Namuogopa mke wangu, anaweza kuniua

Namuogopa mke wangu, anaweza kuniua

Mwandani wangu amesema endapo akisikia tu ninamchepuko ataniua tena nikiwa usingizini, anasema hata niuliza atachunguza kisiri siri then akiwa na ushahidi ataniua

Kwamba ni bora asinione kabisa, nimemuuliza kuhusu yeye kufungwa jela anasema hio hajali kikubwa asinione. nimemwambia akisikia aniulize kwanza anasema kua akiniuliza nitamdanganya.

kuhusu dhambi ya kuua anasema Mungu anasamehe zambi zote. nimekua na hofu sana kwa sasa nadhani anaweza kua anamaanisha ingawa mazungumzo yalikua casual.
Umetishiwa kifo halafu unakuja kuomba ushauri hapa?

Umeoa ziraili mtoa roho. Na atakuua kweli maana kusikia na kuthibitisha tuhuma ni vitu viwili tofauti

Endelea kupata ushauri kwa wadau
 
Mwandani wangu amesema endapo akisikia tu ninamchepuko ataniua tena nikiwa usingizini, anasema hata niuliza atachunguza kisiri siri then akiwa na ushahidi ataniua

Kwamba ni bora asinione kabisa, nimemuuliza kuhusu yeye kufungwa jela anasema hio hajali kikubwa asinione. nimemwambia akisikia aniulize kwanza anasema kua akiniuliza nitamdanganya.

kuhusu dhambi ya kuua anasema Mungu anasamehe zambi zote. nimekua na hofu sana kwa sasa nadhani anaweza kua anamaanisha ingawa mazungumzo yalikua casual.
Umeoa jini
 
Kiufupi ningekuwa mimi huyo mwanamke namuacha mchana kweupe kwa sababu najua pamoja na kuoa bado sketi huko nje zitanichanganya tu na huu udhaifu tumeumbiwa wote mimi na wewe mtoa mada na wanaume wengine


Tofauti na hapo labda uwe hauna pesa au nguvu za kiume
Pili ni kwamna anaweza akakuhisi tu na akakutoa roho maana amedai hahitaji ushahidi🤣🤣
 
baada ya kuona niko na hofu alinambia ananitania hawezi fanya hivyo. hofu yangu ni kua dada ake ananambia aliwahi kumwagia ndugu yake chai ya moto alipokua na hasira. sasa niki reflect hayo matukio nahisi kama anamaanisha vile
Bado unakuja kutafuta ushauri badala ya kufanya maamuzi. Labda ndjo unakuja kutuaga huku.

Kwaheri mwana MMU mwenzetu Mungu kakupenda zaidi
 
Kwa historia ya huyo mwanamke ulioisema, huyo mwanamke anamaanisha. sasa chagua usiwe na michepuko ubaki njia kuu, usubiri kifo chako au umuache mapema.

huyo mwanamke ni hatari
 
Mwandani wangu amesema endapo akisikia tu ninamchepuko ataniua tena nikiwa usingizini, anasema hata niuliza atachunguza kisiri siri then akiwa na ushahidi ataniua.

Kwamba ni bora asinione kabisa, nimemuuliza kuhusu yeye kufungwa jela anasema hio hajali kikubwa asinione. Nimemwambia akisikia aniulize kwanza anasema kua akiniuliza nitamdanganya.

kuhusu dhambi ya kuua anasema Mungu anasamehe zambi zote. nimekua na hofu sana kwa sasa nadhani anaweza kua anamaanisha ingawa mazungumzo yalikua casual.
Atakuua kweli usicheze na mwanamke alotumika na kuumizwa mno.
 
Mwandani wangu amesema endapo akisikia tu ninamchepuko ataniua tena nikiwa usingizini, anasema hata niuliza atachunguza kisiri siri then akiwa na ushahidi ataniua.

Kwamba ni bora asinione kabisa, nimemuuliza kuhusu yeye kufungwa jela anasema hio hajali kikubwa asinione. Nimemwambia akisikia aniulize kwanza anasema kua akiniuliza nitamdanganya.

kuhusu dhambi ya kuua anasema Mungu anasamehe zambi zote. nimekua na hofu sana kwa sasa nadhani anaweza kua anamaanisha ingawa mazungumzo yalikua casual.
Atakuua kweli, sasa muwahi wewe kumtoa roho

Sent from my Nokia 5.1 Plus using JamiiForums mobile app
 
Nyumbani kwako ameshaingia shetani, ita kiongozi wa kiroho afanye maombi na kama ni mwislamu muombe Sheikh aje na Watoto wa madrasa wakufanyie duwa, vile vitoto vya madrasa havina dhambi duwa yao inapokelewa moja Kwa moja na Mungu.

By the way mwanamke akitaka kukuuwa yeye si ndio anakupikia chakula?
 
mh na ww kuwa tishio mpka akuogope kama vp anza kulala na kisu au panga umelisweka pajani
 
Back
Top Bottom