Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Anhaa ko uki mwambia mambo au mipango yako, yeye ana isema?Hajui kutunza Siri
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂Naungana nawewe,Mama yako itakuwa ni Mama Saa100.
Namimi sikutanii.Mkuu this is not a joke
Una umri gani?Mzee wangu yupo peace sana ila huyu Mama ndio simuelewi na huyu sio Mama yangu,
Ooh kumbe ni jumapili inaishia?Umelewa visungura au?
Sasa unasema unamtafuta mama Ako na huweki majina na vigezo,Naomba kuwasilisha kwenu Wakuu.
Namtafuta Mama yangu nahisi kuna asilimia nyingi zisizopungua 95 huyu Mama ninaehisi ni Mama yangu Mzazi sio Mama yangu Mzazi halisi, kuna kitu kinaniambia kabisa ndani yangu kwamba huyu sio Mama yako aliekuzaa ila Mama yangu alienizaa sijui alipo. Mama yangu mzazi popote ulipo uisikie sauti yangu hii, Mama kwanini ulinitupa? Kwanini uliniacha peke yangu?
Hakuna swali boring kama hiloUna umri gani?
Sasa wewe kusema kuwabhamuelewi, haiondoi kuwa tayari ni mama ako mzee baba.Mzee wangu yupo peace sana ila huyu Mama ndio simuelewi na huyu sio Mama yangu,
Vp Half american alikuokoa hapo dar??👀👀Sasa wewe kusema kuwabhamuelewi, haiondoi kuwa tayari ni mama ako mzee baba.
labda unge sema kataka kukupa sumu, au kukufunga jela.
Beside una kula bange au visungura?
Huyo Half american a.k.a nusu albino 😆, haja tokeaVp Half american alikuokoa hapo dar??👀👀
Kwahiyo ulilala mtaroni au??🤨🤨Huyo Half american a.k.a nusu albino 😆, haja tokea
DuhMama ninaehisi ni Mama yangu kuna asilimia nyingi zinanionyesha sio Mama yangu kuna sauti kutoka ndani inaniambia huyu sio Mama yako
nili pokelewa na ma jobless wenzangu, kwa Sasa niko nanjilinji.Kwahiyo ulilala mtaroni au??🤨🤨
Mkuu ni zaidi ya hivyo yaan sijui nikuelezee vipi uelewe kuna watu hatupendi kujianika anika mambo tunapenda kufanya vitu kimya kimya bila kujitangaza kwa watu sababu nimekulia katika makuzi hayo, mimi ni mtu mkimya sana sio muongeaji mzuri muda mwingi napenda kukaa peke yangu sio mtu wa marafiki na sio mtu wa kujitangazia mambo yangu kwa watu ikifika hatua nikikwambia jambo langu linalonihusu basi wewe jua nimekuamini kwa asilimia nyingi na una nafasi kubwa yenye kwenye maisha yangu kwamba hutolitangaza kwa mtu mwingine linabaki kua letu wewe na mimi sio litoke nje, sasa Mama huyu hio kitu hana ukimwambia kitu tu anapita kuropoka kwa kila mtuAnhaa ko uki mwambia mambo au mipango yako, yeye ana isema?
mbona sababu nyepesi Sana hii.