Namuona Mwamposa nyuma ya anguko la kiroho la Mch. Moses Magembe na Ustaz Mazinge

Namuona Mwamposa nyuma ya anguko la kiroho la Mch. Moses Magembe na Ustaz Mazinge

Dini ni UTAPELI
Dini ni mpango wa mwanadamu kumtawala binadamu mwenzie...
 
Kuna mambo hapa duniani huwezi kuyaelewa mpaka Likud akueleweshe.

Nianze kwa ku declare interest.

Am neither a Christian nor a Muslim.

Mimi sio Mkristu wala si muislamu.

Ingawa nimezaliwa sio tu kwenye familia ya kiislamu bali natoka kwenye kabila ambalo asilimia 99.9 ni waislamu.

So huko mtaani naweza kuwa nadhaniwa ni muislamu kutokana na majina yangu etc.

However sina noma na uislamu
Sina noma na ukristu. Naziheshimu imani hizo mbili pamoja na watu wake wote.

Nimetoka kwenye dini hizo ambazo zimeletwa na wageni kutoka nje ya Afrika kwa sababu nilijipima na kujiona hakuna mahala popote ambapo mafundisho ya dini hizo yanasimama pamoja na Mimi wala mahali ambapo Mimi ninasimama na dini hizo.

Nikiweka kwenye kiingereza unaweza kunielewa vizuri zaidi. I have left foreign religions cause I dont see anywhere where they stand with me or rather where I stand with them.

Dini yangu ninayo ifuata which is my own creation ni " Nuru/ Mwangaza"

Ni mfuasi wa Nuru. Ninaifuata Nuru bila kujali nani kaibeba.

I am a desciple of the Light. I follow the Light without giving a heck who carries the it

Tuje kwa ishu ya Mwamposa.

Huko mtaani kuna kanuni moja ambayo huwezi fundishwa shule inasema hivi

" Ukiona mtu anatengeneza hela nyingi kuliko wewe more especially kwenye biashara ile ile unayo ifanya wewe tafsiri yake ni kwamba mtu huyo ana akili nyingi kushinda wewe kwa sababu pesa hutafutwa kwa kutumia akili"

So lazima umuheshimu mtu alie kuzidi Cause he knows that which thou know not.

Niliwahi kuandika hapa before kwamba Mwamposa anapaswa kuheshimiwa kwa sababu ana kitu ndani yake ambacho wengi hawana.

Anajua vitu vingi kuliko wengi ndio maana anafanikiwa zaidi kwenye huduma yake kushinda wengine.

Nimenotice kwamba watu wengi ambao wanamsema vibaya Mwamposa huishia kuanguka kwenye mambo wanayo yafanya.

Ni kama vile kuna malaika ambao wamekuwa appointed kushindana na wale ambao wanashindana nae.

Mifano kadhaa. Kuna mwanasiasa mmoja aliwahi kuongea shit kuhusu Mwamposa baada ya sakata la vifo kule Moshi, hakuchukua round she was called to meet with the Lord.

Mazinge mara nyingi amekuwa akimponda Mwamposa sasa hivi ame retard.

Anashirikiana na watu wanao uchafua uislamu hadharani..

Anapingana na mafundisho ya Qur'aan hadharani .

Mazinge huyu huyu ambae kuna kipindi alikuwa ana act as if he was the Deputy to the Prophet ( Peace be upon him) now anafanya vitu ambavyo hata Mimi ambae nilikuwa muumini wa kawaida tu siwezi kufanya.

Nikikumbuka Mazinge alivyo kuwa anamchana Mzee Yusufu baada ya kurudi kwenye Taarab na vitu anavyo fanya sasa hivi napigwa na butwaa.

Soon mtasikia Mazinge kawa mlokole just mark my words.

As far as his place in Islam is concerned, Mazinge is going down in a hurry.

MCH. MOSES MAGEMBE.

Kwa muda wa miaka miwili Mzee Moses Magembe amekuwa akimponda sana Mwamposa kwa mafumbo yeye na huduma yake.

Now amejitoa TAG na sababu kubwa itakuwa ni Maslahi tu hakuna cha kusema kanisa limekufa blah blah blah.

