Nampongeza Rais Samia kwa kusimama na wakulima kwa kuwaruhusu kuuza mahali popote palipo na Bei nzuri

Hakuna wew chakula kilichozuiwa
Njoo Namanga uone jinsi malory yanavyopita na mahindi yake na mipunga

Sent from my 220333QAG using JamiiForums mobile app
 
Hujalamba uenezi wa mkoa Lucas. Basi hata ujumbe wa bodi ya maziwa na wewe ufuatwe na V8 siku za vikao na posho

Sent from my Infinix X605 using JamiiForums mobile app
Mimi namuunga mkono mh Rais wangu kwa kubeba jembe kwenda shambani ili nyie wamjini mpate chakula na Taifa letu liwe salama kwa kuhakikisha chakula kinakuwepo Cha kutosha nchini kupitia mikono yetu na nguvu zetu
 
Wanao sema eti watakufa njaa nawashangaa, wanamawazo mafupi sana nchi zenye majangwa, lini walikufa njaa.
 
Wewe ni chawa usie kuwa na connection unakaza mishipa yako utatulia

Mimi namuunga mkono mh Rais wangu kwa kubeba jembe kwenda shambani ili nyie wamjini mpate chakula na Taifa letu liwe salama kwa kuhakikisha chakula kinakuwepo Cha kutosha nchini kupitia mikono yetu na nguvu zetu
 
Wanaouza kwa taarifa yako ni wafanyabiashara,wakulima waliuzia mazao yao shambani kitambo sana,
 
Chakula cha kutosha kwa muda gani?!

Na huko kutosha kwake kumezingatia affordability?! Kama nilivyosema, kuna globe food crisis... je, hicho chakula cha kutosha kimezingatia hayo?!
Kipo na Affordable kwa walio wengi labda wale wavivu wanaotaka kupiga alaf wale washibe. Aridhi bado ni kubwa tunataka watu wajiaali kwenye kilimo na bei nzuri ni kivutio kikubwa. Mlikuwa mnacheka humu tulipkosa soko la mahindi yetu Songea, nyanya ilula na mbaazi
 
Wanaouza kwa taarifa yako ni wafanyabiashara,wakulima waliuzia mazao yao shambani kitambo sana,
Nakwambia hivi mwaka huu Bei ya mazao ilikuwa Ni nzuri Tangia wakati wa mavuno hivyo mkulima alipata nafasi ya kuuza kwa Bei nzuri tu, lakini pia siyo wakulima wote wanaouzia mashambani Kama unavyofikiri wewe
 
Wanao sema eti watakufa njaa nawashangaa, wanamawazo mafupi sana nchi zenye majangwa, lini walikufa njaa.
Kama wanajuwa huwa Kuna kuwa na njaa Basi niwakati wao wakwenda kushika jembe na kulima maana Tanzania tumejaliwa kuwa na ardhi yakutosha Tena yenye rutuba nzuri kabisa
 
Mkuu hongera kwa post hii. Huo ndiyo ukweli mchungu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…