Namtafuta mwanadada anaitwa Neema, wa pale Moshi

Sema na Mimi vizuri aiseee huyu mtu kwa Sasa yupo Dar ya Salaam, alipata olewa ila ndio hivyo Tena ndoa ndoano...
Nitafute nikilink nae, uweze msalimia tu.
 
Namtafuta Muna Abdillah mtoto wa kisomali......nilikuwa nasoma nae madrasa pale Ustadhi Rama...kasulu mjini....natamani kupata Mawasiliano yake,katika watu ambao wameishi kichwani mpaka leo ni huyu....
Sijui yuko wapi KWA sasa,alikuwa akiniletea sambuza,kastam,maandazi n.k maana kwao walikuwa na Hotel...huyu mtu hanitoki kichwani zaidi ya miaka 18 sasa...kila nikikaa huwa namkumbuka.....yuko wapi Muna?
 
Alishapata mwingine na mwinginee na mwingineeee ...na mwingineeeee ...na mwingineee na mwingine... na wewe utakuwa mwingine kwa mara nyingine
 
Sema na Mimi vizuri aiseee huyu mtu kwa Sasa yupo Dar ya Salaam, alipata olewa ila ndio hivyo Tena ndoa ndoano...
Nitafute nikilink nae, uweze msalimia tu.
Utatumia njia gani kumpata?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…