Namshukuru Mungu Kwa Kunipa Kibali Cha Kuwa Mwanachama wa Chama Cha Mapinduzi

Namshukuru Mungu Kwa Kunipa Kibali Cha Kuwa Mwanachama wa Chama Cha Mapinduzi

Sawa, ila msimtumie vibaya. Mtumieni vizuri.
hapo mbeleni kidogo,

kijana akizoea vizur kazi na kukomaa kidogo, tutampatia ujumbe maalum wa chama kutoka juu, akuletee kamanda, na mfanye mazungumzo kidogo, na ndio sasa tuone namna, tufanye kazi pamoja na kusonga mbele kwa umoja 🐒
 
Duh kuwa mwanachama wa ccm hadi upate kibali toka kwa Mungu???
Kama ni kweli nchi hii ingekuwa mbali kimaendeleo na Wala tusingekuwa na mikataba ya 'chifu mangungo wa msovero ' kwenye sekta mbali mbali!!!
 
Wazee wa Kula tunda kimasihara cease the opportunity.
 
Hii kali...kumbe ukiwa mwanachama unakuja kujitambulisha JF...
Si kama wewe unavyojitambulisha humu JF kama mwanachama wa Mbumbumbu FC a.k.a Jobe FC.
FB_IMG_1712924364268.jpg
 
Back
Top Bottom