi hii big time kutokana na greed zao,flu kidogo wanakimbilia UK,USA au Millpark Hospital, mlaaniwe na vizazi vyenu ambavyo vinakua na kuishi in a gravy train
Duh 🙄 !
 
Nimefika nyumbani kwa Mzee Membe, ni makazi yakawaida sana tofauti na vile tulivyodhani.

Lakini pia hatua kubwa aliyofikia kisiasa tulitegemea watoto wake wawe wanasiasa lakini hakuna mwanafamilia aliyepachikwa kwenye siasa kwa kubebwa. Amekuwa mtu wa kutokukuiweka familia yake mbele na kuwafanya wanawe wasiwe maarufu nchini.

Nimtakie pumziko la milele
Kwa upande wangu mimi, tangu Kikwete alipoingia madarakani mwaka 2005; hakuwahi kukosea kitu na hadi anamaliza mhula wake wa uongozi, alikuwa hajakosea kitu. Mara nyingi JK tumekuwa tukimkosesha sisi.

Chaguo la Kikwete kwa Rais wa Nchi mwaka 2015 lilikuwa sahihi kabisa, sisi ndiyo tulimkosesha. Hayati Membe angefanikiwa kuwa Rais mwaka 2015, hata Hayati Magufuli tungekuwa naye na angekuwa yuko huko huko kwenye mabarabara yake
Mungu atuangalie kwa jicho la huruma, aendelee kuwalinda na kuwatunza viongozi wote tulionao muda huu.
Mungu aendelee kwenda na Mama kwa kishindo kikuu
 
Nimefika nyumbani kwa Mzee Membe, ni makazi yakawaida sana tofauti na vile tulivyodhani.

Lakini pia hatua kubwa aliyofikia kisiasa tulitegemea watoto wake wawe wanasiasa lakini hakuna mwanafamilia aliyepachikwa kwenye siasa kwa kubebwa. Amekuwa mtu wa kutokukuiweka familia yake mbele na kuwafanya wanawe wasiwe maarufu nchini.

Nimtakie pumziko la milele
Wapo lakini hawatumii jina la baba yao
 
Sio kweli. Kule mtwara ana bonge la hotel
WATANZANIA bna!Mtu amekuwa waziri wa mambo ya nje Kwa miaka 10.Waziri anapokea million 16 Kwa mwezi pamoja na posho,atashindwa kumiliki hoteli kweli!!Hata kampuni ana uwezo wa kumiliki.Asiwe na project zake sasa huo mshahara alikuwa anaupeleka wapi!Sugu amekuwa mbunge Kwa miaka 10 angalia project alizonazo
 
Back
Top Bottom