Namshangaa sana mtu anayeishabikia CCM

Namshangaa sana mtu anayeishabikia CCM

Umaskini haujaletwa na CCM ingekuwa hivyo Mbowe ,Mengi na akina Bakhresa no wasingekuwa mabilionea

Matatizo yako usisukumie C CM sukumia ukoo wako na wewe binafsi kwa kulala fofofo wakati fursa ziko kibao
Hao kina bakhresa wako wangapi na wale wa kukopa songesha wakashindwa kurejesha wako wangapi?.
 
Kwa hiyo natakiwa nijenge kituo bora cha afya cha kwangu ili wazazi na watoto wachanga wasifariki kwa kukosa huduma ya afya? Kwa hiyo natakiwa nijitafutie chanzo cha maji safi na salama cha kwangu? Basi sawa nimekuelewa.
Kuna bima ya afya wewe ya kujitibu wewe na ukoo wako hata hela za bima ya afya tu hamna ukoo na familia yako choka mbaya!! So lazima mjenge kituo Cha afya kakateno bima ya afya Kama hamuwezi ulofa wenu msisukumie CCM

familia na Koo za wenye nazo huungana kuchimba visima kwa matumizu yao na hata kuuzia wengine

Wewe unatakiwa uitishe kikao Cha ukoo mchapane viboko kuwa maji ardhini yako kibao tunashindwa Nini Kama ukoo kuchimba kwa matumizi yetu?

Mnashindwa hata kuchimba kisima au Bwawa mdake maji ya mvua ? Look.Huko kwenu sio kwa kuoa Wala kuolewa ni kuchovu mno


Pia tandikaneni viboko kuwa inakuwaje ukoo mzima tunashindwa kununua bima ya afya ili kila mwanaukoo akipata shida anatibiwa hospitali za kueleweka?

Narudia Tena umaskini wako na familia yako na ukoo wako ukome kuisukumia CCM.
 
Kibaya machoni pako si lazima kiwe kibaya machoni pa mwingine and vise versa.
 
Ninaipenda na kuishabikia CCM kwa kuwa haina sera za majimbo

Hebu angalia Ethiopia inavyoendelea kuteketea kwa sababu ya sera yao ya majimbo

Watigrinya wa Tigray ni 6% ya raia wote nguvu za kiuchumi, kijeshi na kiushawishi walizonazo zilitokana na kubebwa kimajimbo, leo wanatwangana wanataka kujitenga wanataka waanzishe taifa lao

CCM iliyaona hayo muda mrefu ndio maana huoni katika ilani zao za uchaguzi wanaweka sera za majimbo

Sasa hebu watafakari chadema na sera zao za majimbo

#Kaziiendelee
Aliyekwambia hii nchi haitakuja kutwangana ni nani?.Tumechelewa tu kwa vile watu wameridhika kwasababu tuna bahati ya kua na chakula chakutosha.ila haki ndio msingi wa nchi kua pamoja na hilo likikosekana tegemea lolote.hayo mambo ya majimbo ni visingizio tu unaleta.
 
Huwa najiuliza, hivi mtu kabisa na akili zako timamu unashabikia CCM? Binafsi nina amini wanaoshabikia CCM ni wale wenye maslahi binafsi otherwise uwe taahira. Chama kilichoisababishia nchi ufukara na matatizo lukuki unakishabikia kwa lipi?

At least JPM alipoingia tulianza kuona matokeo kiduchu ya kimaendeleo lakini bado hai-justify ufukara na matatizo lukuki yaliyosababishwa na hiki chama.

Wanawake, watoto wachanga kibao wamepoteza maisha kwa kukosa huduma bora za afya miaka nenda rudi. Huduma ya maji safi na salama vijijini na mijini bado shida, ajira kwa wahitimu hakuna, matatizo chungu nzima.