Ni kwamba ipo wazi kama ya mbuzi watu wake wa karibu watakuwa wamemjaza kwamba sasa hivi wewe tayari ni maarufu kwenye mitandao ya kijamii. Toka TAG anzisha kanisa lako.

Ndio maana mara baada ya kanisa lake kuanza he is braging kwamba ana wafuasi mia 7..

Why talking about the numbers?

Watu wake wa karibu hawaja mjulisha Mzee we watu kwamba watu wanampenda kwa sababu ya ile lafudhi yake ya kisukuma na mannerisms za wachungaji wa kilokole wa kizamani plus style yake ya kuongea kwa kufoka lakini huwa hana mahubiri ya maana kihivyo zaidi ya kuponda wachungaji wenzake...

Kauli ya askofu wa TAG baada ya Magembe kuasi Team Magembe wanatakiwa kuitafakari sana.

Alisema hivi tairi likichomoka kwenye gari kipi kinacho enda mwendo mrefu zaidi kati ya tairi lililochomoka na gari?

Mzee Magembe muombe radhi Mwamposa fanya hivyo hadharani vinginevyo utaenda kuaibika maana mwisho wa siku na wewe utaanza kutoa huduma ya kukanyaga mafuta kwenye kanisa lako ambayo umekuwa ukiiponda sana.

Thanks me later

🙏🏻🙏🏻🙏🏻🙏🏻
Ktk Imani ya Ukristo ni tofauti na Imani nyingine. Ukristo wa biblia ninaoujua unamfata kiongozi kama kiongozi anamfata mwanzilishi wa Imani hii yaani Yesu Kristo. Kama kiongozi hamfati huyo basi waaumini wanahaki ya kiimani kuachana na kiongozi wao. Hivyo, siku Magembe akiacha hiyo Imani ya kumfuata Kristo na hao waumini ambao wanajua walichokiamini wataavha kumfuata Magembe. Kumbuka yeye hatokuwa wa kwanza kuacha Imani.
Lakini kwanini umuwekew premise mbaya Mzee wa watu. We unafikiri kwa umri ule anatafuta pesa! La hasha sidhani hilo kuwa kweli.
 
Mazinge huyu huyu anaenda kumrudisha Kajala kwa Harmonize chini ya ushenga wa Mwijaku
 
Kuna mambo hapa duniani huwezi kuyaelewa mpaka Likud akueleweshe.

Nianze kwa ku declare interest.

Am neither a Christian nor a Muslim.

Mimi sio Mkristu wala si muislamu.

Ingawa nimezaliwa sio tu kwenye familia ya kiislamu bali natoka kwenye kabila ambalo asilimia 99.9 ni waislamu.

So huko mtaani naweza kuwa nadhaniwa ni muislamu kutokana na majina yangu etc.

However sina noma na uislamu
Sina noma na ukristu. Naziheshimu imani hizo mbili pamoja na watu wake wote.

Nimetoka kwenye dini hizo ambazo zimeletwa na wageni kutoka nje ya Afrika kwa sababu nilijipima na kujiona hakuna mahala popote ambapo mafundisho ya dini hizo yanasimama pamoja na Mimi wala mahali ambapo Mimi ninasimama na dini hizo.

Nikiweka kwenye kiingereza unaweza kunielewa vizuri zaidi. I have left foreign religions cause I dont see anywhere where they stand with me or rather where I stand with them.

Dini yangu ninayo ifuata which is my own creation ni " Nuru/ Mwangaza"

Ni mfuasi wa Nuru. Ninaifuata Nuru bila kujali nani kaibeba.

I am a desciple of the Light. I follow the Light without giving a heck who carries the it

Tuje kwa ishu ya Mwamposa.

Huko mtaani kuna kanuni moja ambayo huwezi fundishwa shule inasema hivi

" Ukiona mtu anatengeneza hela nyingi kuliko wewe more especially kwenye biashara ile ile unayo ifanya wewe tafsiri yake ni kwamba mtu huyo ana akili nyingi kushinda wewe kwa sababu pesa hutafutwa kwa kutumia akili"

So lazima umuheshimu mtu alie kuzidi Cause he knows that which thou know not.

Niliwahi kuandika hapa before kwamba Mwamposa anapaswa kuheshimiwa kwa sababu ana kitu ndani yake ambacho wengi hawana.

