Si huyu ambaye kila akimpitia binti anamuchia alama ya sigara?Ilikua zamani, wakati yupo old Moshi hakua hivi. Amechachuka baada ya kuniacha mie na kuparamia kina mwajuma ndala ndefu
😔😔😔Sawa, Neema wangu ngoja niendelee kuteseka
Jina la pili ndio silifahamuYeah Facebook huwa inakutanisha watu sana sana
Hiyo mahari tuma kwa namba hiiNielekeze njia
Ushavurugwa huko moyo umepondwa pondwa sasa watafuta pa kupumulia 🤣🤣🤣Ha ha ha, nipo hapa nakusubiri; ukitaka furaha ya mpaka milele njoo huku
Hapo ndio kasheshe sasaJina la pili ndio silifahamu
John Bunda amekukosea nini Naka?Hiyo mahari tuma kwa namba hii
0715221274
ha ha ha mi sikuwezi, utakuwa umekunywa yale maji yenye rangi ya goldIlikua zamani, wakati yupo old Moshi hakua hivi. Amechachuka baada ya kuniacha mie na kuparamia kina mwajuma ndala ndefu
Ushaanza na weweJohn Bunda amekukosea nini Naka?
Alikuwa mtaratibu sana, hawezi kuwa hukoMbona huyo neema anauza mbususu
Kamwe haitumwi nikiangalia...unanifahamu kuwa nikiamua😂Ushaanza na wewe
Ngoja mahari iingizwe bwana
Okay very soonHiyo mahari tuma kwa namba hii
0715221274
Shtuka Chaliangu, chuga si unajuaga hakuna falla?😅😅Okay very soon
Mbona kapokea mwanaume na sio bibi yako?Hiyo mahari tuma kwa namba hii
0715221274
Sikuzingatia sana kipindi hicho, zaidi ya kulana huku akiwa amefumba macho pamoja na kutafuna bigijii.Dahh demu wako usimjue hata jina la pili...? Tena ulipanga uje umuoe....Haukuwa serious
Dah nikajua nishaopoa mama. Kumbe imeingizwa choo cha shimo.Shtuka Chaliangu, chuga si unajuaga hakuna falla?😅😅
Ningemtoa 'out' tu ili kukumbushia yaliyopitaKaolewa ata Kama angekua bado sijui Kama ungemuweza kwa Sasa,Mambo mengi
🤣🤣🤣🤣🤣🤣 yani nacheka hadi nazimiaaKamwe haitumwi nikiangalia...unanifahamu kuwa nikiamua😂
Tunaishi mara moja mkuu, furaha ni muhimu
Wiki ya pili hii bila maji ya gold, si kwa uwezo wangu bali ye aliye juu sanaha ha ha mi sikuwezi, utakuwa umekunywa yale maji yenye rangi ya gold