Jamani hebu nisaidieni labda kuna kitu sikielewi, hivi mnaoipenda CCM nnaipendea nini? Wale wenye maslahi binafsi kwenye chama kama watoto wa mawaziri, wabunge na wateule wa rais kwenye nyadhifa mbalimbali wana sababu ya kuipenda CCM, sasa hawa wengine raia wa kawaida naomba mnisaidie, CCM mnaipendea nini?

mama D johnthebaptist Magonjwa Mtambuka jingalao barafuyamoto YEHODAYA Stroke Kinuju MOTOCHINI Pulchra Animo
Huwa najiuliza inawezekana vipi mtu ukashabikia Chadema
 
Ccm Katu haiwezi waletea maendeleo watz.Ccm na umasikini ni damu damu.rejea maagano ya ccm na shetani mapangoni bagamoyo ukazaliwa mwenge moto wa kichawi unaozunguka nchi kuwaroga watz Ili watawalike.
Ukiondoa umasikini na ccm itakufa.Case study ccm inakubalika Sana maeneo masikini.
 
Tozo nasimama na wananchi .Hakuna serikali hundred percent perfect duniani kupandisha miamala wamechemka Hakuna mwananchi alipendekeza Ni Zungu na matatizo yake
Acha ujinga Mpwa,, Zungu ndio bunge? Tuweni wakweli Ndugu zangu, tuna bunge la kipuuzi sana
 
Corona ipo Moshi na Arusha kwa sababu ya laana ya kushangilia kifo cha Magufuli
 
Nashukuru unanisaidia kushangaa na Mimi. Chama kinachouwa na kuteka watu kubambikia kesi kufukarisha watu makusudi kwa kubambikia watu kesi wanakipendea nini? Chama kinachoiba uchaguzi kwa asilimia Mia halafu watu wakihoji katiba mpya kinafunga watu midomo wasihoji kwa kisingizio tunajenga nchi mpaka uchaguzi mwingine.
Huwa najiuliza, hivi mtu kabisa na akili zako timamu unashabikia CCM? Binafsi nina amini wanaoshabikia CCM ni wale wenye maslahi binafsi otherwise uwe taahira. Chama kilichoisababishia nchi ufukara na matatizo lukuki unakishabikia kwa lipi?

At least JPM alipoingia tulianza kuona matokeo kiduchu ya kimaendeleo lakini bado hai-justify ufukara na matatizo lukuki yaliyosababishwa na hiki chama.

Wanawake, watoto wachanga kibao wamepoteza maisha kwa kukosa huduma bora za afya miaka nenda rudi. Huduma ya maji safi na salama vijijini na mijini bado shida, ajira kwa wahitimu hakuna, matatizo chungu nzima.

Jamani hebu nisaidieni labda kuna kitu sikielewi, hivi mnaoipenda CCM nnaipendea nini? Wale wenye maslahi binafsi kwenye chama kama watoto wa mawaziri, wabunge na wateule wa rais kwenye nyadhifa mbalimbali wana sababu ya kuipenda CCM, sasa hawa wengine raia wa kawaida naomba mnisaidie, CCM mnaipendea nini?

mama D johnthebaptist Magonjwa Mtambuka jingalao barafuyamoto YEHODAYA Stroke Kinuju MOTOCHINI Pulchra Animo
 
Huwa najiuliza, hivi mtu kabisa na akili zako timamu unashabikia CCM? Binafsi nina amini wanaoshabikia CCM ni wale wenye maslahi binafsi otherwise uwe taahira. Chama kilichoisababishia nchi ufukara na matatizo lukuki unakishabikia kwa lipi?

At least JPM alipoingia tulianza kuona matokeo kiduchu ya kimaendeleo lakini bado hai-justify ufukara na matatizo lukuki yaliyosababishwa na hiki chama.

Wanawake, watoto wachanga kibao wamepoteza maisha kwa kukosa huduma bora za afya miaka nenda rudi. Huduma ya maji safi na salama vijijini na mijini bado shida, ajira kwa wahitimu hakuna, matatizo chungu nzima.