Anajua vitu vingi kuliko wengi ndio maana anafanikiwa zaidi kwenye huduma yake kushinda wengine.

Nimenotice kwamba watu wengi ambao wanamsema vibaya Mwamposa huishia kuanguka kwenye mambo wanayo yafanya.

Ni kama vile kuna malaika ambao wamekuwa appointed kushindana na wale ambao wanashindana nae.

Mifano kadhaa. Kuna mwanasiasa mmoja aliwahi kuongea shit kuhusu Mwamposa baada ya sakata la vifo kule Moshi, hakuchukua round she was called to meet with the Lord.

Mazinge mara nyingi amekuwa akimponda Mwamposa sasa hivi ame retard.

Anashirikiana na watu wanao uchafua uislamu hadharani..

Anapingana na mafundisho ya Qur'aan hadharani .

Mazinge huyu huyu ambae kuna kipindi alikuwa ana act as if he was the Deputy to the Prophet ( Peace be upon him) now anafanya vitu ambavyo hata Mimi ambae nilikuwa muumini wa kawaida tu siwezi kufanya.

Nikikumbuka Mazinge alivyo kuwa anamchana Mzee Yusufu baada ya kurudi kwenye Taarab na vitu anavyo fanya sasa hivi napigwa na butwaa.

Soon mtasikia Mazinge kawa mlokole just mark my words.

As far as his place in Islam is concerned, Mazinge is going down in a hurry.

MCH. MOSES MAGEMBE.

Kwa muda wa miaka miwili Mzee Moses Magembe amekuwa akimponda sana Mwamposa kwa mafumbo yeye na huduma yake.

Now amejitoa TAG na sababu kubwa itakuwa ni Maslahi tu hakuna cha kusema kanisa limekufa blah blah blah.

Ni kwamba ipo wazi kama ya mbuzi watu wake wa karibu watakuwa wamemjaza kwamba sasa hivi wewe tayari ni maarufu kwenye mitandao ya kijamii. Toka TAG anzisha kanisa lako.

Ndio maana mara baada ya kanisa lake kuanza he is braging kwamba ana wafuasi mia 7..

Why talking about the numbers?

Watu wake wa karibu hawaja mjulisha Mzee we watu kwamba watu wanampenda kwa sababu ya ile lafudhi yake ya kisukuma na mannerisms za wachungaji wa kilokole wa kizamani plus style yake ya kuongea kwa kufoka lakini huwa hana mahubiri ya maana kihivyo zaidi ya kuponda wachungaji wenzake...

Kauli ya askofu wa TAG baada ya Magembe kuasi Team Magembe wanatakiwa kuitafakari sana.

Alisema hivi tairi likichomoka kwenye gari kipi kinacho enda mwendo mrefu zaidi kati ya tairi lililochomoka na gari?

Mzee Magembe muombe radhi Mwamposa fanya hivyo hadharani vinginevyo utaenda kuaibika maana mwisho wa siku na wewe utaanza kutoa huduma ya kukanyaga mafuta kwenye kanisa lako ambayo umekuwa ukiiponda sana.

Thanks me later

🙏🏻🙏🏻🙏🏻🙏🏻
Kwamba Magembe kusema buldoza tapeli ni kumwonea wivu? Buldoza na Magembe utumishi wao haifanani, na Magembe hayupo kumake money Bali apenda watu waokolewe.

Kumbe hata wauza drugs wanaotengeza pesa haramu tusiwachukie kwamba tutaonekana kuwaonea wivu🤔
 
Mkuu kama usemacho ni kwel bas anguko la Casian liko karbu.Lakin pia kuna watumish wengi wanaotahadharisha matumiz ya vitu katika uponyaj kama vile chumvi,maj,mafuta n.k
Kwahyo wanaposema hivo automatically mwamposa ataguswa ila sio kwamba wanamlenga yeye directly.Mfano hata Mwl.C.mwakasege huwa ana anaonya hilo je nayey tutarajie kuanguka?.
Pia ujue haa hata kwenye tasnia ya burudan hasa muzik kuna watu ukiwadis ujue unaweza aga tasnia husika. Hata bila ya wao kupigana nawew physically au orally je tuseme nawao wana nguvu za Mungu dhid ya adui zao?
 
