namtafuta mmu member awe mume wangu

Kwenye red kama niliwahi kutumia na nimeacha whats the problem.....relationship discrimination
 
dah....hahahahaha nilikuwa sijaona na hii kwenye red.....asee kazi kweli kweli
 
Afadhali umemstukia mwanamke gani mwenye ni ya dhati ya kuolewa na wakati huo huo anaweka vigezo na masharti mengi atampata nani labda Ngongo peke yake ndiyo mwenye vigezo hivyo ukiondoa namba 8.Ingieni kichwa kichwa mtakutana na dume mwenzenu mwisho wa siku mtakimbilia kuomba msaada kwa mheshimiwa Membe shauri yenu.

Hizo sifa naanza kuamini Bebii si mwanamke
 

Masharti hata kazi za UN 15yrs imezidi kha Bebii punguza kidogo
 
Mimi nimetimiza vigezo vyoote Bebii, ila nina tabia moja mbaya sana...huwa ni lazima niende chumvini mpaka Manzi amwage chozi ndo nianze mzigo, hapo tu ndo penye tatizo.
 


Hapa kwenye red cjaelewa, ina maana umekubali kupokea misaada ya Malkia siyo? It seem uko tayari kwa either way
 
we kontakti mama 2kupandie hewani
 
No 4 pagumu nimepita pabaya sana, bt sifa zote ninazo sasa take risk.
 
Bado CV ulizopewa hazijatosha tu? Hujapata bado wa kukufaa japo awe na 3/5 ya sifa ulizotaja.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…