Namshauri Paul Makonda asiwe anapenda kulia na kutoa machozi hadharani. Ajifunze kwa Rais Samia

Namshauri Paul Makonda asiwe anapenda kulia na kutoa machozi hadharani. Ajifunze kwa Rais Samia

Lucas Mwashambwa

JF-Expert Member
Joined
Jul 28, 2022
Posts
28,722
Reaction score
20,610
Ndugu zangu Watanzania,

Ukiwa kiongozi Mkubwa na wa cheo kikubwa kama kuwa Mkuu wa Mkoa yaani Mwenyekiti wa kamati ya Ulinzi na Usalama wa Mkoa na kiongozi mwenye Ndoto ya kuja kuwa kiongozi Mkubwa siku za usoni .

Siyo Vyema sana kuelemewa na hisia mpaka kufikia hatua ya kulia na kutoa au kububujikwa Machozi Hadharani.Kiongozi unapaswa kuwa jasiri na Ngozi ngumu uwapo mahali popote pale penye tukio la aina yoyote ile la kugusa hisia. .Nimeona jana katika matembezi ya Amani yaliyowashirikisha viongozi mbalimbali wa Dini Mheshimiwa Makonda akizidiwa hisia Mpaka kufikia hatua ya kutoa Machozi japo hii siyo mara ya kwanza.maama nakumbuka pia akiwa kanisani na akiwa RC wa Dar es salaam napo imewahi kutokea hivyo.

Kiongozi unatakiwa udhibiti hisia zako na kuwa imara muda na wakati wote.Embu fikiria labda wewe ndio Amiri Jeshi Mkuu halafu kukatokea vita kama ile ya Tanzania na uganda .halafu ukaletewa taarifa mbaya ya vifo vya askari wako au kurudishwa nyuma kwa vikosi vya jeshi lako.

Sasa badala ya kujibu kwa ujasiri na kwa kauli za kishujaa na kuwatia moyo Makamanda walioleta taarifa kwa kuwaambia kuwa ni lazima tushinde vita hii kwa gharama yoyote ile kulinda ardhi yetu na kupigana kwa ajili ya askari na mashujaa wetu waliopoteza maisha. na kwamba Damu zao zilizomwagika zinakwenda kuleta ushindi na kuwa wamekufa kimwili lakini kiroho bado tupo nao na tunaendelea pale walipoishia wao.

na kwamba wewe kama Amiri Jeshi Mkuu umeshaongea na Nchi marafiki na wapo tayari kusaidia kutoa silaha nzito nzito za kisasa kabisa na ndege nzuri kabisa ambazo nyingine siyo za kutumia rubani na kwamba mambo mbalimbali ya kiteknolojia unakwenda kuwawezesha askari wako wa vikosi vyote ikiwepo teknolojia ya kudungua ndege za adui,Vifaru vya kisasa vipo njiani vinakuja na pia kuongeza askari katika uwanja wa mapambano.

Sasa badala ya kuwapa moyo na kuwaambia maneno hayo yenye kuwaongezea ujasiri na nguvu za kuendelea kupambana na morali kwa askari wote .wakute wewe umeanza kulia na kububujikwa na machozi yasiyokatika.unafikiri watajisikiaje? unafikiri watakuchukuliaje?unafikiri utakuwa umewavunja Moyo kiasi gani? Unafikiri utakuwa umewakatisha tamaa na kushusha morali ya kupigana kwa kiasi gani?

Unajua kiongozi ni pamoja na kuwapa morali unaowaongoza,kuwajaza ujasiri ,kuwaonyesha kuwa ushindi ni lazima upatikane hata kama mazingira ni mabaya na magumu. lakini ni lazima kila mmoja ajitoe kwa jasho na Damu kutetea Ardhi yetu na Taifa letu au jambo fulani.

Ndio maana ya kuitwa kiongozi .kwamba wewe ni lazima uwaongoze njia watu tena njia ya ushindi na matumaini.ni lazima uwajaze ujasiri na matumaini hai hata kama moyoni una maumivu lakini usoni ni lazma uonyeshe ujasiri na utayari wa mapambano.wewe ndiye unatakiwa uwafute machozi na kuwashika mkono walio nyuma yako badala ya wao ndio waanze kutafuta vitambaa vya kukufutia machozi.

Embu angalia namna Rais wetu mpendwa na Jemedari wetu kipenzi Mheshimiwa Daktari Mama Samia Samia baada ya Kifo cha Rais wetu wa Awamu ya Tano Hayati Daktari Mwalimu John Pombe Joseph Magufuli kufariki Dunia.mliona namna alivyo tujaza ujasiri watanzania? Mliona namna alivyotoa kauli za kiuongozi na kuleta matumaini.mnakumbuka Kauli yake ya kuwa huu sio wakati wa kuangalia mbele kwa mashaka bali wa kuangalia na kutizama mbele kwa Matumaini.

mnakumbuka pia kauli yake ya kuwa kazi iendelee? Unafikiri kwanini alitamka maneno hayo? Vipi kama angeanza kububujikwa na machozi muda wote? Mnafikiri Watanzania wangekuwa katika hali gani? Si wote tungekata tamaa?

Mnakumbuka alipokwenda kuwapa pole watu wa Hanang mkoani Manyara waliofariki kwa kusombwa na udongo ulioporomoka kutoka mlimani? Mnakumbuka kauli zake za kijasiri kama kiongozi alizozitoa licha ya kuwa na majonzi mazito Moyoni na kifuani pake?unafikiri ni kwanini hakububujikwa na machozi? Je mliona na kukumbuka wakati hayati Benjamini Mkapa anatangaza kifo cha Muasisi wa Taifa letu Hayati Mwalimu Nyerere mwaka 1999 October?