Mama zenu dada zenu na wake zenu kilasiku wanakimbilia kwa Mwamposa... Ila nashangaa mnavyozidi kumtukana kumsema mnyakyusa wa watu ndio kwanza anapelekewa sadaka hadi na Rais 😅😂😂
WaTz mnakufa kwasababu ya umasikini chuki makasiriko wivu na kukosa elimu...💩💩💩
 
Mwamposa anafanya vitu vingi vizuri ambavyo dunia inavihitaji ndio maana anakuwa rewarded.

Kwanza anawaunganisha watu bila kujali tofauti ya dini zao.


Pili anawapa matumaini watu waliokata tamaa

Why haujajibu mengine?
 
Kuna mambo hapa duniani huwezi kuyaelewa mpaka Likud akueleweshe.

Nianze kwa ku declare interest.

Am neither a Christian nor a Muslim.

Mimi sio Mkristu wala si muislamu.

Ingawa nimezaliwa sio tu kwenye familia ya kiislamu bali natoka kwenye kabila ambalo asilimia 99.9 ni waislamu.

So huko mtaani naweza kuwa nadhaniwa ni muislamu kutokana na majina yangu etc.

However sina noma na uislamu
Sina noma na ukristu. Naziheshimu imani hizo mbili pamoja na watu wake wote.

Nimetoka kwenye dini hizo ambazo zimeletwa na wageni kutoka nje ya Afrika kwa sababu nilijipima na kujiona hakuna mahala popote ambapo mafundisho ya dini hizo yanasimama pamoja na Mimi wala mahali ambapo Mimi ninasimama na dini hizo.

Nikiweka kwenye kiingereza unaweza kunielewa vizuri zaidi. I have left foreign religions cause I dont see anywhere where they stand with me or rather where I stand with them.

Dini yangu ninayo ifuata which is my own creation ni " Nuru/ Mwangaza"

Ni mfuasi wa Nuru. Ninaifuata Nuru bila kujali nani kaibeba.

I am a desciple of the Light. I follow the Light without giving a heck who carries the it

Tuje kwa ishu ya Mwamposa.

Huko mtaani kuna kanuni moja ambayo huwezi fundishwa shule inasema hivi

" Ukiona mtu anatengeneza hela nyingi kuliko wewe more especially kwenye biashara ile ile unayo ifanya wewe tafsiri yake ni kwamba mtu huyo ana akili nyingi kushinda wewe kwa sababu pesa hutafutwa kwa kutumia akili"

So lazima umuheshimu mtu alie kuzidi Cause he knows that which thou know not.

Niliwahi kuandika hapa before kwamba Mwamposa anapaswa kuheshimiwa kwa sababu ana kitu ndani yake ambacho wengi hawana.

Anajua vitu vingi kuliko wengi ndio maana anafanikiwa zaidi kwenye huduma yake kushinda wengine.

Nimenotice kwamba watu wengi ambao wanamsema vibaya Mwamposa huishia kuanguka kwenye mambo wanayo yafanya.

Ni kama vile kuna malaika ambao wamekuwa appointed kushindana na wale ambao wanashindana nae.

Mifano kadhaa. Kuna mwanasiasa mmoja aliwahi kuongea shit kuhusu Mwamposa baada ya sakata la vifo kule Moshi, hakuchukua round she was called to meet with the Lord.

Mazinge mara nyingi amekuwa akimponda Mwamposa sasa hivi ame retard.

Anashirikiana na watu wanao uchafua uislamu hadharani..

Anapingana na mafundisho ya Qur'aan hadharani .

Mazinge huyu huyu ambae kuna kipindi alikuwa ana act as if he was the Deputy to the Prophet ( Peace be upon him) now anafanya vitu ambavyo hata Mimi ambae nilikuwa muumini wa kawaida tu siwezi kufanya.

Nikikumbuka Mazinge alivyo kuwa anamchana Mzee Yusufu baada ya kurudi kwenye Taarab na vitu anavyo fanya sasa hivi napigwa na butwaa.

Soon mtasikia Mazinge kawa mlokole just mark my words.

As far as his place in Islam is concerned, Mazinge is going down in a hurry.

MCH. MOSES MAGEMBE.

Kwa muda wa miaka miwili Mzee Moses Magembe amekuwa akimponda sana Mwamposa kwa mafumbo yeye na huduma yake.

