Hao kina bakhresa wako wangapi na wale wa kukopa songesha wakashindwa kurejesha wako wangapi?.Umaskini haujaletwa na CCM ingekuwa hivyo Mbowe ,Mengi na akina Bakhresa no wasingekuwa mabilionea
Matatizo yako usisukumie C CM sukumia ukoo wako na wewe binafsi kwa kulala fofofo wakati fursa ziko kibao
Hata Chadema wanaipenda CCM kwa sababu inawapa ruzuku na kuwanunua kama bidhaa!
🤣🤣
Dadangu hapo Kigamboni kuna TAWI la CCM....nenda ukajiunge....ni kazi rahisi mno....
#TuwaacheWalalamike
#TuijengeNchi
#KaziIendelee
Kuna bima ya afya wewe ya kujitibu wewe na ukoo wako hata hela za bima ya afya tu hamna ukoo na familia yako choka mbaya!! So lazima mjenge kituo Cha afya kakateno bima ya afya Kama hamuwezi ulofa wenu msisukumie CCMKwa hiyo natakiwa nijenge kituo bora cha afya cha kwangu ili wazazi na watoto wachanga wasifariki kwa kukosa huduma ya afya? Kwa hiyo natakiwa nijitafutie chanzo cha maji safi na salama cha kwangu? Basi sawa nimekuelewa.
🤣👍👍Nikipata muda niende tujenge nchi buana
Aliyekwambia hii nchi haitakuja kutwangana ni nani?.Tumechelewa tu kwa vile watu wameridhika kwasababu tuna bahati ya kua na chakula chakutosha.ila haki ndio msingi wa nchi kua pamoja na hilo likikosekana tegemea lolote.hayo mambo ya majimbo ni visingizio tu unaleta.Ninaipenda na kuishabikia CCM kwa kuwa haina sera za majimbo
Hebu angalia Ethiopia inavyoendelea kuteketea kwa sababu ya sera yao ya majimbo
Watigrinya wa Tigray ni 6% ya raia wote nguvu za kiuchumi, kijeshi na kiushawishi walizonazo zilitokana na kubebwa kimajimbo, leo wanatwangana wanataka kujitenga wanataka waanzishe taifa lao
CCM iliyaona hayo muda mrefu ndio maana huoni katika ilani zao za uchaguzi wanaweka sera za majimbo
Sasa hebu watafakari chadema na sera zao za majimbo
#Kaziiendelee
Huwa najiuliza inawezekana vipi mtu ukashabikia ChademaHuwa najiuliza, hivi mtu kabisa na akili zako timamu unashabikia CCM? Binafsi nina amini wanaoshabikia CCM ni wale wenye maslahi binafsi otherwise uwe taahira. Chama kilichoisababishia nchi ufukara na matatizo lukuki unakishabikia kwa lipi?
At least JPM alipoingia tulianza kuona matokeo kiduchu ya kimaendeleo lakini bado hai-justify ufukara na matatizo lukuki yaliyosababishwa na hiki chama.
Wanawake, watoto wachanga kibao wamepoteza maisha kwa kukosa huduma bora za afya miaka nenda rudi. Huduma ya maji safi na salama vijijini na mijini bado shida, ajira kwa wahitimu hakuna, matatizo chungu nzima.
Jamani hebu nisaidieni labda kuna kitu sikielewi, hivi mnaoipenda CCM nnaipendea nini? Wale wenye maslahi binafsi kwenye chama kama watoto wa mawaziri, wabunge na wateule wa rais kwenye nyadhifa mbalimbali wana sababu ya kuipenda CCM, sasa hawa wengine raia wa kawaida naomba mnisaidie, CCM mnaipendea nini?
mama D johnthebaptist Magonjwa Mtambuka jingalao barafuyamoto YEHODAYA Stroke Kinuju MOTOCHINI Pulchra Animo
Acha ujinga Mpwa,, Zungu ndio bunge? Tuweni wakweli Ndugu zangu, tuna bunge la kipuuzi sanaTozo nasimama na wananchi .Hakuna serikali hundred percent perfect duniani kupandisha miamala wamechemka Hakuna mwananchi alipendekeza Ni Zungu na matatizo yake
Kipengele cha mnufaika ni applicableMuulize mwenyekiti mstaafu wa Bavicha Patrobas Katambi kama anaichukia CCM!
