Namuogopa mpenzi wangu nikisikia sauti yake

amen mkuu.
Copied
Muelewe na ujitahidi kuweka heshima mbele sana kwa huyo mwenzio kwani anatambua uzuri ulionao ila hawezi zuia wivu alionao kwako hata kusababisha maelewano hafifu baina yenu lkn wewe kama mama kiungo shikilia upendo amani ndani ya nyumba yeye atakuja kwako akinyenyekea huo upendo na uvumilivu ulionyesha na kutenda vyema kwake!
 
Honestly mkuu hata mim kuna saa nahisi ana elements za kiutawala.
Wazungu huwa wanaamin kabla ya maisha haya tulishaishi maisha mengine tukiwa watu wengine.Kama ni kweli basi nahisi huyu alikua mtawala aliyeheshimika na kuogopewa
Ni hivyo mi nimekaa na watu juzi tu nikaambiwa naunguruma na kupiga makelele huku tunaongea tu.
Ni mtazamo tofauti..
Huko juu kusini, hakuna kuremba wala geita we utachezea vichapo tu ni visu , mapanga kwaheri
 
wanawake ambao wako decent kama wewe...nowadays ni wachache mno yaani ni kama kutafuta bikra kwa changudoa, so rare.

wanaume tunapenda wanawake wanaotuheshimu...yaan sio mbishi, sio mropokaji anayesikiliza n kuelewa.

kwa hiyo ishu ya mtu wako hiyo ndo nature yake...you can't deal with a reality ishi naye tu hivyo hivyo, kama anakujali ni sawa...ukute yeye kuwa mkali ni defensive mechanism yake coz ataki ujue weakness yake.
 
Wala usijali ila zingatia ushauri niliokupa pengine usikufae leo ukakufaa siku zijazo
Huna cha kunishauri Lumbi, tupo kwenye mitandao usijifanye unawajua watu kuliko uhalisia, wewe kama umeguswa kunywa maji mengi pita kimya kimya.
 
Kuna wakati unaweza ukawa na maradhi na ukajihisi upo sawa. Unaweza ukalogwa na usijue kua umelogwa.
 
Jipe muda.
Usiache kuja hapa kutoa mrejesho.
 
Umerogwa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…