Now amejitoa TAG na sababu kubwa itakuwa ni Maslahi tu hakuna cha kusema kanisa limekufa blah blah blah.

Ni kwamba ipo wazi kama ya mbuzi watu wake wa karibu watakuwa wamemjaza kwamba sasa hivi wewe tayari ni maarufu kwenye mitandao ya kijamii. Toka TAG anzisha kanisa lako.

Ndio maana mara baada ya kanisa lake kuanza he is braging kwamba ana wafuasi mia 7..

Why talking about the numbers?

Watu wake wa karibu hawaja mjulisha Mzee we watu kwamba watu wanampenda kwa sababu ya ile lafudhi yake ya kisukuma na mannerisms za wachungaji wa kilokole wa kizamani plus style yake ya kuongea kwa kufoka lakini huwa hana mahubiri ya maana kihivyo zaidi ya kuponda wachungaji wenzake...

Kauli ya askofu wa TAG baada ya Magembe kuasi Team Magembe wanatakiwa kuitafakari sana.

Alisema hivi tairi likichomoka kwenye gari kipi kinacho enda mwendo mrefu zaidi kati ya tairi lililochomoka na gari?

Mzee Magembe muombe radhi Mwamposa fanya hivyo hadharani vinginevyo utaenda kuaibika maana mwisho wa siku na wewe utaanza kutoa huduma ya kukanyaga mafuta kwenye kanisa lako ambayo umekuwa ukiiponda sana.

Thanks me later

🙏🏻🙏🏻🙏🏻🙏🏻
Mazinge kafanya nini?
 
Kuna mambo hapa duniani huwezi kuyaelewa mpaka Likud akueleweshe.

Nianze kwa ku declare interest.

Am neither a Christian nor a Muslim.

Mimi sio Mkristu wala si muislamu.

Ingawa nimezaliwa sio tu kwenye familia ya kiislamu bali natoka kwenye kabila ambalo asilimia 99.9 ni waislamu.

So huko mtaani naweza kuwa nadhaniwa ni muislamu kutokana na majina yangu etc.

However sina noma na uislamu
Sina noma na ukristu. Naziheshimu imani hizo mbili pamoja na watu wake wote.

Nimetoka kwenye dini hizo ambazo zimeletwa na wageni kutoka nje ya Afrika kwa sababu nilijipima na kujiona hakuna mahala popote ambapo mafundisho ya dini hizo yanasimama pamoja na Mimi wala mahali ambapo Mimi ninasimama na dini hizo.

Nikiweka kwenye kiingereza unaweza kunielewa vizuri zaidi. I have left foreign religions cause I dont see anywhere where they stand with me or rather where I stand with them.

Dini yangu ninayo ifuata which is my own creation ni " Nuru/ Mwangaza"

Ni mfuasi wa Nuru. Ninaifuata Nuru bila kujali nani kaibeba.

I am a desciple of the Light. I follow the Light without giving a heck who carries the it

Tuje kwa ishu ya Mwamposa.

Huko mtaani kuna kanuni moja ambayo huwezi fundishwa shule inasema hivi

" Ukiona mtu anatengeneza hela nyingi kuliko wewe more especially kwenye biashara ile ile unayo ifanya wewe tafsiri yake ni kwamba mtu huyo ana akili nyingi kushinda wewe kwa sababu pesa hutafutwa kwa kutumia akili"

So lazima umuheshimu mtu alie kuzidi Cause he knows that which thou know not.

Niliwahi kuandika hapa before kwamba Mwamposa anapaswa kuheshimiwa kwa sababu ana kitu ndani yake ambacho wengi hawana.

Anajua vitu vingi kuliko wengi ndio maana anafanikiwa zaidi kwenye huduma yake kushinda wengine.

Nimenotice kwamba watu wengi ambao wanamsema vibaya Mwamposa huishia kuanguka kwenye mambo wanayo yafanya.

Ni kama vile kuna malaika ambao wamekuwa appointed kushindana na wale ambao wanashindana nae.

Mifano kadhaa. Kuna mwanasiasa mmoja aliwahi kuongea shit kuhusu Mwamposa baada ya sakata la vifo kule Moshi, hakuchukua round she was called to meet with the Lord.

Mazinge mara nyingi amekuwa akimponda Mwamposa sasa hivi ame retard.

