Au anafikisha ujumbe kuwa ana gari kwa wale wadada wapenda liftNigga you are full of shit.
Ungeweza kuishia pale kwenye kuagiza kitimoto bila kusema kama ni mke wa mtu na akakufuata huko pm.
Kwakua ujinga ni kipaji ukaona umalizia hatua tisa zote.
Hii ni chai. Hakuna mwanaume anayehadithia hivi.
[emoji16][emoji16][emoji16]Au anafikisha ujumbe kuwa ana gari kwa wale wadada wapenda lift
Kama uko kichwani mwangu, nimefikiria the same.
Ni dharau kubwa kumrudia mumeo usiku wa manane umelewa/unanuka mipombe, mbaya zaidi hata hajui unapotoka.
We nae umedanganywa umeamini, huo msemo hata waume za watu wanatuambia mara nyingiWengi wenu ndo mlivo mkifikishwa kwenye mautamu, mimi kuna mke wa mtu alinambia ilikuwaje acherewe kukutana na mimi? Maana hajawahi kuona utamu wa dudu kauwona kwangu.
We nae umedanganywa umeamini, huo msemo hata waume za watu wanatuambia mara nyingi
We kenge Hiyo K ni yako unavompangia???Usitoe kwa Mchaga asiyejua kuandika SMS.
kutoka: 22D Arnold st.
Alikuwa amelewa.Kweli aisee hivi huwa ni nini unamuacha mumeo uchi kabisa hata kama ana mapungufu yake ebu jaribu kuyaficha ongeeni tu mambo yenu yaliyowakutanisha
Kukutana tu siku moja kila kitu umeshamwambia huyo mwanaume
Wow..mkaenda kuyamaliza hayo yote mkiwa na majivu yenu kwenye paji la uso
This is amazing..interesting
Hizi ndoa za siku hizi hazina maana..mi nasemaga bila nakandiwa
Bila mtoa mada uko matatani kama umetaja maeneo halisi..
Sent using Jamii Forums mobile app
Tunachotakiwa ni kuwaridhisha wake zetu mkuu..vinginevyo wataliwa tuImagine wewe ndo mkeo anakukandia, wanaume tuache kutongoza wake za watu haipendezi, hivi akiachwa na mumewe utamuoa?
imenichukua muda mrefu kutafakari siku ile manake wote tulikuwa na majivu kwenye mapaji yetu