Vipi wakati Mama yetu Mpendwa na Jemedari wetu kipenzi Mheshimiwa Daktari Mama Samia wakati anatangaza kifo cha Hayati Mwalimu Daktari John Magufuli mkoani Tanga? Je mliona sura yake ilivyokuwa na namna alivyojikaza kijasiri? Unafikiri kwanini hakulia hadharani? Jibu ni kwa sababu ni kiongozi na anafahamu dhamana kubwa aliyonayo katika kulifariji Taifa na kulipa Matumaini.

Ukiwa kiongozi kuna namna ya kujiweka .ndio Maana ni muhimu sana kwa kiongozi kutofautisha wewe kama mtu binafsi na husia zako na kiongozi mwenye watu nyuma yako.

Ok naomba niweke kalamu yangu chini mara moja.nitatoa semina wakati mwingine ya uongozi hapa jukwaani kwa vitu vya msingi kwa kiongozi kuvijua na kuviishi. Lakini kwa ufupi ni kuwa viongozi wanatakiwa wamchukulie na kumuiga Rais Samia kama Darasa lao.maana nikimuangalia Rais Samia naona ni chuo cha uongozi kitembeacho.na ndio maana namfuatilia kila siku awapo hadharani na yale afanyayo na kuzungumza .

Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
 
Ndugu zangu Watanzania,

Ukiwa kiongozi Mkubwa na wa cheo kikubwa kama kuwa Mkuu wa Mkoa yaani Mwenyekiti wa kamati ya Ulinzi na Usalama wa Mkoa na kiongozi mwenye Ndoto ya kuja kuwa kiongozi Mkubwa siku za usoni .

Siyo Vyema sana kuelemewa na hisia mpaka kufikia hatua ya kulia na kutoa au kububujikwa Machozi Hadharani.Kiongozi unapaswa kuwa jasiri na Ngozi ngumu uwapo mahali popote pale penye tukio la aina yoyote ile la kugusa hisia. .Nimeona jana katika matembezi ya Amani yaliyowashirikisha viongozi mbalimbali wa Dini Mheshimiwa Makonda akizidiwa hisia Mpaka kufikia hatua ya kutoa Machozi japo hii siyo mara ya kwanza.maama nakumbuka pia akiwa kanisani na akiwa RC wa Dar es salaam napo imewahi kutokea hivyo.

Kiongozi unatakiwa udhibiti hisia zako na kuwa imara muda na wakati wote.Embu fikiria labda wewe ndio Amiri Jeshi Mkuu halafu kukatokea vita kama ile ya Tanzania na uganda .halafu ukaletewa taarifa mbaya ya vifo vya askari wako au kurudishwa nyuma kwa vikosi vya jeshi lako.

Sasa badala ya kujibu kwa ujasiri na kwa kauli za kishujaa na kuwatia moyo Makamanda walioleta taarifa kwa kuwaambia kuwa ni lazima tushinde vita hii kwa gharama yoyote ile kulinda ardhi yetu na kupigana kwa ajili ya askari na mashujaa wetu waliopoteza maisha. na kwamba Damu zao zilizomwagika zinakwenda kuleta ushindi na kuwa wamekufa kimwili lakini kiroho bado tupo nao na tunaendelea pale walipoishia wao.

na kwamba wewe kama Amiri Jeshi Mkuu umeshaongea na Nchi marafiki na wapo tayari kusaidia kutoa silaha nzito nzito za kisasa kabisa na ndege nzuri kabisa ambazo nyingine siyo za kutumia rubani na kwamba mambo mbalimbali ya kiteknolojia unakwenda kuwawezesha askari wako wa vikosi vyote ikiwepo teknolojia ya kudungua ndege za adui,Vifaru vya kisasa vipo njiani vinakuja na pia kuongeza askari katika uwanja wa mapambano.

Sasa badala ya kuwapa moyo na kuwaambia maneno hayo yenye kuwaongezea ujasiri na nguvu za kuendelea kupambana na morali kwa askari wote .wakute wewe umeanza kulia na kububujikwa na machozi yasiyokatika.unafikiri watajisikiaje? unafikiri watakuchukuliaje?unafikiri utakuwa umewavunja Moyo kiasi gani? Unafikiri utakuwa umewakatisha tamaa na kushusha morali ya kupigana kwa kiasi gani?

Unajua kiongozi ni pamoja na kuwapa morali unaowaongoza,kuwajaza ujasiri ,kuwaonyesha kuwa ushindi ni lazima upatikane hata kama mazingira ni mabaya na magumu. lakini ni lazima kila mmoja ajitoe kwa jasho na Damu kutetea Ardhi yetu na Taifa letu au jambo fulani.

Ndio maana ya kuitwa kiongozi .kwamba wewe ni lazima uwaongoze njia watu tena njia ya ushindi na matumaini.ni lazima uwajaze ujasiri na matumaini hai hata kama moyoni una maumivu lakini usoni ni lazma uonyeshe ujasiri na utayari wa mapambano.wewe ndiye unatakiwa uwafute machozi na kuwashika mkono walio nyuma yako badala ya wao ndio waanze kutafuta vitambaa vya kukufutia machozi.

Embu angalia namna Rais wetu mpendwa na Jemedari wetu kipenzi Mheshimiwa Daktari Mama Samia Samia baada ya Kifo cha Rais wetu wa Awamu ya Tano Hayati Daktari Mwalimu John Pombe Joseph Magufuli kufariki Dunia.mliona namna alivyo tujaza ujasiri watanzania? Mliona namna alivyotoa kauli za kiuongozi na kuleta matumaini.mnakumbuka Kauli yake ya kuwa huu sio wakati wa kuangalia mbele kwa mashaka bali wa kuangalia na kutizama mbele kwa Matumaini.

mnakumbuka pia kauli yake ya kuwa kazi iendelee? Unafikiri kwanini alitamka maneno hayo? Vipi kama angeanza kububujikwa na machozi muda wote? Mnafikiri Watanzania wangekuwa katika hali gani? Si wote tungekata tamaa?