Jamani hebu nisaidieni labda kuna kitu sikielewi, hivi mnaoipenda CCM nnaipendea nini? Wale wenye maslahi binafsi kwenye chama kama watoto wa mawaziri, wabunge na wateule wa rais kwenye nyadhifa mbalimbali wana sababu ya kuipenda CCM, sasa hawa wengine raia wa kawaida naomba mnisaidie, CCM mnaipendea nini?

mama D johnthebaptist Magonjwa Mtambuka jingalao barafuyamoto YEHODAYA Stroke Kinuju MOTOCHINI Pulchra Animo
Vyama vya Upinzani nchini Tanzania vimefanya nini cha maana ili tushawishike kuachana na CCM ili tuvishabikie vyenyewe kama ambavyo unahangaika Kutulazimisha hapa?

Ni kweli CCM kunaweza kuwa na Changamoto hasa kutokana na Ukongwe wake ila kwa Wapinzani wao hata bado hawajapewa Dhamana ya Kutuongoza Watanzania wameshaanza kutuonyesha Nyufa zao nyingi za Kimsingi ambazo kama wakipewa nchi wanaweza Kuharibu zaidi.

Ni Udhaifu mkubwa uliopo Upinzani ndiyo unaoifanya CCM ambayo inajua Kujisahihisha na Kujipambanua vyema kwa Wananchi wake izidi si tu Kukubalika na Kuaminika kwa Ustawi mzima wa Watanzania na Taifa zima la Tanzania.
 
Inakuaje mtu una shabikia chama cha siasa kama unavyo shabikia timu za mpira, akina sepetu ,akina rafiki nk?!?! Watanzania ni watu wa ajabu sana!
 
Sawa kwa mfumo huu tulionao umetusaidiaje kupata maendeleo kwa usawa tukiachana na habari za majimbo. Mbona baadhi ya maeneo yenye rasilimali bado wananchi wake wanaogelea kwenye lindi la umasikini licha ya miaka mingi ya kupata uhuru, Sasa nikupe tafakari kidogo nenda katafute kitabu Cha mtu anaitwa W. Rodney "How Europe underdevelop Afrika" ukikisoma vizuri ukaelewa utajua kwanini kuna maendeleo hafifu au hakuna kabisa ni kwamba mzungu alifanikiwa kutugawa ili atutawale Sasa mfumo huohuo ndio uliokuja kutumika baada ya kupata uhuru ndio maana watawala/viongozi na familia zao ndio wanaofaidi matunda ya rasilimali za nchi na sio wananchi kwa ujumla mfano huyo Jiwe alikua anasababu gani ya msingi kununua ndege kwa pesa taslimu wakati kuna huduma za muhimu bado hatujaboresha unakuja kugundua zile ndege watatumia wao zaidi kusafiria kuliko barabara ambayo hata bibi na babu kule vijijini wataitumia kumsafirisha mazao kufikia masoko kwaiyo utaona kabisa Vyama vilivyochangia kuleta uhuru vikiwemo TANU/ASP badae CCM havijaleta majibu ya maendeleo kwa wote ila ni kwa wao wachache ndio maana watu wenye akili bila unafiki hawaitaki CCM
Unaposema wananchi hawafaidi matunda ya uhuru isipokuwa viongozi na familia zao umesahau kuwa kabla ya uhuru wananchi haohao walikosa haya yafuatayo:

1)Kuishi baadhi ya maeneo ya nchi yao.....mfano kule KICHANGA CHUI(MASAKI YA LEO)...daraja la selander lilikuwa mpaka wao na watu weupe.

2)Wananchi haohao hawakuwa na ACCESS ya kupata huduma za afya....hospitali zilikuwa kwa ajili ya weupe tu....mpaka akajitokeza "TAJIRI MMOJA MZALENDO...tajiri huyu mwenye asili ya kihindi akafungua ZAHANATI kwa ajili ya wazawa pale ilipo STESHENI POSTA.....
Baadaye akaja ndugu SEWA HAJI na kuendelea kutoa nafasi ya kutibiwa wazawa......

Je hospitali ,vituo vya afya na zahanati zilizoko SASA ZINAFANANA na zilizokuwa kipindi cha AWAMU YA KWANZA?je hakuna hatua za MAENDELEO makubwa kufikia sasa ?!!

