Namtafuta Rafiki yangu Shunie. Tulipotezana humu mwaka 2015 mwanzoni enzi za JK

Namtafuta Rafiki yangu Shunie. Tulipotezana humu mwaka 2015 mwanzoni enzi za JK

Status
Not open for further replies.
Ulitumia makosa kutofanya nae mawasiliano kwa kipindi hicho, maana nakumbuka tulikuwa na fursa kubwa ya kuanzisha mahusiano nje ya jf. Kwa sasa utapata wakati mgumu sana kumpata Shunie, ila pole kwa kumkumbuka bidada wa watu.
 
Wakuu mpaka Leo huwa najiuliza Shunie alienda wapi loo!! Huyu mtu tulipendana Sana humu JF

Enzi hizo ndiyo alikuwa bae wangu humu kila Uzi lazima atupie comment kipindi hicho humu JF kulikuwa na ladha ya kipekee Sana.

Shunie popote upatapo ujumbe huu nakutafuta mwenzio ni Kitambo sana.

Naombeni msaada wenu Wana JF nammisi Sana Shunie. Aani unampenda mtu ata humjui moyo kitu Cha hovyo Sana looo!!
Sema unatafuta Pisi kali
 
Wakuu mpaka Leo huwa najiuliza Shunie alienda wapi loo!! Huyu mtu tulipendana Sana humu JF

Enzi hizo ndiyo alikuwa bae wangu humu kila Uzi lazima atupie comment kipindi hicho humu JF kulikuwa na ladha ya kipekee Sana.

Shunie popote upatapo ujumbe huu nakutafuta mwenzio ni Kitambo sana.

Naombeni msaada wenu Wana JF nammisi Sana Shunie. Aani unampenda mtu ata humjui moyo kitu Cha hovyo Sana looo!!
Shunie kabanwa na majukumu jumba jeupe. Subiri amalizane na hekaheka za stendi ya bahari.
 
Wewe una lako jambo na muda utaongea.
Umejiunga 2015
Umeanzisha uzi mmoja na huu ni wa pili.

UMechangia nyuzi mara 15 tu ukijumlisha na posts za leo.

Tatu Shunie yupo kila siku jukwaani wala sio wa kuanzishia uzi.

Ok tutajua ulilolipanga

Mtu wangu umetoka kifungoni??

Nilikumiss [emoji7][emoji7][emoji7]
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom