Bujibuji Simba Nyamaume
JF-Expert Member
- Feb 4, 2009
- 76,107
- 160,001
NipoHivi Bujibuji Simba Nyamaume yuko wapi?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
NipoHivi Bujibuji Simba Nyamaume yuko wapi?
Kaingia humu ki fb atakimbia mwenyewe 😄Hii kali...kumbe ukiwa mwanachama unakuja kujitambulisha JF...
Yani naona jinsi alivyo sapraiziwa...🤣 🤣 🤣 Kaingia humu ki fb atakimbia mwenyewe 😄
Ova
Sema Ana uthubutu 😄Yani naona jinsi alivyo sapraiziwa...
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nimechekaa had baas.Dogo soma kwanza. JamiiForums ingia kwa akili sana, usidhani hapa ni Insta au vile vikundi vyenu vya WhatsApp.
Ndo na mie nashangaa hapa, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hii kali...kumbe ukiwa mwanachama unakuja kujitambulisha JF...
Hapo hujaweka namba yako ya simu.Namshukuru Mungu Kwa Kunipa Kibali Cha Kuwa Mwanachama wa Chama Cha Mapinduzi
View attachment 2961397
Kwake hiyo wala siyo issue, hatua hiyo ameshaipitia hadi kuwa kawaida ndiyo maana ameona ajaribu kivingineNjoo uwe kitafunwa cha wenye chama
Hawezi kuwa jasiri kama kina lucas mwashambwa...ww utaona atakimbia..Sema Ana uthubutu 😄
Ngoja tuone
Ova
Itakuwa ilikuwa ndio lengo lake kubwa zaidiNadhani DM kufikia muda huu iko over loaded...
binti mdogo sana... unataka kuichafua nafsi yako kwa kula haramu.... Mimi natamani sana nipate kazi ya halali hata nikilipwa laki mbili tu...Namshukuru Mungu Kwa Kunipa Kibali Cha Kuwa Mwanachama wa Chama Cha Mapinduzi
View attachment 2961397
Namshukuru Mungu Kwa Kunipa Kibali Cha Kuwa Mwanachama wa Chama Cha Mapinduzi
View attachment 2961397