Anashirikiana na watu wanao uchafua uislamu hadharani..

Anapingana na mafundisho ya Qur'aan hadharani .

Mazinge huyu huyu ambae kuna kipindi alikuwa ana act as if he was the Deputy to the Prophet ( Peace be upon him) now anafanya vitu ambavyo hata Mimi ambae nilikuwa muumini wa kawaida tu siwezi kufanya.

Nikikumbuka Mazinge alivyo kuwa anamchana Mzee Yusufu baada ya kurudi kwenye Taarab na vitu anavyo fanya sasa hivi napigwa na butwaa.

Soon mtasikia Mazinge kawa mlokole just mark my words.

As far as his place in Islam is concerned, Mazinge is going down in a hurry.

MCH. MOSES MAGEMBE.

Kwa muda wa miaka miwili Mzee Moses Magembe amekuwa akimponda sana Mwamposa kwa mafumbo yeye na huduma yake.

Now amejitoa TAG na sababu kubwa itakuwa ni Maslahi tu hakuna cha kusema kanisa limekufa blah blah blah.

Ni kwamba ipo wazi kama ya mbuzi watu wake wa karibu watakuwa wamemjaza kwamba sasa hivi wewe tayari ni maarufu kwenye mitandao ya kijamii. Toka TAG anzisha kanisa lako.

Ndio maana mara baada ya kanisa lake kuanza he is braging kwamba ana wafuasi mia 7..

Why talking about the numbers?

Watu wake wa karibu hawaja mjulisha Mzee we watu kwamba watu wanampenda kwa sababu ya ile lafudhi yake ya kisukuma na mannerisms za wachungaji wa kilokole wa kizamani plus style yake ya kuongea kwa kufoka lakini huwa hana mahubiri ya maana kihivyo zaidi ya kuponda wachungaji wenzake...

Kauli ya askofu wa TAG baada ya Magembe kuasi Team Magembe wanatakiwa kuitafakari sana.

Alisema hivi tairi likichomoka kwenye gari kipi kinacho enda mwendo mrefu zaidi kati ya tairi lililochomoka na gari?

Mzee Magembe muombe radhi Mwamposa fanya hivyo hadharani vinginevyo utaenda kuaibika maana mwisho wa siku na wewe utaanza kutoa huduma ya kukanyaga mafuta kwenye kanisa lako ambayo umekuwa ukiiponda sana.

Thanks me later

🙏🏻🙏🏻🙏🏻🙏🏻
Wewe na Mwamposa mpo cult moja nawaelewa vizuri tu.
 
Mwamposa anafanya vitu vingi vizuri ambavyo dunia inavihitaji ndio maana anakuwa rewarded.

Kwanza anawaunganisha watu bila kujali tofauti ya dini zao.


Pili anawapa matumaini watu waliokata tamaa
Aunt yangu ni mfuasi wa mwamposa miaka minne sasa lakini kila siku matatizo hasa ya kuugua hayaishi nilishamwambia tatizo unamwamini mwamposa kuliko Mungu na hutoona mabadiliko
 
Kuna mambo hapa duniani huwezi kuyaelewa mpaka Likud akueleweshe.

Nianze kwa ku declare interest.

Am neither a Christian nor a Muslim.

Mimi sio Mkristu wala si muislamu.

Ingawa nimezaliwa sio tu kwenye familia ya kiislamu bali natoka kwenye kabila ambalo asilimia 99.9 ni waislamu.

So huko mtaani naweza kuwa nadhaniwa ni muislamu kutokana na majina yangu etc.

However sina noma na uislamu
Sina noma na ukristu. Naziheshimu imani hizo mbili pamoja na watu wake wote.

Nimetoka kwenye dini hizo ambazo zimeletwa na wageni kutoka nje ya Afrika kwa sababu nilijipima na kujiona hakuna mahala popote ambapo mafundisho ya dini hizo yanasimama pamoja na Mimi wala mahali ambapo Mimi ninasimama na dini hizo.

Nikiweka kwenye kiingereza unaweza kunielewa vizuri zaidi. I have left foreign religions cause I dont see anywhere where they stand with me or rather where I stand with them.

Dini yangu ninayo ifuata which is my own creation ni " Nuru/ Mwangaza"

Ni mfuasi wa Nuru. Ninaifuata Nuru bila kujali nani kaibeba.

