Mbaga Jr
JF-Expert Member
- May 28, 2018
- 29,028
- 69,666
Erythrocyte akiona hii atatamani kurudi ccm 😂 mana Chadema huko hakuna mrembo wa sura wala akili
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unataka umuoe Yeye au uioe CCM?umeolewa mrembo?
Namshukuru Mungu Kwa Kunipa Kibali Cha Kuwa Mwanachama wa Chama Cha umes
Umejiandaa kuwa single mom au kuwa mchepuko wa vigogo wa chama ?Namshukuru Mungu Kwa Kunipa Kibali Cha Kuwa Mwanachama wa Chama Cha Mapinduzi
View attachment 2961397
Ili iwe rahisi kuonekana na vigogo wa chama.Sababu gani zimekupelekea kuwa mwanachama?
Sema ni LIZURI.Namshukuru Mungu Kwa Kunipa Kibali Cha Kuwa Mwanachama wa Chama Cha Mapinduzi
View attachment 2961397
Kule CCM wanaliwa sana. Akumbuke hiloHakuna kitu hapo. Hakuna mwanamke mwenye utu, heshima na staha anakuwa mwana CCM. Kuna mawili yakiyokupeleka huko, kwanza huna ajira pili u kahaba.
Kijana mdogo kama ww..poor youUmefanya uamuzi bora kabisa at such a tender age..Hongera sana!!
Itapata shida sana mpaka uje ukae sawa................ ha ha ha... karibu sisi tupo miaka yote tunawasubiri watu kama nyie.Namshukuru Mungu Kwa Kunipa Kibali Cha Kuwa Mwanachama wa Chama Cha Mapinduzi
View attachment 2961397
Unatafuta makiki na kujulikana... Hatumjulikanishi mtu hapa tafuta cheo Kwa kufanya yamaanaNamshukuru Mungu Kwa Kunipa Kibali Cha Kuwa Mwanachama wa Chama Cha Mapinduzi
View attachment 2961397
usianze kumtisha bwana aje tu tutampokea sisi ndo wapokeaji mabinti kama hawa kabla hawajachoshwa na viongozi wa juuUsimhusishe Mungu kwenye mambo ya kishetani. Wewe nenda ukageuzwe asusa.
Acha kumdanganya mwenzako.Neema na Baraka za Mungu ziambatane na kuandamana na wewe, na daima kua muaminifu sana, shirikiana na wanachama wengine wa CCM katika kuifanya CCM na serikali yake, kua imara zaidi na yenye nguvu kuliko vyama vingine vyote humu nchini.
Na uhakikishe una itetea ccm, una ielezea ccm na kushiriki vyema kuinadi itikadi na ilani bora kabisa ya CCM popote pale unapo pata nafasi ya kufanya hivyo 🐒
Kidumu Chama Chama cha Mapinduzi Janeth Thomson Mwambije
ameshapata Baraka na kibali cha Mungu, na sasa anakwenda kufanya kazi ya CCM, kwa maelekezo na taratibu za CCM, kwa maslahi mapana ya waTanzania wote 🐒Acha kumdanganya mwenzako.
😂😂😂😂🙌🙌🙌 Mbaga hakili hunaMama anazidi kuupiga mwingi 😂