Mnakumbuka alipokwenda kuwapa pole watu wa Hanang mkoani Manyara waliofariki kwa kusombwa na udongo ulioporomoka kutoka mlimani? Mnakumbuka kauli zake za kijasiri kama kiongozi alizozitoa licha ya kuwa na majonzi mazito Moyoni na kifuani pake?unafikiri ni kwanini hakububujikwa na machozi? Je mliona na kukumbuka wakati hayati Benjamini Mkapa anatangaza kifo cha Muasisi wa Taifa letu Hayati Mwalimu Nyerere mwaka 1999 October?

Vipi wakati Mama yetu Mpendwa na Jemedari wetu kipenzi Mheshimiwa Daktari Mama Samia wakati anatangaza kifo cha Hayati Mwalimu Daktari John Magufuli mkoani Tanga? Je mliona sura yake ilivyokuwa na namna alivyojikaza kijasiri? Unafikiri kwanini hakulia hadharani? Jibu ni kwa sababu ni kiongozi na anafahamu dhamana kubwa aliyonayo katika kulifariji Taifa na kulipa Matumaini.

Ukiwa kiongozi kuna namna ya kujiweka .ndio Maana ni muhimu sana kwa kiongozi kutofautisha wewe kama mtu binafsi na husia zako na kiongozi mwenye watu nyuma yako.

Ok naomba niweke kalamu yangu chini mara moja.nitatoa semina wakati mwingine ya uongozi hapa jukwaani kwa vitu vya msingi kwa kiongozi kuvijua na kuviishi. Lakini kwa ufupi ni kuwa viongozi wanatakiwa wamchukulie na kumuiga Rais Samia kama Darasa lao.maana nikimuangalia Rais Samia naona ni chuo cha uongozi kitembeacho.na ndio maana namfuatilia kila siku awapo hadharani na yale afanyayo na kuzungumza .

Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
tumewafuta viongozi wote ambao sio watoto wa Mungu kuongoza Arusha. Tunakemea wale wote wachawi wanaomloga kiongozi wetu namba moja
 
Mwenzio ana mzigo mzito wa dhambi ya "kudhulumu uhai wa watu" ndani ya moyo na nafsi yake...

Tatizo lake ni la kiroho (spiritual). Haliwezi kutatuka kwa namna hiyo anayojaribu kufanya. Hizo njia anazotumia ni za kumpa faraja ya muda mfupi tu....

Asidhani kuwa njia ya kuutua huo mzigo ni kwenda mbele ya kadamnasi ya wananchi wake kulialia machozi Ili aonewe huruma kama mtoto mdogo anayelilia maziwa ya mama yake akidhani uchafu aliofanya utafutika kwa namna hiyo. Anajidanganya tu....

Na ofcoz, amejaribu mara nyingi kufanya hivyo kwa kwenda kanisa moja hadi jingine, nabii na wachungaji wa kila aina wamejaribu kumwombea lakini, mzigo aliobeba ndani ya nafsi yake umekataa kutua chini. Kwanini...?

Jibu ni rahisi sana, kwamba, He's not doing in the right way....!

Na ni bahati mbaya kuwa, wachungaji na manabii na mitume aliofanya shirika nao hawamwambii ukweli wa apaswacho kakifanya kiroho. Likely hawa ndio wanaokula mishahara yake kama sadaka...!!

Hajui kuwa mzigo wa namna hiyo ndani ya nafsi ya mtu ni kuacha kiburi na kuwa mnyenyekevu na kuwa na moyo wa toba ya kweli mbele za Mungu Yehova...

Bahati mbaya ni kuwa, huyu Bwana hana moyo wa toba. Huyu bwana ni mtu aliye na roho ya Yuda Iskariote na ya Farao wa Misri ya kale....

Mfalme Farao alikuwa na roho ya unafiki, kiburi, udanganyifu (manipulative Spirit), moyo usio na majuto kwa makosa na dhambi zake za kiutawala.....

Na kwa sababu hiyo Mungu hakumvumilia hata kidogo kwani mfalme Farao na jeshi lake lote na serikali yake yote walikufa kifo kibaya kabisa cha kuzikwa ndani moyo wa bahari ya Shamu...

Huko ndiko anakoelekea huyu Paul Makonda wenu...!!

Simhukumu Paul Makonda.

Na si kwamba sisi wengine tuna haki au hatuna makosa na dhambi zetu. Wote tuna dhambi na tunahitaji msaada wa Mungu kwa Yesu Kristo mwokozi wetu kila siku na kila wakati....

Tunachotofautiana ni degrees of grievances na namna tunavyomwendea Mungu kuomba rehema na neema yake ya kutuokoa na kutuponya...

Tunajua na inaeleweka kuwa ni ngumu sana kwa Paul Makonda kukiri hadharani kuwa amehusika katika matukio mengi ya ujambazi na umwagaji damu moja kwa moja au akiwa mratibu mkuu wa matukio hayo ya wapinzani wenu kisiasa akiwa na baraka za kiongozi mkuu wa nchi yule Hayati Pombe na hata huyu wa sasa Bi Samia Suluhu Hassan...

Kama hatakuwa na moyo wa toba, unyenyekevu kiasi cha kushindwa kuitumia neema ya muda ambao <Mungu anampa kila siku kutengeneza mambo yake ya kiroho, basi ataendelea kulia sana hadharani na mwisho wa siku atawehuka kabisa na kwenda kufa kifo kibaya kabisa...

