Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Asisahau na kreti kadhaa za kinywaji cha babu. Hiyo haihusiani na mahari bali fine ya kutumia kitumbua cha mjukuu wangu kabla ya kupewa kibali.Ndo yupo kwenye plan za kuja babuu bado anajiandaa vya kutosha siunajua Usawa wenyewe huu mara shuka la babu sijui kapu la bibi teh
Smart911 you are needed na babuu
Namfuatilia kwa karibu Sheikh.... kabla sijafanya maamuzi magumuanawaza sana ngono mtoto huyu,, kwanza amepata kidume hapa JF bila kufanyiwa usaili.. vipi hatua gani zichukuliwe sheikh
hii sentensi unavyoikopi na kui pest maana yake ni kuwa hilo penzi ni maigizo matupu.
Ukimpenda unamtongoza live kama hapa tu na mnapeana noHivi kumfuata mtu inbox unafanyaje?au unamtongoza live?
Looh vibaya hivoMrejesho wakiachana
Haaaa ubaya wake niniLooh vibaya hivo
Unamwombea mwenzio ubayaHaaaa ubaya wake nini
Haaa we c ndo umesema unasubiri mrejeshoUnamwombea mwenzio ubaya
Safi Mahondaw... Haipendezi wanawake kuongea sanaaa...... Wanapendeza kufanya sanaaa.Pia kuna special day Friday ni full rahaaa mnaanza na..... Then mnaenda kwenye vinywaji unakunywa chochote kile kampuni inalipa khakhaakh ......
Hapa naomba Smart911 The small boss mwenyewe aje atoe mwongozo vizuri hapa nisiwe Msemaji sana
Mengine Wacha nifunge domo langu mie
Nisalimie SMART September elevenKweli kabisa shem lake mwanamke kuongea ongea sana sio ndomana nimemuachia Smart911 mwenyewe atasema
Ndoa mnafunga lini wapendanaoUsijali Zimefika tatizo yupo bize kidogo na kazi but namfikishia salamu
Yaani ulimtumia mtu usiyemjua nauli?, kweli ulikuwa na roho ngumu kama ya pakaKuna kipindi nilikuja hapa jukwaani kulalamika na kuomba wanajukwaa hili wanisaidie kumpata mwanamke niliyempenda sana na ni member anayejulikana kwa jina la rubii baada ya jitihada za kumbembeleza akashindwa kabisa kunikubali pengine baada ya kujua biashara yangu ( kuuza na kusambaza majeneza, sanda na vifaa vyote vya kuzikia).
Nilitumia kila njia kumbembeleza pamoja na kuahidi kumwoa na kumpa kila atakachotaka lakini ilishindikana. Kama ujuavyo kila jambo hupangwa na Mungu, kuna member waliokuja Pm ili kutaka japo kunifariji.
Mwisho wa yote kuna mdada mmoja akavutiwa na mimi na kuanza mawasiliano ambapo baadae tulikubaliana kuonana nikamtumia nauli akaja Dom tukafahamiana she is naturally beauty na amekubaliana na maisha yangu na tuko katika maandalizi ya kwenda kweo kutoa posa.
Nimeamini kwamba sio kila mwanamke aliye JF ni malaya au mchunaji kuna wanawake wako serious kuolewa. Ningemtaja lakini kulingana na umaarufu wake hapa jukwaani sintomtaja mapema mpaka tukishafunga ndoa. Ana elimu nzuri na ni mwajiriwa serikalini na ameikubali kazi yangu.
Nawashukuru mods na waanzilishi wa JF pamoja na wote mlioniombea mema.
Mlishawai kuliongelea au mnakojoleana tu