uttoh2002
JF-Expert Member
- Feb 3, 2012
- 17,060
- 32,400
Kwahiyo umeamua kunichana🙄😔
Cocoa, majani ya chai, na vitu unavyoviona hapo ndani, kanunua shemeji? Unataka muacha? That Woman is classy, na hana shida. Muelekeze tu, inatosha, anafaa huyo, ukishamwacha, please mpe namba yangu, au nipe yake. We mwache tu.