Namshukuru Mungu JF imenipa mke mwema

Hongera zako mkuu....una zali mwanangu, sie wengine bado patupu, ngoja tuendelee kuomba dua Mola atajalia....
 
Ndo yupo kwenye plan za kuja babuu bado anajiandaa vya kutosha siunajua Usawa wenyewe huu mara shuka la babu sijui kapu la bibi teh

Smart911 you are needed na babuu
Asisahau na kreti kadhaa za kinywaji cha babu. Hiyo haihusiani na mahari bali fine ya kutumia kitumbua cha mjukuu wangu kabla ya kupewa kibali.

Mi si babu wa kispotispoti
 
hii sentensi unavyoikopi na kui pest maana yake ni kuwa hilo penzi ni maigizo matupu.
sasa hivi mwenzako anampa mtu maviuono huko na ww unamuambia apokee kiss.. wanaume huwajui vizuri wewe mahondaw
 
Aisee....kumbe hum wamo...

Na mm natafuta mke...am 31yrs old..kaz yangu n kudunduliza kitaa....

Nnachokichukia hapa dunian kuliko chochote n umackn...!
 
Safi Mahondaw... Haipendezi wanawake kuongea sanaaa...... Wanapendeza kufanya sanaaa.
 
Yaani ulimtumia mtu usiyemjua nauli?, kweli ulikuwa na roho ngumu kama ya paka
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…