Equation x
JF-Expert Member
- Sep 3, 2017
- 33,679
- 49,841
- Thread starter
- #21
ha ha ha, moyo unatesekaNipo ila nina mahusiano serious maana ninaishi na baba mtoto wangu. Tuna mtoto wa kiume japo hatujafunga ndoa ya kanisani. Kwakweli mahusiano yetu yamejaa amani na furaha tele. Kila la heri dear ex