Namtafuta binti huyu wa Humu JF Naomba Tuwasiliane


Siku ya Jumatano ya majivu....mkazini! Kweli dunia imetoboka, so mlienda kanisani kufanya nini sasa
 
Potezea hiyo issue ya namba na mazoea chukulia kama starehe ya siku moja usijipagawashe matumizi yataongezeka siyo muda mrefu.
 
Huyu mtu wala sio Mkristo wala Mkatoliki. Anajaribu ku-provoke watu. Kwamba jumatano ya majivu watu(wakiwemo wanandoa) wanaenda kanisani na wakitoka wanaendeleza uzinzi. Hata iweje mtu akifanya uovu kama huo hawezi kuja kusimulia mtandaoni hata kama hujulikani.
 
Dah..halafu ukute robo ya wanaume wa JF wake zao walirudi baada ya saa nne na nusu usiku ile siku ya majivu....wanakomaje? ....btw...ulitumia ndom?[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Sent using Beretta ARX 160
 
Hakuna kitu kama hivi, huyu anakashifu dini za watu kiaina tu.
Huyu ana-provoke watu hana lolote.
Hahahaha,

Mzee mwenzangu nimekuelewa vema

MTC | 101| [emoji769]
 

Haya mambo yaone kama yalivyo kuna jamaa mmoja tulikuwa tunafanya nae kazi ni mlokole haswaaa, tulienda tunduma akataka kumbaka mdada wa usafi wa lodge tena asubuhi kabisa, nilishangaa sana
 
We nae umedanganywa umeamini, huo msemo hata waume za watu wanatuambia mara nyingi
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Nimeamini wanaume wanapenda sana kudanganywa.
 
Ni ajabu sana halafu bila aibu unasema eti alikuambia ni mke wa mtu na anawahi kwake ukazidi kuomba duu
Halafu wanasema wanawake ni wabaya
Wazinzi na washenzi wengi ni wanaume kwa kweli
Una roho mbaya sana na wewe mke wako atachukuliwa tu

Sent from my SM-G570F using Tapatalk
 
Haya mambo yaone kama yalivyo kuna jamaa mmoja tulikuwa tunafanya nae kazi ni mlokole haswaaa, tulienda tunduma akataka kumbaka mdada wa usafi wa lodge tena asubuhi kabisa, nilishangaa sana


Hahhahaha mm wala siyashangai..!siyashangai kbs...!kuna mchungaji m1 maaarufu sana morogoro...yule ww jichetue una shida na ndoa yako..ana hela balaa...anachofanya anakufanya mkewe mdogo..shida zako zote anakutimizia...yaan anawala wamama wenye stress kweli kweli...ila anaangalia na muonekano..anamega vidada vibichiiiiiii
 
Atajua mwenyewe kama anaongopa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…