Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mungu hadhihakiwi mwamposa siku zake zinahesabikaKuna mambo hapa duniani huwezi kuyaelewa mpaka Likud akueleweshe.
Nianze kwa ku declare interest.
Am neither a Christian nor a Muslim.
Mimi sio Mkristu wala si muislamu.
Ingawa nimezaliwa sio tu kwenye familia ya kiislamu bali natoka kwenye kabila ambalo asilimia 99.9 ni waislamu.
So huko mtaani naweza kuwa nadhaniwa ni muislamu kutokana na majina yangu etc.
However sina noma na uislamu
Sina noma na ukristu. Naziheshimu imani hizo mbili pamoja na watu wake wote.
Nimetoka kwenye dini hizo ambazo zimeletwa na wageni kutoka nje ya Afrika kwa sababu nilijipima na kujiona hakuna mahala popote ambapo mafundisho ya dini hizo yanasimama pamoja na Mimi wala mahali ambapo Mimi ninasimama na dini hizo.
Nikiweka kwenye kiingereza unaweza kunielewa vizuri zaidi. I have left foreign religions cause I dont see anywhere where they stand with me or rather where I stand with them.
Dini yangu ninayo ifuata which is my own creation ni " Nuru/ Mwangaza"
Ni mfuasi wa Nuru. Ninaifuata Nuru bila kujali nani kaibeba.
I am a desciple of the Light. I follow the Light without giving a heck who carries it
Tuje kwa ishu ya Mwamposa.
Huko mtaani kuna kanuni moja ambayo huwezi fundishwa shule inasema hivi
" Ukiona mtu anatengeneza hela nyingi kuliko wewe more especially kwenye biashara ile ile unayo ifanya wewe tafsiri yake ni kwamba mtu huyo ana akili nyingi kushinda wewe kwa sababu pesa hutafutwa kwa kutumia akili"
So lazima umuheshimu mtu alie kuzidi Cause he knows that which thou know not.
Niliwahi kuandika hapa before kwamba Mwamposa anapaswa kuheshimiwa kwa sababu ana kitu ndani yake ambacho wengi hawana.
Anajua vitu vingi kuliko wengi ndio maana anafanikiwa zaidi kwenye huduma yake kushinda wengine.
Nimenotice kwamba watu wengi ambao wanamsema vibaya Mwamposa huishia kuanguka kwenye mambo wanayo yafanya.
Ni kama vile kuna malaika ambao wamekuwa appointed kushindana na wale ambao wanashindana nae.
Mifano kadhaa. Kuna mwanasiasa mmoja aliwahi kuongea shit kuhusu Mwamposa baada ya sakata la vifo kule Moshi, hakuchukua round she was called to meet with the Lord.
Mazinge mara nyingi amekuwa akimponda Mwamposa sasa hivi ame retard.
Anashirikiana na watu wanao uchafua uislamu hadharani..
Anapingana na mafundisho ya Qur'aan hadharani .
Mazinge huyu huyu ambae kuna kipindi alikuwa ana act as if he was the Deputy to the Prophet ( Peace be upon him) now anafanya vitu ambavyo hata Mimi ambae nilikuwa muumini wa kawaida tu siwezi kufanya.
Nikikumbuka Mazinge alivyo kuwa anamchana Mzee Yusufu baada ya kurudi kwenye Taarab na vitu anavyo fanya sasa hivi napigwa na butwaa.
Soon mtasikia Mazinge kawa mlokole just mark my words.
As far as his place in Islam is concerned, Mazinge is going down in a hurry.
MCH. MOSES MAGEMBE.
Kwa muda wa miaka miwili Mzee Moses Magembe amekuwa akimponda sana Mwamposa kwa mafumbo yeye na huduma yake.
Now amejitoa TAG na sababu kubwa itakuwa ni Maslahi tu hakuna cha kusema kanisa limekufa blah blah blah.
Ni kwamba ipo wazi kama ya mbuzi watu wake wa karibu watakuwa wamemjaza kwamba sasa hivi wewe tayari ni maarufu kwenye mitandao ya kijamii. Toka TAG anzisha kanisa lako.
