Namtafuta mwanaume atakayekuwa tayari kumuoa dada yangu

Mimi ni Mkristo, hamtaki wageni kwenye dini yenu?
 
Yaani unamtafutia mme mario wa humu? Kweli humpendi dada yako.nakuhakikishia mme atakae patikana humu atakuwa na 1200 tu yaani pompolimpo moja na dongolidongoli mbili
 
Baada ya kuja huko PM,Teuzi anafanya dada yako au Wewe mwenyewe? mbona inaonekana wewe ndio mhitaji ila unatumia njia ya neno "dada yako"
 
Mbona Kama ni hivyo ukafiri sio dini ila tabia ya mtu. Waislamu kibao tunakula nao nguruwe a.k.a nyqma mwanana, wanakunywa pombe kuliko sisi Wachagga, wanalawiti, wanazini, na hata magerezani wao ndio wamejazana huko kutokana na maovu yao.
Pamoja na hao wenye tabia mbovu Bado uislamu huwezi kuufananisha na huo unaliu Wenu wa kuvaa rozari na Wala huruhusiwi kuoa dada yetu yoyote muislamu,,hutaki njoo ktk uislam kwisha
 
Alkm nakitaka kuingia in box inagoma naomba Kama hutojali nitumie sms in box
 
Pamoja na hao wenye tabia mbovu Bado uislamu huwezi kuufananisha na huo unaliu Wenu wa kuvaa rozari na Wala huruhusiwi kuoa dada yetu yoyote muislamu,,hutaki njoo ktk uislam kwisha
Mke wangu ni muislam, michepuko wangu wote waislam. Wanapatikana kirahisi sana chochote unachotaka wanakupa
 
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ€£πŸ€£πŸ€£πŸ€£
 
Pamoja na hao wenye tabia mbovu Bado uislamu huwezi kuufananisha na huo unaliu Wenu wa kuvaa rozari na Wala huruhusiwi kuoa dada yetu yoyote muislamu,,hutaki njoo ktk uislam kwisha
Hata sisi pamoja na mapungufu YETU bado ukristo huwezi kuufananisha na huo inaliu wen u wa kuvaa shanga shingoni na kupaka hena kwenye ndevu!!!Hata sisi haturuhusiwi kuwaoa waislamu ila tunaruhusiwa😁😁😁😁😁
 
Hata sisi pamoja na mapungufu YETU bado ukristo huwezi kuufananisha na huo inaliu wen u wa kuvaa shanga shingoni na kupaka hena kwenye ndevu!!!Hata sisi haturuhusiwi kuwaoa waislamu ila tunaruhusiwa😁😁😁😁😁
Kaa kimya wewe hujijui tu kuwa ukristo Ni fursa,,
 
Kaa kimya wewe hujijui tu kuwa ukristo Ni fursa,,
Nurain usikasirike kaka sababu hata uislamu aliouleta MUDI WA ARABUNI ni fursa!!!Lakini kitendo cha kupaka hena mimi mnanitia mashaka!!!!πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚!!!!!Anyway tuachane na hayo Dada vipi ameshaolewa au????
 
Huko aliko hakuna wanaume? Yaani ukiona mtu anatafutiwa mpenzi...tena mtandaoni ujue kuna shida mahali.
Kwanini asitafute mwenyewe iweje atafutiwe
Utulivu wake ni mkimya. Hata akikorofishwa anaomba samahani yeye. Hana uwezo wa kujitafutia mtu sahihi. Na bahati mbaya dini inambama sana. Tatizo linalomkumba sasa anahitaji mtoto. Haiwezekani kuzaa bila ndoa,sababu ya dini
 
Utulivu wake ni mkimya. Hata akikorofishwa anaomba samahani yeye. Hana uwezo wa kujitafutia mtu sahihi. Na bahati mbaya dini inambama sana. Tatizo linalomkumba sasa anahitaji mtoto. Haiwezekani kuzaa bila ndoa,sababu ya dini
Basi anaboa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…