Damu za watu alizomwaga moja kwa moja yeye au kutumia watu wengine kumwaga damu hizo (kuua), ajue tu kuwa laana inayotoka chini ya ardhi iliyomeza damu za watu hao na wengine wakiwa hai lakini akiwa amewasababishia ulemavu wa kudumu kama ndugu yetu Tundu Lissu ni mbaya sana na hatakuja kuwa na furaha wala amani ktk maisha yake yote iwapo ataendelea na kiburi alichonacho sasa unless otherwise atubu na kuwaomba msamaha wote aliowaumiza hadharani....

Toba ya ukiri wa wazi na wa hadharani wa matendo yake maovu ya umwagaji damu ndiyo msalaba wake anaopaswa kuubeba, aiweke aibu na fedheha pembeni na ndipo amfuate Yesu Kristo kwa ajili ya ukombozi na wokovu wake...!!

Ni maneno magumu lakini ni lazima aambiwe Ili akiona inafaa, atengeneze mambo yake. Otherwise, hukumu ya dhambi yake Iko juu yake...!!
 
Ndugu zangu Watanzania,

Ukiwa kiongozi Mkubwa na wa cheo kikubwa kama kuwa Mkuu wa Mkoa yaani Mwenyekiti wa kamati ya Ulinzi na Usalama wa Mkoa na kiongozi mwenye Ndoto ya kuja kuwa kiongozi Mkubwa siku za usoni .

Siyo Vyema sana kuelemewa na hisia mpaka kufikia hatua ya kulia na kutoa au kububujikwa Machozi Hadharani.Kiongozi unapaswa kuwa jasiri na Ngozi ngumu uwapo mahali popote pale penye tukio la aina yoyote ile la kugusa hisia. .Nimeona jana katika matembezi ya Amani yaliyowashirikisha viongozi mbalimbali wa Dini Mheshimiwa Makonda akizidiwa hisia Mpaka kufikia hatua ya kutoa Machozi japo hii siyo mara ya kwanza.maama nakumbuka pia akiwa kanisani na akiwa RC wa Dar es salaam napo imewahi kutokea hivyo.

Kiongozi unatakiwa udhibiti hisia zako na kuwa imara muda na wakati wote.Embu fikiria labda wewe ndio Amiri Jeshi Mkuu halafu kukatokea vita kama ile ya Tanzania na uganda .halafu ukaletewa taarifa mbaya ya vifo vya askari wako au kurudishwa nyuma kwa vikosi vya jeshi lako.

Sasa badala ya kujibu kwa ujasiri na kwa kauli za kishujaa na kuwatia moyo Makamanda walioleta taarifa kwa kuwaambia kuwa ni lazima tushinde vita hii kwa gharama yoyote ile kulinda ardhi yetu na kupigana kwa ajili ya askari na mashujaa wetu waliopoteza maisha. na kwamba Damu zao zilizomwagika zinakwenda kuleta ushindi na kuwa wamekufa kimwili lakini kiroho bado tupo nao na tunaendelea pale walipoishia wao.

na kwamba wewe kama Amiri Jeshi Mkuu umeshaongea na Nchi marafiki na wapo tayari kusaidia kutoa silaha nzito nzito za kisasa kabisa na ndege nzuri kabisa ambazo nyingine siyo za kutumia rubani na kwamba mambo mbalimbali ya kiteknolojia unakwenda kuwawezesha askari wako wa vikosi vyote ikiwepo teknolojia ya kudungua ndege za adui,Vifaru vya kisasa vipo njiani vinakuja na pia kuongeza askari katika uwanja wa mapambano.

Sasa badala ya kuwapa moyo na kuwaambia maneno hayo yenye kuwaongezea ujasiri na nguvu za kuendelea kupambana na morali kwa askari wote .wakute wewe umeanza kulia na kububujikwa na machozi yasiyokatika.unafikiri watajisikiaje? unafikiri watakuchukuliaje?unafikiri utakuwa umewavunja Moyo kiasi gani? Unafikiri utakuwa umewakatisha tamaa na kushusha morali ya kupigana kwa kiasi gani?

Unajua kiongozi ni pamoja na kuwapa morali unaowaongoza,kuwajaza ujasiri ,kuwaonyesha kuwa ushindi ni lazima upatikane hata kama mazingira ni mabaya na magumu. lakini ni lazima kila mmoja ajitoe kwa jasho na Damu kutetea Ardhi yetu na Taifa letu au jambo fulani.

Ndio maana ya kuitwa kiongozi .kwamba wewe ni lazima uwaongoze njia watu tena njia ya ushindi na matumaini.ni lazima uwajaze ujasiri na matumaini hai hata kama moyoni una maumivu lakini usoni ni lazma uonyeshe ujasiri na utayari wa mapambano.wewe ndiye unatakiwa uwafute machozi na kuwashika mkono walio nyuma yako badala ya wao ndio waanze kutafuta vitambaa vya kukufutia machozi.

Embu angalia namna Rais wetu mpendwa na Jemedari wetu kipenzi Mheshimiwa Daktari Mama Samia Samia baada ya Kifo cha Rais wetu wa Awamu ya Tano Hayati Daktari Mwalimu John Pombe Joseph Magufuli kufariki Dunia.mliona namna alivyo tujaza ujasiri watanzania? Mliona namna alivyotoa kauli za kiuongozi na kuleta matumaini.mnakumbuka Kauli yake ya kuwa huu sio wakati wa kuangalia mbele kwa mashaka bali wa kuangalia na kutizama mbele kwa Matumaini.

mnakumbuka pia kauli yake ya kuwa kazi iendelee? Unafikiri kwanini alitamka maneno hayo? Vipi kama angeanza kububujikwa na machozi muda wote? Mnafikiri Watanzania wangekuwa katika hali gani? Si wote tungekata tamaa?

