Ghazwat
JF-Expert Member
- Oct 4, 2015
- 23,718
- 66,267
- Thread starter
- #321
Kama unaamini kuwa Henock ameweza kuwa beki bora kwenye Watani, umechelewa sanaYaani hapo uneongea utafikiri huyo Inonga ni beki mwenye upekee kiasi kwamba ndio wakufanyiwa mfano wakati Simba imefungwa humu ndani na Inonga akihusika. Mechi za kukamiana ndio unachukulia kama kipimo?
Fuatilia rekodi zake alikotoka, na wapi tumefungwa? Yaani kutoka sare ndo kufungwa?