Nampongeza sana Aslay Mihogo, vijana kuweni wabunifu

Nipeleke
Au mashangazi hawaruhusiwi
Weka vigezi tujae kwenye mfumo
 
Ubunifu uko wapi hapo??
Mimi hunilishi Samaki na mihogo.
 
Mara nyingi hua naenda kula mihogo na Samaki hapo Coco huku nikiburudishwa na nyimbo za wale vijana, siku hiyo nikasema nikapaangalie hapo kwa Aslay Mihogo, dogo amejua kujibrand ila hakuna tofauti yoyote na wafanyabiashara wenzake wa hapo Coco
 

Attachments

  • Snapchat-1267313633.jpg
    309.7 KB · Views: 8
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…