Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wewe una lako jambo na muda utaongea.Mwambieni bado nampenda yupo moyoni kindakindaki
Usiingie mkenge huyu ana lake jambo.Ulitumia makosa kutofanya nae mawasiliano kwa kipindi hicho, maana nakumbuka tulikuwa na fursa kubwa ya kuanzisha mahusiano nje ya jf. Kwa sasa utapata wakati mgumu sana kumpata Shunie, ila pole kwa kumkumbuka bidada wa watu.
Ulimlisha wewe ?wewe si ulikula Ban ya milele
dude hili hapa dadeeekiIzo 'emoji' za nini Sasa?
Idiot kabisa.
Sema unatafuta Pisi kaliWakuu mpaka Leo huwa najiuliza Shunie alienda wapi loo!! Huyu mtu tulipendana Sana humu JF
Enzi hizo ndiyo alikuwa bae wangu humu kila Uzi lazima atupie comment kipindi hicho humu JF kulikuwa na ladha ya kipekee Sana.
Shunie popote upatapo ujumbe huu nakutafuta mwenzio ni Kitambo sana.
Naombeni msaada wenu Wana JF nammisi Sana Shunie. Aani unampenda mtu ata humjui moyo kitu Cha hovyo Sana looo!!
Shunie kabanwa na majukumu jumba jeupe. Subiri amalizane na hekaheka za stendi ya bahari.Wakuu mpaka Leo huwa najiuliza Shunie alienda wapi loo!! Huyu mtu tulipendana Sana humu JF
Enzi hizo ndiyo alikuwa bae wangu humu kila Uzi lazima atupie comment kipindi hicho humu JF kulikuwa na ladha ya kipekee Sana.
Shunie popote upatapo ujumbe huu nakutafuta mwenzio ni Kitambo sana.
Naombeni msaada wenu Wana JF nammisi Sana Shunie. Aani unampenda mtu ata humjui moyo kitu Cha hovyo Sana looo!!
sio kila comment hadi ureply,mengine yakupiteUlimlisha wewe ?
✍️
Shunie tulikutana kimasiharaShunie nilikufungulia jf ID tukiwa njiani kwenda morogoro mwaka 2016 sijui huyu kakukumbukaje enzi za jk
unafikiri watu wana id moja.ndivyo akili yako inavyokutumaSiyo enzi ukajoin 19 Tulia hujui kitu bwana mdogo
😂 😂 😂 angeandika awamu ya 2015Anamanisha enzi za uyo jamaa apo kwenye avatar yako mkuu[emoji28][emoji28]
Wewe una lako jambo na muda utaongea.
Umejiunga 2015
Umeanzisha uzi mmoja na huu ni wa pili.
UMechangia nyuzi mara 15 tu ukijumlisha na posts za leo.
Tatu Shunie yupo kila siku jukwaani wala sio wa kuanzishia uzi.
Ok tutajua ulilolipanga