Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
ulijuaje jamani?
heheh kesho si ndo mjerumani aliondoka tanzania? au mwalim wa historia alinipeleka chaka?uhuru wa nini? au wa cameroon
ngoja nimsome mwayaNakutakia mema Bebii, mnyarwanda anaonekana hana pupa, anataka nawe uridhike nae ndo maana akasema mnaweza kuwa marafiki kwanza. Sasa hawa wa humu kile kipengele cha jana cha miezi sita tu waliona kama jela!! Lol!
nitaendelea kesho ila hiv niko negative ningekuwa positive nisingetafuta negativu tumia akili ila usijali positive wapo utawapata tu mkuuMimi ninazo sifa zote tajwa hapo juu. Ila naona umeiweka kama tender igombewe. Sasa ili kuondoa mtazamo huo, nawe ujitambulishe kwa sifa ulizo nazo. Mfano kama una watoto, umewahi kuolewa ama la, umri wako,kabila,HIV status yako,maana kwa wengine ukiwa positive utawafaa n.k.
Kipipi unataka kuninyima kitu nini?
Bebii mbona hunipi jibu au umeniogopa? Kama vp hakuna majontroooooo!Duh!! BAHATI kwangu! Sifa zote mm ninazo na nyingine 1 ya ziada, yaani "issue" yangu ni sem-treiller!! Hapo vp?? Alafu Bebii ile njia yako uliotumia mwanzoni ya vacancy application haikufanikiwa nini ndo umeamua leo kuja mzima-mzima!!??
ngoja nimsome mwaya
Like tupu haitoshi kipipi, bonus muhimu. Think! kipipi think!hahahaa lawyer bana! Ngoja nitafute hela ya cafe kesho nikugee 'like' za kufa mtu!!
Lizzy,love connect wanarusha uzi watu ambao kweli serious wanatafuta wenza,uzi huu wa Bebii hapa ndp pahala pake maana basically anafurahisha baraza,wewe are you taking this tangazo seriously? mpaka leo hujamjua Bebii?dawa yake huyu nshamwambia ni kumchapa tu.Love connect.....peleka kule.
The Boss , alokwambia Bebii yuko siriaz nani?humjui au?Unajua mnaongea sana halafu mnasahau.....
mara unaye ambae unamuangalia kama atakufaa,
mara fulani ulimuona anakufaa
mara hutaki kutongozwa...
mara hivi.....mwisho watu hawatakuchukulia serious....
du,umepiga ikulu mkuu!
hiyo na. 9. una maana unatafuta hata wa jinsia moja??
Bebii my kid sis hua unanichanganya habari zako haziko consistent....
Saizi unatafuta mchumba?? Niambie kid sis kama saizi upo serious...
- Hujafanya mambo yale siku nyingi wala hutarajii...
- Hutaki kabisa wanaume...
- Hutaki kuolewa mana ni mateso...
- Mara una appointment na Bishanga (angekua mwingine ningekua sina wasi but Bishanga kazi ni moja)