Janeth Thomson Mwambije
Member
- Apr 11, 2024
- 24
- 55
Namshukuru Mungu Kwa Kunipa Kibali Cha Kuwa Mwanachama wa Chama Cha Mapinduzi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
mambo mrembo..?😃Namshukuru Mungu Kwa Kunipa Kibali Cha Kuwa Mwanachama wa Chama Cha Mapinduzi
View attachment 2961397
Utakuwa Chakula..lazima uliwe kwa kuwa unataka kula.Namshukuru Mungu Kwa Kunipa Kibali Cha Kuwa Mwanachama wa Chama Cha Mapinduzi
View attachment 2961397
Sababu gani zimekupelekea kuwa mwanachama?Namshukuru Mungu Kwa Kunipa Kibali Cha Kuwa Mwanachama wa Chama Cha Mapinduzi
View attachment 2961397
Hongera but Sio necessary kutangaza hapa, and with or without Mungu ungepewa kibali tu. After all ni matakwa yako mwenyeweNamshukuru Mungu Kwa Kunipa Kibali Cha Kuwa Mwanachama wa Chama Cha Mapinduzi
View attachment 2961397
Sababu ya ajira, unazania angekuwa na kazi ya maana angeenda kuwa mwanachama? hio ndio survive model yakeSababu gani zimekupelekea kuwa mwanachama?
hongeraNamshukuru Mungu Kwa Kunipa Kibali Cha Kuwa Mwanachama wa Chama Cha Mapinduzi
View attachment 2961397
Mnatoa pongez???hongera
Umenikumbusha DC NzegaNjoo uwe kitafunwa cha wenye chama
Kwa walamba asaliMnatoa pongez???
Muonekano mzuri ajabu eti naye ni fisadi.Namshukuru Mungu Kwa Kunipa Kibali Cha Kuwa Mwanachama wa Chama Cha Mapinduzi
View attachment 2961397
Usimhusishe Mungu kwenye mambo ya kishetani. Wewe nenda ukageuzwe asusa.Namshukuru Mungu Kwa Kunipa Kibali Cha Kuwa Mwanachama wa Chama Cha Mapinduzi
View attachment 2961397
Kabla ya yote, make sure unaonana na Carasco Putin. Ana vitu vya kukwambia kuhusu JFNamshukuru Mungu Kwa Kunipa Kibali Cha Kuwa Mwanachama wa Chama Cha Mapinduzi
View attachment 2961397
chama la wana pilau itapakuliwa vizuri karibu sana utimize malengo ya ibilisi, usisahau hapa JF ni guru tupuNamshukuru Mungu Kwa Kunipa Kibali Cha Kuwa Mwanachama wa Chama Cha Mapinduzi
View attachment 2961397
Well said !!!Kuwa mwanaccm unamshukuru shetani,siyo Mungu!