Namshukuru Mungu Kwa Kunipa Kibali Cha Kuwa Mwanachama wa Chama Cha Mapinduzi

Erythrocyte akiona hii atatamani kurudi ccm πŸ˜‚ mana Chadema huko hakuna mrembo wa sura wala akili
 
Hamjatosheka kujaza mamluki maana ikikaribia uchaguzi mamluki mnajazwa humu!
 
Hongera, pambana....binafsi huwa naona watu wenye jina "Janeth" huwa wana bahati, wengi wao.

Komaa humo kwenye chama ujipate
 
Siku nyingine usimhusishe Mungu na vitu vya Kijinga. Ni Ushauri tu.
 
Acha kumdanganya mwenzako.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…