Namtafuta Mama Yangu popote alipo

Huu uzi unataka kufanana na na wa holoholo unaitwa "Nakuchukia Baba Yangu" sijui hili taifa limelaaniwa na nani jamani badala ya vijana wamshukuru mungu wao wanawachukia wazazi wao pumbavu na mimi holoholo nikiwemo
 
Acha kudeka,kuna wamama ni wakakx mbaka unaweza kudhani sio mama yako.
 
Maskini.pole sana .huenda ni mamako kabisa ila hasira zinamzid nguvu
 
Kuna mtu anatafutwa kwa hiyo staili yako?
Hakuna. Kuna taarifa nyingi sana bado inatakiwa ili tuweze kumsaidia katika kumtafuta mama yake halisi. Kwa hayo aliyoyaandika ni kama taarifa tu kwamba anamtafuta mama yake kwa vile haridhiki na huyu anayeishi naye.
 
Nimekuelewa mkuu lakini sababu zinazopelekea kuamini kua huyu sio Mama yangu ni nyingi mno nyingi sana laiti km ungekua upande wangu ungelitambua hilo
 
Mema hayakosekani mkuu ila mabaya yanapozidi mema hakuna mema tena, suala la kuuliza nimewahi kumuuliza Mzee akanipa jibu la mkato tu still bado nimebakia kuona huyu sio Mama yangu
 
Kwa hiyo unamtafuta mama ambaye hajawahi kukutafuta? What is the point? Kama hajakutafuta ina maana hana haja na wewe.
 
Mema hayakosekani mkuu ila mabaya yanapozidi mema hakuna mema tena, suala la kuuliza nimewahi kumuuliza Mzee akanipa jibu la mkato tu still bado nimebakia kuona huyu sio Mama yangu
Tafuta ukweli lakini kumbuka usisahau wema hata kama ni mdogo. Kama hukukudhuru na akachangia hata kidogo kukuza, inakupasa umshukuru hata kama kwako hana thamani
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…