Huwa najiuliza, hivi mtu kabisa na akili zako timamu unashabikia CCM? Binafsi nina amini wanaoshabikia CCM ni wale wenye maslahi binafsi otherwise uwe taahira. Chama kilichoisababishia nchi ufukara na matatizo lukuki unakishabikia kwa lipi?
At least JPM alipoingia tulianza kuona matokeo kiduchu ya kimaendeleo lakini bado hai-justify ufukara na matatizo lukuki yaliyosababishwa na hiki chama.
Wanawake, watoto wachanga kibao wamepoteza maisha kwa kukosa huduma bora za afya miaka nenda rudi. Huduma ya maji safi na salama vijijini na mijini bado shida, ajira kwa wahitimu hakuna, matatizo chungu nzima.
Jamani hebu nisaidieni labda kuna kitu sikielewi, hivi mnaoipenda CCM nnaipendea nini? Wale wenye maslahi binafsi kwenye chama kama watoto wa mawaziri, wabunge na wateule wa rais kwenye nyadhifa mbalimbali wana sababu ya kuipenda CCM, sasa hawa wengine raia wa kawaida naomba mnisaidie, CCM mnaipendea nini?
mama D johnthebaptist Magonjwa Mtambuka jingalao barafuyamoto YEHODAYA Stroke Kinuju MOTOCHINI Pulchra Animo
Magufuli ni mbwa ilimpasa kufaCorona ipo Moshi na Arusha kwa sababu ya laana ya kushangilia kifo cha Magufuli
Vyama vya Upinzani nchini Tanzania vimefanya nini cha maana ili tushawishike kuachana na CCM ili tuvishabikie vyenyewe kama ambavyo unahangaika Kutulazimisha hapa?Huwa najiuliza, hivi mtu kabisa na akili zako timamu unashabikia CCM? Binafsi nina amini wanaoshabikia CCM ni wale wenye maslahi binafsi otherwise uwe taahira. Chama kilichoisababishia nchi ufukara na matatizo lukuki unakishabikia kwa lipi?
At least JPM alipoingia tulianza kuona matokeo kiduchu ya kimaendeleo lakini bado hai-justify ufukara na matatizo lukuki yaliyosababishwa na hiki chama.
Wanawake, watoto wachanga kibao wamepoteza maisha kwa kukosa huduma bora za afya miaka nenda rudi. Huduma ya maji safi na salama vijijini na mijini bado shida, ajira kwa wahitimu hakuna, matatizo chungu nzima.
Jamani hebu nisaidieni labda kuna kitu sikielewi, hivi mnaoipenda CCM nnaipendea nini? Wale wenye maslahi binafsi kwenye chama kama watoto wa mawaziri, wabunge na wateule wa rais kwenye nyadhifa mbalimbali wana sababu ya kuipenda CCM, sasa hawa wengine raia wa kawaida naomba mnisaidie, CCM mnaipendea nini?