3)Mkoloni aliacha barabara moja tu.....mikoa haijaunganishwa?!! Si faida kwetu wananchi wa kawaida?!!!

4)Baba zetu walikula UNGA WA YANGA na kuvaa ndala ,je Leo hakuna mabadiliko?!!

5)Mkoloni hakuacha CHUO KIKUU hata kimoja....Uganda alikijenga.......je leo hatuna vyuo vikuu mpaka "vichochoroni"?!!
 
Kuna bima ya afya wewe ya kujitibu wewe na ukoo wako hata hela za bima ya afya tu hamna ukoo na familia yako choka mbaya!! So lazima mjenge kituo Cha afya kakateno bima ya afya Kama hamuwezi ulofa wenu msisukumie CCM

familia na Koo za wenye nazo huungana kuchimba visima kwa matumizu yao na hata kuuzia wengine

Wewe unatakiwa uitishe kikao Cha ukoo mchapane viboko kuwa maji ardhini yako kibao tunashindwa Nini Kama ukoo kuchimba kwa matumizi yetu?

Mnashindwa hata kuchimba kisima au Bwawa mdake maji ya mvua ? Look.Huko kwenu sio kwa kuoa Wala kuolewa ni kuchovu mno


Pia tandikaneni viboko kuwa inakuwaje ukoo mzima tunashindwa kununua bima ya afya ili kila mwanaukoo akipata shida anatibiwa hospitali za kueleweka?

Narudia Tena umaskini wako na familia yako na ukoo wako ukome kuisukumia CCM.
Zero brain. No wonder why CCM is loved by ignorant people. Kazi ya serikali ni nini sasa?
 
Vyama vya Upinzani nchini Tanzania vimefanya nini cha maana ili tushawishike kuachana na CCM ili tuvishabikie vyenyewe kama ambavyo unahangaika Kutulazimisha hapa?

Ni kweli CCM kunaweza kuwa na Changamoto hasa kutokana na Ukongwe wake ila kwa Wapinzani wao hata bado hawajapewa Dhamana ya Kutuongoza Watanzania wameshaanza kutuonyesha Nyufa zao nyingi za Kimsingi ambazo kama wakipewa nchi wanaweza Kuharibu zaidi.

Ni Udhaifu mkubwa uliopo Upinzani ndiyo unaoifanya CCM ambayo inajua Kujisahihisha na Kujipambanua vyema kwa Wananchi wake izidi si tu Kukubalika na Kuaminika kwa Ustawi mzima wa Watanzania na Taifa zima la Tanzania.
Mnawaibia kura kwa nguvu ya dola Kama mnajiamini mnapendwa Sana na watanzania na Kama mnajiamini mna clean sheets kwenye ustawi wa taifa hili viambieni vyombo vya dola vikae pembeni na kuwe na tume huru ya uchaguzi plus katiba mpya mkishinda hata kata moja kwa haki nchi nzima achiliambali udiwani na urais nyie vidume.
 
Vyama vya Upinzani nchini Tanzania vimefanya nini cha maana ili tushawishike kuachana na CCM ili tuvishabikie vyenyewe kama ambavyo unahangaika Kutulazimisha hapa?

Ni kweli CCM kunaweza kuwa na Changamoto hasa kutokana na Ukongwe wake ila kwa Wapinzani wao hata bado hawajapewa Dhamana ya Kutuongoza Watanzania wameshaanza kutuonyesha Nyufa zao nyingi za Kimsingi ambazo kama wakipewa nchi wanaweza Kuharibu zaidi.

Ni Udhaifu mkubwa uliopo Upinzani ndiyo unaoifanya CCM ambayo inajua Kujisahihisha na Kujipambanua vyema kwa Wananchi wake izidi si tu Kukubalika na Kuaminika kwa Ustawi mzima wa Watanzania na Taifa zima la Tanzania.
Kujisahihisha? Give me a break. Wapi CCM imejisahihisha? Tuonyeshe matunda ya kujisahihisha. Au tuonyeshe nchi ilikuwaje kabla na baada ya ccm kujisahihisha.
 
Back
Top Bottom