Namuogopa mke wangu, anaweza kuniua

Umetishiwa kifo halafu unakuja kuomba ushauri hapa?

Umeoa ziraili mtoa roho. Na atakuua kweli maana kusikia na kuthibitisha tuhuma ni vitu viwili tofauti

Endelea kupata ushauri kwa wadau
 
Umeoa jini
 
Pili ni kwamna anaweza akakuhisi tu na akakutoa roho maana amedai hahitaji ushahidi🤣🤣
 
baada ya kuona niko na hofu alinambia ananitania hawezi fanya hivyo. hofu yangu ni kua dada ake ananambia aliwahi kumwagia ndugu yake chai ya moto alipokua na hasira. sasa niki reflect hayo matukio nahisi kama anamaanisha vile
Bado unakuja kutafuta ushauri badala ya kufanya maamuzi. Labda ndjo unakuja kutuaga huku.

Kwaheri mwana MMU mwenzetu Mungu kakupenda zaidi
 
Kwa historia ya huyo mwanamke ulioisema, huyo mwanamke anamaanisha. sasa chagua usiwe na michepuko ubaki njia kuu, usubiri kifo chako au umuache mapema.

huyo mwanamke ni hatari
 
Atakuua kweli usicheze na mwanamke alotumika na kuumizwa mno.
 
Atakuua kweli, sasa muwahi wewe kumtoa roho

Sent from my Nokia 5.1 Plus using JamiiForums mobile app
 
Nyumbani kwako ameshaingia shetani, ita kiongozi wa kiroho afanye maombi na kama ni mwislamu muombe Sheikh aje na Watoto wa madrasa wakufanyie duwa, vile vitoto vya madrasa havina dhambi duwa yao inapokelewa moja Kwa moja na Mungu.

By the way mwanamke akitaka kukuuwa yeye si ndio anakupikia chakula?
 
mh na ww kuwa tishio mpka akuogope kama vp anza kulala na kisu au panga umelisweka pajani
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…