mama D johnthebaptist Magonjwa Mtambuka jingalao barafuyamoto YEHODAYA Stroke Kinuju MOTOCHINI Pulchra Animo
Unaposema wananchi hawafaidi matunda ya uhuru isipokuwa viongozi na familia zao umesahau kuwa kabla ya uhuru wananchi haohao walikosa haya yafuatayo:Sawa kwa mfumo huu tulionao umetusaidiaje kupata maendeleo kwa usawa tukiachana na habari za majimbo. Mbona baadhi ya maeneo yenye rasilimali bado wananchi wake wanaogelea kwenye lindi la umasikini licha ya miaka mingi ya kupata uhuru, Sasa nikupe tafakari kidogo nenda katafute kitabu Cha mtu anaitwa W. Rodney "How Europe underdevelop Afrika" ukikisoma vizuri ukaelewa utajua kwanini kuna maendeleo hafifu au hakuna kabisa ni kwamba mzungu alifanikiwa kutugawa ili atutawale Sasa mfumo huohuo ndio uliokuja kutumika baada ya kupata uhuru ndio maana watawala/viongozi na familia zao ndio wanaofaidi matunda ya rasilimali za nchi na sio wananchi kwa ujumla mfano huyo Jiwe alikua anasababu gani ya msingi kununua ndege kwa pesa taslimu wakati kuna huduma za muhimu bado hatujaboresha unakuja kugundua zile ndege watatumia wao zaidi kusafiria kuliko barabara ambayo hata bibi na babu kule vijijini wataitumia kumsafirisha mazao kufikia masoko kwaiyo utaona kabisa Vyama vilivyochangia kuleta uhuru vikiwemo TANU/ASP badae CCM havijaleta majibu ya maendeleo kwa wote ila ni kwa wao wachache ndio maana watu wenye akili bila unafiki hawaitaki CCM
Zero brain. No wonder why CCM is loved by ignorant people. Kazi ya serikali ni nini sasa?Kuna bima ya afya wewe ya kujitibu wewe na ukoo wako hata hela za bima ya afya tu hamna ukoo na familia yako choka mbaya!! So lazima mjenge kituo Cha afya kakateno bima ya afya Kama hamuwezi ulofa wenu msisukumie CCM
familia na Koo za wenye nazo huungana kuchimba visima kwa matumizu yao na hata kuuzia wengine
Wewe unatakiwa uitishe kikao Cha ukoo mchapane viboko kuwa maji ardhini yako kibao tunashindwa Nini Kama ukoo kuchimba kwa matumizi yetu?
Mnashindwa hata kuchimba kisima au Bwawa mdake maji ya mvua ? Look.Huko kwenu sio kwa kuoa Wala kuolewa ni kuchovu mno
Pia tandikaneni viboko kuwa inakuwaje ukoo mzima tunashindwa kununua bima ya afya ili kila mwanaukoo akipata shida anatibiwa hospitali za kueleweka?
Narudia Tena umaskini wako na familia yako na ukoo wako ukome kuisukumia CCM.
Mnawaibia kura kwa nguvu ya dola Kama mnajiamini mnapendwa Sana na watanzania na Kama mnajiamini mna clean sheets kwenye ustawi wa taifa hili viambieni vyombo vya dola vikae pembeni na kuwe na tume huru ya uchaguzi plus katiba mpya mkishinda hata kata moja kwa haki nchi nzima achiliambali udiwani na urais nyie vidume.Vyama vya Upinzani nchini Tanzania vimefanya nini cha maana ili tushawishike kuachana na CCM ili tuvishabikie vyenyewe kama ambavyo unahangaika Kutulazimisha hapa?
Ni kweli CCM kunaweza kuwa na Changamoto hasa kutokana na Ukongwe wake ila kwa Wapinzani wao hata bado hawajapewa Dhamana ya Kutuongoza Watanzania wameshaanza kutuonyesha Nyufa zao nyingi za Kimsingi ambazo kama wakipewa nchi wanaweza Kuharibu zaidi.
Ni Udhaifu mkubwa uliopo Upinzani ndiyo unaoifanya CCM ambayo inajua Kujisahihisha na Kujipambanua vyema kwa Wananchi wake izidi si tu Kukubalika na Kuaminika kwa Ustawi mzima wa Watanzania na Taifa zima la Tanzania.
Kujisahihisha? Give me a break. Wapi CCM imejisahihisha? Tuonyeshe matunda ya kujisahihisha. Au tuonyeshe nchi ilikuwaje kabla na baada ya ccm kujisahihisha.Vyama vya Upinzani nchini Tanzania vimefanya nini cha maana ili tushawishike kuachana na CCM ili tuvishabikie vyenyewe kama ambavyo unahangaika Kutulazimisha hapa?
Ni kweli CCM kunaweza kuwa na Changamoto hasa kutokana na Ukongwe wake ila kwa Wapinzani wao hata bado hawajapewa Dhamana ya Kutuongoza Watanzania wameshaanza kutuonyesha Nyufa zao nyingi za Kimsingi ambazo kama wakipewa nchi wanaweza Kuharibu zaidi.
Ni Udhaifu mkubwa uliopo Upinzani ndiyo unaoifanya CCM ambayo inajua Kujisahihisha na Kujipambanua vyema kwa Wananchi wake izidi si tu Kukubalika na Kuaminika kwa Ustawi mzima wa Watanzania na Taifa zima la Tanzania.