Namtumbo: Wazazi waacha kupeleka Watoto Shuleni wakiaminishwa Yesu Kristo anakaribia kurudi

Hii itakuwa ipo maeneo mengi mikoani,inatakiwa kuwa na ufuatiliaji.
 
Kuna changamoto mkuu bora serikali iingilie kati tena ningefurahi raisi akiwa mkiristo ndipo akataze haya maujinga maana now mama wa watu akisema neno basi utaskia udini wakati watu wanapotosha jamii
Hatari sana
Waafrika tunalaana. Mtu ata akiambiwa na kiongozi wake wa dini kuwa ampe mkewe akalale nae ili ampe mimba itakayosaidia kuzaa mtoto mwenye nguvu za kupambana na shetani au wachawi, atakubali.
Hatari sana.
 
Huyo kijana, inabidi akamatwe, apelekwe kwenye kambi ya jeshi, atiwe mijeredi mpaka akili ikae sawa, huu ujinga wa kikristo, unaleta madhara Sana, haiwezekani nchi ikawa na vikanisa viiiingi kila eneo,
Ni watu tu,wanaotafuta umaarufu kwa nguvu.
 
Baba pipa mama mfuniko mtoto maji.
Yesu kama Yesu anakuja hivi karibuni😁
Hapo Kenya yupo,anayesema yeye ndio Yesu,ni mwafrika mwenzetu,watu hawamuamini,mpaka aje mweupe labda,ndio watamuamini,na amefikishwa mahakamani,akajitetea kama yeye sio Yesu,basi aletwe huyo Yesu.Watu waache tabia za kumrajq vibaya Yesu/Nabii Issa.Waislamu na wakristo wote wanaamini,atarudi tena mwisho wa dunia.
 
Huyu yeye kasoma mpaka chuo kikuu,lakini wenzake hataki wasome.Na wapo pia wachungaji wasiotaka wagonjwa kupelekwa hospital kwenye matibabu,kama ni maradhi ya kuambukiza ni hatari,yanaweza kusambaa kwa waumini wengine.
 
Daaah Kenya hawajawah kua serious kabisa🤣
 
Afya ya akili.
Hapo Chengena nimeishi wakati tunajenga barabara ya lami.
Kuna komoni nzuri sana na nyama ya ndovu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…