Mnakumbuka alipokwenda kuwapa pole watu wa Hanang mkoani Manyara waliofariki kwa kusombwa na udongo ulioporomoka kutoka mlimani? Mnakumbuka kauli zake za kijasiri kama kiongozi alizozitoa licha ya kuwa na majonzi mazito Moyoni na kifuani pake?unafikiri ni kwanini hakububujikwa na machozi? Je mliona na kukumbuka wakati hayati Benjamini Mkapa anatangaza kifo cha Muasisi wa Taifa letu Hayati Mwalimu Nyerere mwaka 1999 October?

Vipi wakati Mama yetu Mpendwa na Jemedari wetu kipenzi Mheshimiwa Daktari Mama Samia wakati anatangaza kifo cha Hayati Mwalimu Daktari John Magufuli mkoani Tanga? Je mliona sura yake ilivyokuwa na namna alivyojikaza kijasiri? Unafikiri kwanini hakulia hadharani? Jibu ni kwa sababu ni kiongozi na anafahamu dhamana kubwa aliyonayo katika kulifariji Taifa na kulipa Matumaini.

Ukiwa kiongozi kuna namna ya kujiweka .ndio Maana ni muhimu sana kwa kiongozi kutofautisha wewe kama mtu binafsi na husia zako na kiongozi mwenye watu nyuma yako.

Ok naomba niweke kalamu yangu chini mara moja.nitatoa semina wakati mwingine ya uongozi hapa jukwaani kwa vitu vya msingi kwa kiongozi kuvijua na kuviishi. Lakini kwa ufupi ni kuwa viongozi wanatakiwa wamchukulie na kumuiga Rais Samia kama Darasa lao.maana nikimuangalia Rais Samia naona ni chuo cha uongozi kitembeacho.na ndio maana namfuatilia kila siku awapo hadharani na yale afanyayo na kuzungumza .

Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Achana na tabia yako ya kupenda sana porojo na maneno mengi! Weka picha na video inayomuonesha akilia. Na uzi ungeishia hapo! Ok?
 
Ndugu zangu Watanzania,

Ukiwa kiongozi Mkubwa na wa cheo kikubwa kama kuwa Mkuu wa Mkoa yaani Mwenyekiti wa kamati ya Ulinzi na Usalama wa Mkoa na kiongozi mwenye Ndoto ya kuja kuwa kiongozi Mkubwa siku za usoni .

Siyo Vyema sana kuelemewa na hisia mpaka kufikia hatua ya kulia na kutoa au kububujikwa Machozi Hadharani.Kiongozi unapaswa kuwa jasiri na Ngozi ngumu uwapo mahali popote pale penye tukio la aina yoyote ile la kugusa hisia. .Nimeona jana katika matembezi ya Amani yaliyowashirikisha viongozi mbalimbali wa Dini Mheshimiwa Makonda akizidiwa hisia Mpaka kufikia hatua ya kutoa Machozi japo hii siyo mara ya kwanza.maama nakumbuka pia akiwa kanisani na akiwa RC wa Dar es salaam napo imewahi kutokea hivyo.

Kiongozi unatakiwa udhibiti hisia zako na kuwa imara muda na wakati wote.Embu fikiria labda wewe ndio Amiri Jeshi Mkuu halafu kukatokea vita kama ile ya Tanzania na uganda .halafu ukaletewa taarifa mbaya ya vifo vya askari wako au kurudishwa nyuma kwa vikosi vya jeshi lako.

Sasa badala ya kujibu kwa ujasiri na kwa kauli za kishujaa na kuwatia moyo Makamanda walioleta taarifa kwa kuwaambia kuwa ni lazima tushinde vita hii kwa gharama yoyote ile kulinda ardhi yetu na kupigana kwa ajili ya askari na mashujaa wetu waliopoteza maisha. na kwamba Damu zao zilizomwagika zinakwenda kuleta ushindi na kuwa wamekufa kimwili lakini kiroho bado tupo nao na tunaendelea pale walipoishia wao.

na kwamba wewe kama Amiri Jeshi Mkuu umeshaongea na Nchi marafiki na wapo tayari kusaidia kutoa silaha nzito nzito za kisasa kabisa na ndege nzuri kabisa ambazo nyingine siyo za kutumia rubani na kwamba mambo mbalimbali ya kiteknolojia unakwenda kuwawezesha askari wako wa vikosi vyote ikiwepo teknolojia ya kudungua ndege za adui,Vifaru vya kisasa vipo njiani vinakuja na pia kuongeza askari katika uwanja wa mapambano.

Sasa badala ya kuwapa moyo na kuwaambia maneno hayo yenye kuwaongezea ujasiri na nguvu za kuendelea kupambana na morali kwa askari wote .wakute wewe umeanza kulia na kububujikwa na machozi yasiyokatika.unafikiri watajisikiaje? unafikiri watakuchukuliaje?unafikiri utakuwa umewavunja Moyo kiasi gani? Unafikiri utakuwa umewakatisha tamaa na kushusha morali ya kupigana kwa kiasi gani?

Unajua kiongozi ni pamoja na kuwapa morali unaowaongoza,kuwajaza ujasiri ,kuwaonyesha kuwa ushindi ni lazima upatikane hata kama mazingira ni mabaya na magumu. lakini ni lazima kila mmoja ajitoe kwa jasho na Damu kutetea Ardhi yetu na Taifa letu au jambo fulani.

Ndio maana ya kuitwa kiongozi .kwamba wewe ni lazima uwaongoze njia watu tena njia ya ushindi na matumaini.ni lazima uwajaze ujasiri na matumaini hai hata kama moyoni una maumivu lakini usoni ni lazma uonyeshe ujasiri na utayari wa mapambano.wewe ndiye unatakiwa uwafute machozi na kuwashika mkono walio nyuma yako badala ya wao ndio waanze kutafuta vitambaa vya kukufutia machozi.

Embu angalia namna Rais wetu mpendwa na Jemedari wetu kipenzi Mheshimiwa Daktari Mama Samia Samia baada ya Kifo cha Rais wetu wa Awamu ya Tano Hayati Daktari Mwalimu John Pombe Joseph Magufuli kufariki Dunia.mliona namna alivyo tujaza ujasiri watanzania? Mliona namna alivyotoa kauli za kiuongozi na kuleta matumaini.mnakumbuka Kauli yake ya kuwa huu sio wakati wa kuangalia mbele kwa mashaka bali wa kuangalia na kutizama mbele kwa Matumaini.

mnakumbuka pia kauli yake ya kuwa kazi iendelee? Unafikiri kwanini alitamka maneno hayo? Vipi kama angeanza kububujikwa na machozi muda wote? Mnafikiri Watanzania wangekuwa katika hali gani? Si wote tungekata tamaa?

Mnakumbuka alipokwenda kuwapa pole watu wa Hanang mkoani Manyara waliofariki kwa kusombwa na udongo ulioporomoka kutoka mlimani? Mnakumbuka kauli zake za kijasiri kama kiongozi alizozitoa licha ya kuwa na majonzi mazito Moyoni na kifuani pake?unafikiri ni kwanini hakububujikwa na machozi? Je mliona na kukumbuka wakati hayati Benjamini Mkapa anatangaza kifo cha Muasisi wa Taifa letu Hayati Mwalimu Nyerere mwaka 1999 October?

Vipi wakati Mama yetu Mpendwa na Jemedari wetu kipenzi Mheshimiwa Daktari Mama Samia wakati anatangaza kifo cha Hayati Mwalimu Daktari John Magufuli mkoani Tanga? Je mliona sura yake ilivyokuwa na namna alivyojikaza kijasiri? Unafikiri kwanini hakulia hadharani? Jibu ni kwa sababu ni kiongozi na anafahamu dhamana kubwa aliyonayo katika kulifariji Taifa na kulipa Matumaini.

Ukiwa kiongozi kuna namna ya kujiweka .ndio Maana ni muhimu sana kwa kiongozi kutofautisha wewe kama mtu binafsi na husia zako na kiongozi mwenye watu nyuma yako.

Ok naomba niweke kalamu yangu chini mara moja.nitatoa semina wakati mwingine ya uongozi hapa jukwaani kwa vitu vya msingi kwa kiongozi kuvijua na kuviishi. Lakini kwa ufupi ni kuwa viongozi wanatakiwa wamchukulie na kumuiga Rais Samia kama Darasa lao.maana nikimuangalia Rais Samia naona ni chuo cha uongozi kitembeacho.na ndio maana namfuatilia kila siku awapo hadharani na yale afanyayo na kuzungumza .

Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Haya kamwambie mkiwa faragha, sawa sawa?
 
Ndugu zangu Watanzania,

Ukiwa kiongozi Mkubwa na wa cheo kikubwa kama kuwa Mkuu wa Mkoa yaani Mwenyekiti wa kamati ya Ulinzi na Usalama wa Mkoa na kiongozi mwenye Ndoto ya kuja kuwa kiongozi Mkubwa siku za usoni .

Siyo Vyema sana kuelemewa na hisia mpaka kufikia hatua ya kulia na kutoa au kububujikwa Machozi Hadharani.Kiongozi unapaswa kuwa jasiri na Ngozi ngumu uwapo mahali popote pale penye tukio la aina yoyote ile la kugusa hisia. .Nimeona jana katika matembezi ya Amani yaliyowashirikisha viongozi mbalimbali wa Dini Mheshimiwa Makonda akizidiwa hisia Mpaka kufikia hatua ya kutoa Machozi japo hii siyo mara ya kwanza.maama nakumbuka pia akiwa kanisani na akiwa RC wa Dar es salaam napo imewahi kutokea hivyo.

Kiongozi unatakiwa udhibiti hisia zako na kuwa imara muda na wakati wote.Embu fikiria labda wewe ndio Amiri Jeshi Mkuu halafu kukatokea vita kama ile ya Tanzania na uganda .halafu ukaletewa taarifa mbaya ya vifo vya askari wako au kurudishwa nyuma kwa vikosi vya jeshi lako.

Sasa badala ya kujibu kwa ujasiri na kwa kauli za kishujaa na kuwatia moyo Makamanda walioleta taarifa kwa kuwaambia kuwa ni lazima tushinde vita hii kwa gharama yoyote ile kulinda ardhi yetu na kupigana kwa ajili ya askari na mashujaa wetu waliopoteza maisha. na kwamba Damu zao zilizomwagika zinakwenda kuleta ushindi na kuwa wamekufa kimwili lakini kiroho bado tupo nao na tunaendelea pale walipoishia wao.

na kwamba wewe kama Amiri Jeshi Mkuu umeshaongea na Nchi marafiki na wapo tayari kusaidia kutoa silaha nzito nzito za kisasa kabisa na ndege nzuri kabisa ambazo nyingine siyo za kutumia rubani na kwamba mambo mbalimbali ya kiteknolojia unakwenda kuwawezesha askari wako wa vikosi vyote ikiwepo teknolojia ya kudungua ndege za adui,Vifaru vya kisasa vipo njiani vinakuja na pia kuongeza askari katika uwanja wa mapambano.

