Sawa, ila msimtumie vibaya. Mtumieni vizuri.ameshapata Baraka na kibali cha Mungu, na sasa anakwenda kufanya kazi ya CCM, kwa maelekezo na taratibu za CCM, kwa maslahi mapana ya waTanzania wote π
kila la kheri sana comrade Janeth Thomson Mwambije
hapo mbeleni kidogo,Sawa, ila msimtumie vibaya. Mtumieni vizuri.
Halafu ni kuku wa kienyejiumeolewa mrembo?
Hivi baba yako ni yule ripota wa ITV?.Namshukuru Mungu Kwa Kunipa Kibali Cha Kuwa Mwanachama wa Chama Cha Mapinduzi
View attachment 2961397
Hongera but Sio necessary kutangaza hapa, and with or without Mungu ungepewa kibali tu. After all ni matakwa yako mwenyewe
Kanaonekana kamalaya tu hako. Vidada vya CCM kama hivyo havikosagi U.T.I Sugu.Wazee wa Kula tunda kimasihara cease the opportunity.
Si kama wewe unavyojitambulisha humu JF kama mwanachama wa Mbumbumbu FC a.k.a Jobe FC.Hii kali...kumbe ukiwa mwanachama unakuja kujitambulisha JF...
Zuzu kama zuzu...Si kama wewe unavyojitambulisha humu JF kama mwanachama wa Mbumbumbu FC a.k.a Jobe FC.
View attachment 2961591
Ccm ina wenyewe ukumbukeNamshukuru Mungu Kwa Kunipa Kibali Cha Kuwa Mwanachama wa Chama Cha Mapinduzi
View attachment 2961397
very very poor you!!Kijana mdogo kama ww..poor you
Ng'ombeNamshukuru Mungu Kwa Kunipa Kibali Cha Kuwa Mwanachama wa Chama Cha Mapinduzi
View attachment 2961397
Mradi usiahirishe kufikiri suspending your individual reasoning because of flattering,fear of your leaders and group objectivesNamshukuru Mungu Kwa Kunipa Kibali Cha Kuwa Mwanachama wa Chama Cha Mapinduzi
View attachment 2961397