Mad Max
JF-Expert Member
- Oct 21, 2010
- 26,961
- 77,890
😁😁😁Uyu[emoji777]
huyu[emoji3581]
Siku hizi naona mnasomeshwa Kisukuma darasani.
Shukrani next time sitarudia makosa.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
😁😁😁Uyu[emoji777]
huyu[emoji3581]
Siku hizi naona mnasomeshwa Kisukuma darasani.
Roy Maganga kweny sitosahau alikua safi sanaa... Sky walkerBeatrice Rabach
Glory Robinson
Rahabu Fred
Mkamiti Juma
Fredwaa
Baruan Muhuza
Roy Mlaliki Maganga
Jumaa Ahmed Baragaza
Na wengine wengi hii RFA ilikuwa ya moto na influence kubwa sana kuliko radio nyingine yoyote hapa nchini.
Kwenye moja ya sintosahau aliweka simulizi ya tukio la familia yao. Alichofanya ni kubadilisha characters, ilileta taharuki ila yalikwisha.Roy Maganga kweny sitosahau alikua safi sanaa... Sky walker
Ongeza na Jacob Usungu, RFA hiyo ilitisha. Crue hii imefanya niwe naifutilia Radio yao mpaka leo.Beatrice Rabach
Glory Robinson
Rahabu Fred
Mkamiti Juma
Fredwaa
Baruan Muhuza
Roy Mlaliki Maganga
Jumaa Ahmed Baragaza
Na wengine wengi hii RFA ilikuwa ya moto na influence kubwa sana kuliko radio nyingine yoyote hapa nchini.
2000-2010 hiyo ndiyo ilikuwa radio pekee isiyochosha kusikiliza ilikuwa na vipindi vya maana sana unaweza usizime radio hata mwaka mzima na hautaboreka.Nyuzi zinazoongelea watangazaji wa RFA wa zamani ni Nyingi JF.
Inaonesha walifanya kazi nzuri.
Ilikuwa ukiwasha redio kuanzia saa 11 alfajiri.
Huhami stesheni mpka saa nne usiku.
Alihamia TBC sijui kama bado yupo hukoRoy Maganga kweny sitosahau alikua safi sanaa... Sky walker
Duh kweli radio siku zote zinatupa picha ya mtu usiyemtarajia, sijajua hii picha ni ya lini ila sauti nilivyokuwa naisikia redioni enzi hizo na hao kina Kid Bway, nilivuta picha ya mdada flani hivii. . .View attachment 2796132Nilikua namkubali sana uyu sister dah.
Namwona mwanangu Sam K,
Ndio ilikuwa radio bora Tanzania iliyokimbiza baada ya kuupora ufalme wa redio one, iliendelea kukimbiza mpaka Clouds FM aliposhika hatamu na kuupora ufalme wake na hii ni kutokana na Clouds FM kuwasha mitambo kwenye mikoa mingi sehemu ambapo mwanzo haikusikikaNyuzi zinazoongelea watangazaji wa RFA wa zamani ni Nyingi JF.
Inaonesha walifanya kazi nzuri.
Ilikuwa ukiwasha redio kuanzia saa 11 alfajiri.
Huhami stesheni mpka saa nne usiku.
Umekosea radio bora kwa sasa ni clouds fm and no more ubishi uishe ila kipindi kile kulikua na radio pacha kiss fm ilikua laana nanusu JK(John Kalani).Hassan Wibonela (D7) Marehem Mabovu hakika mziki ulikua laana nanusu ule yai lilitoka mule lilikua likinikosha sanaNdio ilikuwa radio bora Tanzania iliyokimbiza baada ya kuupora ufalme wa redio one, iliendelea kukimbiza mpaka Clouds FM aliposhika hatamu na kuupora ufalme wake na hii ni kutokana na Clouds FM kuwasha mitambo kwenye mikoa mingi sehemu ambapo mwanzo haikusikika
Kwa sasa radio inayokimbiza ni Wasafi
Ni Roy Barick Maganga.Beatrice Rabach
Glory Robinson
Rahabu Fred
Mkamiti Juma
Fredwaa
Baruan Muhuza
Roy Mlaliki Maganga
Jumaa Ahmed Baragaza
Na wengine wengi hii RFA ilikuwa ya moto na influence kubwa sana kuliko radio nyingine yoyote hapa nchini.
Sawa mkuu majina ni ya kusikia tu redioni lazima tuchapieNi Roy Barick Maganga.
Fred Fidelis a .k.a FredwaaZuberi Msabaha
Baruan Muhuza
Jacob Sungu (young millionaire)
Jumaa Baraga za
Fred Fidelis (kidubway)
Doi Kududye
Hamisi Dambaya
Hassan mvula
Mkamiti Juma
Rahabu fred
Glory Robinson
Joan Tanisa
Fatma Shemweta
Prince baina kamukulu
Roy mlalilki Maganga
Sam Kiama
Nevil Meena
Ivona Kamuntu
Raymond Nyamwihula
Gabriel Zakaria
Yes tetemesha iliyomuibua Hussein Machozi katika album yake ya kwanza.Fred Fidelis a .k.a Fredwaa
Sandhu George Mpanda a.k.a Kidbway huyu ni mzalishaji wa mziki nadhani ndani ya Tetemesha Records.
Vile yaani.Yes tetemesha iliyomuibua Hussein Machozi katika album yake ya kwanza.
Huyu alikuwa kwenye tv kwenye kipindi cha muziki.Sauda mwilima
Kwamba unamkatisha jamaa tamaa kabisaAnanyonesha kwani vipi?