I am a desciple of the Light. I follow the Light without giving a heck who carries the it

Tuje kwa ishu ya Mwamposa.

Huko mtaani kuna kanuni moja ambayo huwezi fundishwa shule inasema hivi

" Ukiona mtu anatengeneza hela nyingi kuliko wewe more especially kwenye biashara ile ile unayo ifanya wewe tafsiri yake ni kwamba mtu huyo ana akili nyingi kushinda wewe kwa sababu pesa hutafutwa kwa kutumia akili"

So lazima umuheshimu mtu alie kuzidi Cause he knows that which thou know not.

Niliwahi kuandika hapa before kwamba Mwamposa anapaswa kuheshimiwa kwa sababu ana kitu ndani yake ambacho wengi hawana.

Anajua vitu vingi kuliko wengi ndio maana anafanikiwa zaidi kwenye huduma yake kushinda wengine.

Nimenotice kwamba watu wengi ambao wanamsema vibaya Mwamposa huishia kuanguka kwenye mambo wanayo yafanya.

Ni kama vile kuna malaika ambao wamekuwa appointed kushindana na wale ambao wanashindana nae.

Mifano kadhaa. Kuna mwanasiasa mmoja aliwahi kuongea shit kuhusu Mwamposa baada ya sakata la vifo kule Moshi, hakuchukua round she was called to meet with the Lord.

Mazinge mara nyingi amekuwa akimponda Mwamposa sasa hivi ame retard.

Anashirikiana na watu wanao uchafua uislamu hadharani..

Anapingana na mafundisho ya Qur'aan hadharani .

Mazinge huyu huyu ambae kuna kipindi alikuwa ana act as if he was the Deputy to the Prophet ( Peace be upon him) now anafanya vitu ambavyo hata Mimi ambae nilikuwa muumini wa kawaida tu siwezi kufanya.

Nikikumbuka Mazinge alivyo kuwa anamchana Mzee Yusufu baada ya kurudi kwenye Taarab na vitu anavyo fanya sasa hivi napigwa na butwaa.

Soon mtasikia Mazinge kawa mlokole just mark my words.

As far as his place in Islam is concerned, Mazinge is going down in a hurry.

MCH. MOSES MAGEMBE.

Kwa muda wa miaka miwili Mzee Moses Magembe amekuwa akimponda sana Mwamposa kwa mafumbo yeye na huduma yake.

Now amejitoa TAG na sababu kubwa itakuwa ni Maslahi tu hakuna cha kusema kanisa limekufa blah blah blah.

Ni kwamba ipo wazi kama ya mbuzi watu wake wa karibu watakuwa wamemjaza kwamba sasa hivi wewe tayari ni maarufu kwenye mitandao ya kijamii. Toka TAG anzisha kanisa lako.

Ndio maana mara baada ya kanisa lake kuanza he is braging kwamba ana wafuasi mia 7..

Why talking about the numbers?

Watu wake wa karibu hawaja mjulisha Mzee we watu kwamba watu wanampenda kwa sababu ya ile lafudhi yake ya kisukuma na mannerisms za wachungaji wa kilokole wa kizamani plus style yake ya kuongea kwa kufoka lakini huwa hana mahubiri ya maana kihivyo zaidi ya kuponda wachungaji wenzake...

Kauli ya askofu wa TAG baada ya Magembe kuasi Team Magembe wanatakiwa kuitafakari sana.

Alisema hivi tairi likichomoka kwenye gari kipi kinacho enda mwendo mrefu zaidi kati ya tairi lililochomoka na gari?

Mzee Magembe muombe radhi Mwamposa fanya hivyo hadharani vinginevyo utaenda kuaibika maana mwisho wa siku na wewe utaanza kutoa huduma ya kukanyaga mafuta kwenye kanisa lako ambayo umekuwa ukiiponda sana.

Thanks me later

🙏🏻🙏🏻🙏🏻🙏🏻
Na viongozi wote wanaoenda pale wanapata vyeo na nafasi nzuri.mfano makonda alipofulia alienda pale. Chalamila alipotumbuliwa alienda pale na wengine wengi sahivi wote wanamashavu ya maana..
Kuna kitu pale sio bure..
 
Back
Top Bottom