Sasa badala ya kuwapa moyo na kuwaambia maneno hayo yenye kuwaongezea ujasiri na nguvu za kuendelea kupambana na morali kwa askari wote .wakute wewe umeanza kulia na kububujikwa na machozi yasiyokatika.unafikiri watajisikiaje? unafikiri watakuchukuliaje?unafikiri utakuwa umewavunja Moyo kiasi gani? Unafikiri utakuwa umewakatisha tamaa na kushusha morali ya kupigana kwa kiasi gani?

Unajua kiongozi ni pamoja na kuwapa morali unaowaongoza,kuwajaza ujasiri ,kuwaonyesha kuwa ushindi ni lazima upatikane hata kama mazingira ni mabaya na magumu. lakini ni lazima kila mmoja ajitoe kwa jasho na Damu kutetea Ardhi yetu na Taifa letu au jambo fulani.

Ndio maana ya kuitwa kiongozi .kwamba wewe ni lazima uwaongoze njia watu tena njia ya ushindi na matumaini.ni lazima uwajaze ujasiri na matumaini hai hata kama moyoni una maumivu lakini usoni ni lazma uonyeshe ujasiri na utayari wa mapambano.wewe ndiye unatakiwa uwafute machozi na kuwashika mkono walio nyuma yako badala ya wao ndio waanze kutafuta vitambaa vya kukufutia machozi.

Embu angalia namna Rais wetu mpendwa na Jemedari wetu kipenzi Mheshimiwa Daktari Mama Samia Samia baada ya Kifo cha Rais wetu wa Awamu ya Tano Hayati Daktari Mwalimu John Pombe Joseph Magufuli kufariki Dunia.mliona namna alivyo tujaza ujasiri watanzania? Mliona namna alivyotoa kauli za kiuongozi na kuleta matumaini.mnakumbuka Kauli yake ya kuwa huu sio wakati wa kuangalia mbele kwa mashaka bali wa kuangalia na kutizama mbele kwa Matumaini.

mnakumbuka pia kauli yake ya kuwa kazi iendelee? Unafikiri kwanini alitamka maneno hayo? Vipi kama angeanza kububujikwa na machozi muda wote? Mnafikiri Watanzania wangekuwa katika hali gani? Si wote tungekata tamaa?

Mnakumbuka alipokwenda kuwapa pole watu wa Hanang mkoani Manyara waliofariki kwa kusombwa na udongo ulioporomoka kutoka mlimani? Mnakumbuka kauli zake za kijasiri kama kiongozi alizozitoa licha ya kuwa na majonzi mazito Moyoni na kifuani pake?unafikiri ni kwanini hakububujikwa na machozi? Je mliona na kukumbuka wakati hayati Benjamini Mkapa anatangaza kifo cha Muasisi wa Taifa letu Hayati Mwalimu Nyerere mwaka 1999 October?

Vipi wakati Mama yetu Mpendwa na Jemedari wetu kipenzi Mheshimiwa Daktari Mama Samia wakati anatangaza kifo cha Hayati Mwalimu Daktari John Magufuli mkoani Tanga? Je mliona sura yake ilivyokuwa na namna alivyojikaza kijasiri? Unafikiri kwanini hakulia hadharani? Jibu ni kwa sababu ni kiongozi na anafahamu dhamana kubwa aliyonayo katika kulifariji Taifa na kulipa Matumaini.

Ukiwa kiongozi kuna namna ya kujiweka .ndio Maana ni muhimu sana kwa kiongozi kutofautisha wewe kama mtu binafsi na husia zako na kiongozi mwenye watu nyuma yako.

Ok naomba niweke kalamu yangu chini mara moja.nitatoa semina wakati mwingine ya uongozi hapa jukwaani kwa vitu vya msingi kwa kiongozi kuvijua na kuviishi. Lakini kwa ufupi ni kuwa viongozi wanatakiwa wamchukulie na kumuiga Rais Samia kama Darasa lao.maana nikimuangalia Rais Samia naona ni chuo cha uongozi kitembeacho.na ndio maana namfuatilia kila siku awapo hadharani na yale afanyayo na kuzungumza .

Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Nakuona Bwana Lucas " @MUWASHWA " katika ubora wako. Keep it up 😉
 
Makonda hawezi kuacha kulialia hadharani, maana ameuwa watu wengi sana.
 
Adolf Hitler naye alikuwa na Tabia hiyo ya kulia majukwaani kwa uchungu kuchota akili za wanazi. Na alifanikiwa
 
Ndugu zangu Watanzania,

Ukiwa kiongozi Mkubwa na wa cheo kikubwa kama kuwa Mkuu wa Mkoa yaani Mwenyekiti wa kamati ya Ulinzi na Usalama wa Mkoa na kiongozi mwenye Ndoto ya kuja kuwa kiongozi Mkubwa siku za usoni .

Siyo Vyema sana kuelemewa na hisia mpaka kufikia hatua ya kulia na kutoa au kububujikwa Machozi Hadharani.Kiongozi unapaswa kuwa jasiri na Ngozi ngumu uwapo mahali popote pale penye tukio la aina yoyote ile la kugusa hisia. .Nimeona jana katika matembezi ya Amani yaliyowashirikisha viongozi mbalimbali wa Dini Mheshimiwa Makonda akizidiwa hisia Mpaka kufikia hatua ya kutoa Machozi japo hii siyo mara ya kwanza.maama nakumbuka pia akiwa kanisani na akiwa RC wa Dar es salaam napo imewahi kutokea hivyo.

