Namtafuta mwanadada anaitwa Neema, wa pale Moshi

Nipo ila nina mahusiano serious maana ninaishi na baba mtoto wangu. Tuna mtoto wa kiume japo hatujafunga ndoa ya kanisani. Kwakweli mahusiano yetu yamejaa amani na furaha tele. Kila la heri dear ex
ha ha ha, moyo unateseka
 
Kweli mkuu
 
Mbona huyo neema anauza mbususu
 
Naomba usiendelee kunikumbusha mbali, nilikupenda sana sikuamini ulivoniacha kwenye mataa vile... Nashukuru nimempata ubavu wangu nipo nalishwa vitamu 😁
Ha ha ha, nipo hapa nakusubiri; ukitaka furaha ya mpaka milele njoo huku
 
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…