Kiongozi unatakiwa udhibiti hisia zako na kuwa imara muda na wakati wote.Embu fikiria labda wewe ndio Amiri Jeshi Mkuu halafu kukatokea vita kama ile ya Tanzania na uganda .halafu ukaletewa taarifa mbaya ya vifo vya askari wako au kurudishwa nyuma kwa vikosi vya jeshi lako.

Sasa badala ya kujibu kwa ujasiri na kwa kauli za kishujaa na kuwatia moyo Makamanda walioleta taarifa kwa kuwaambia kuwa ni lazima tushinde vita hii kwa gharama yoyote ile kulinda ardhi yetu na kupigana kwa ajili ya askari na mashujaa wetu waliopoteza maisha. na kwamba Damu zao zilizomwagika zinakwenda kuleta ushindi na kuwa wamekufa kimwili lakini kiroho bado tupo nao na tunaendelea pale walipoishia wao.

na kwamba wewe kama Amiri Jeshi Mkuu umeshaongea na Nchi marafiki na wapo tayari kusaidia kutoa silaha nzito nzito za kisasa kabisa na ndege nzuri kabisa ambazo nyingine siyo za kutumia rubani na kwamba mambo mbalimbali ya kiteknolojia unakwenda kuwawezesha askari wako wa vikosi vyote ikiwepo teknolojia ya kudungua ndege za adui,Vifaru vya kisasa vipo njiani vinakuja na pia kuongeza askari katika uwanja wa mapambano.

Sasa badala ya kuwapa moyo na kuwaambia maneno hayo yenye kuwaongezea ujasiri na nguvu za kuendelea kupambana na morali kwa askari wote .wakute wewe umeanza kulia na kububujikwa na machozi yasiyokatika.unafikiri watajisikiaje? unafikiri watakuchukuliaje?unafikiri utakuwa umewavunja Moyo kiasi gani? Unafikiri utakuwa umewakatisha tamaa na kushusha morali ya kupigana kwa kiasi gani?

Unajua kiongozi ni pamoja na kuwapa morali unaowaongoza,kuwajaza ujasiri ,kuwaonyesha kuwa ushindi ni lazima upatikane hata kama mazingira ni mabaya na magumu. lakini ni lazima kila mmoja ajitoe kwa jasho na Damu kutetea Ardhi yetu na Taifa letu au jambo fulani.

Ndio maana ya kuitwa kiongozi .kwamba wewe ni lazima uwaongoze njia watu tena njia ya ushindi na matumaini.ni lazima uwajaze ujasiri na matumaini hai hata kama moyoni una maumivu lakini usoni ni lazma uonyeshe ujasiri na utayari wa mapambano.wewe ndiye unatakiwa uwafute machozi na kuwashika mkono walio nyuma yako badala ya wao ndio waanze kutafuta vitambaa vya kukufutia machozi.

Embu angalia namna Rais wetu mpendwa na Jemedari wetu kipenzi Mheshimiwa Daktari Mama Samia Samia baada ya Kifo cha Rais wetu wa Awamu ya Tano Hayati Daktari Mwalimu John Pombe Joseph Magufuli kufariki Dunia.mliona namna alivyo tujaza ujasiri watanzania? Mliona namna alivyotoa kauli za kiuongozi na kuleta matumaini.mnakumbuka Kauli yake ya kuwa huu sio wakati wa kuangalia mbele kwa mashaka bali wa kuangalia na kutizama mbele kwa Matumaini.

mnakumbuka pia kauli yake ya kuwa kazi iendelee? Unafikiri kwanini alitamka maneno hayo? Vipi kama angeanza kububujikwa na machozi muda wote? Mnafikiri Watanzania wangekuwa katika hali gani? Si wote tungekata tamaa?

Mnakumbuka alipokwenda kuwapa pole watu wa Hanang mkoani Manyara waliofariki kwa kusombwa na udongo ulioporomoka kutoka mlimani? Mnakumbuka kauli zake za kijasiri kama kiongozi alizozitoa licha ya kuwa na majonzi mazito Moyoni na kifuani pake?unafikiri ni kwanini hakububujikwa na machozi? Je mliona na kukumbuka wakati hayati Benjamini Mkapa anatangaza kifo cha Muasisi wa Taifa letu Hayati Mwalimu Nyerere mwaka 1999 October?

Vipi wakati Mama yetu Mpendwa na Jemedari wetu kipenzi Mheshimiwa Daktari Mama Samia wakati anatangaza kifo cha Hayati Mwalimu Daktari John Magufuli mkoani Tanga? Je mliona sura yake ilivyokuwa na namna alivyojikaza kijasiri? Unafikiri kwanini hakulia hadharani? Jibu ni kwa sababu ni kiongozi na anafahamu dhamana kubwa aliyonayo katika kulifariji Taifa na kulipa Matumaini.

Ukiwa kiongozi kuna namna ya kujiweka .ndio Maana ni muhimu sana kwa kiongozi kutofautisha wewe kama mtu binafsi na husia zako na kiongozi mwenye watu nyuma yako.

Ok naomba niweke kalamu yangu chini mara moja.nitatoa semina wakati mwingine ya uongozi hapa jukwaani kwa vitu vya msingi kwa kiongozi kuvijua na kuviishi. Lakini kwa ufupi ni kuwa viongozi wanatakiwa wamchukulie na kumuiga Rais Samia kama Darasa lao.maana nikimuangalia Rais Samia naona ni chuo cha uongozi kitembeacho.na ndio maana namfuatilia kila siku awapo hadharani na yale afanyayo na kuzungumza .

Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Unajua sababu ya kulia? Kama kuna anayowaza kimyakimya umemuuliza ili uweze kumshauri?
 
Makonda anacheza na akili za wajinga, yule jamaa anaweza kuja kuwa na mwisho mbaya sana mno, time will tell
 
Back
Top Bottom