Ndio maana mara baada ya kanisa lake kuanza he is braging kwamba ana wafuasi mia 7..
Why talking about the numbers?
Watu wake wa karibu hawaja mjulisha Mzee we watu kwamba watu wanampenda kwa sababu ya ile lafudhi yake ya kisukuma na mannerisms za wachungaji wa kilokole wa kizamani plus style yake ya kuongea kwa kufoka lakini huwa hana mahubiri ya maana kihivyo zaidi ya kuponda wachungaji wenzake...
Kauli ya askofu wa TAG baada ya Magembe kuasi Team Magembe wanatakiwa kuitafakari sana.
Alisema hivi tairi likichomoka kwenye gari kipi kinacho enda mwendo mrefu zaidi kati ya tairi lililochomoka na gari?
Mzee Magembe muombe radhi Mwamposa fanya hivyo hadharani vinginevyo utaenda kuaibika maana mwisho wa siku na wewe utaanza kutoa huduma ya kukanyaga mafuta kwenye kanisa lako ambayo umekuwa ukiiponda sana.
Thanks me later
🙏🏻🙏🏻🙏🏻🙏🏻
Ujinga ni zigo la misumari, endeleeni kuwatajirisha wajanja siku akili zikiwakaa fresh mtarudi kwenye mstari.Kwahio unachukia unataka hadi kutokwa roho kwa chuki na wivu kuona Mwamposa anafuatwa na mama yako dada zako na mkeo..? Unataka facts zipi sasa kijana wangu wakati mtu mnaye mtukana na kutamani afe au adondoke ndio kwanza hadi watu wasio wa dini yake wanaenda kwake kupata msaada? Watu hadi kutoka nchi za Africa Asia na Ulaya wanaenda Kawe kupata hitaji la moyo la Mungu wake...
Watanzania mnasumbuliwa na chuki wivu na ushirikina ndio maana mnakufa mapema, kazi yenu kushinda ktk mitandao kuwatukana watu waliofanikiwa...
WaTz wengi mmelaaniwa hamtakuja kufanikiwa
Tushajua we mfuasi wake.Mwamposa anafanya vitu vingi vizuri ambavyo dunia inavihitaji ndio maana anakuwa rewarded.
Kwanza anawaunganisha watu bila kujali tofauti ya dini zao.
Pili anawapa matumaini watu waliokata tamaa
Pole mtoto mzuri kwa kuliwa, inaonekana umeliwa sana hadi hujitambui...Ujinga ni zigo la misumari, endeleeni kuwatajirisha wajanja siku akili zikiwakaa fresh mtarudi kwenye mstari.
Wajinga ndio waliwao!!!
Unajua maana yakuretard weye,ni wapi kajoini??A retard mara ngapi?
Naomba nipewe ushahidi usio na mashaka kuwa Mazinge ameritadi.Kuna mambo hapa duniani huwezi kuyaelewa mpaka Likud akueleweshe.
Nianze kwa ku declare interest.
Am neither a Christian nor a Muslim.
Mimi sio Mkristu wala si muislamu.
Ingawa nimezaliwa sio tu kwenye familia ya kiislamu bali natoka kwenye kabila ambalo asilimia 99.9 ni waislamu.
So huko mtaani naweza kuwa nadhaniwa ni muislamu kutokana na majina yangu etc.
However sina noma na uislamu
Sina noma na ukristu. Naziheshimu imani hizo mbili pamoja na watu wake wote.
Nimetoka kwenye dini hizo ambazo zimeletwa na wageni kutoka nje ya Afrika kwa sababu nilijipima na kujiona hakuna mahala popote ambapo mafundisho ya dini hizo yanasimama pamoja na Mimi wala mahali ambapo Mimi ninasimama na dini hizo.
Nikiweka kwenye kiingereza unaweza kunielewa vizuri zaidi. I have left foreign religions cause I dont see anywhere where they stand with me or rather where I stand with them.
Dini yangu ninayo ifuata which is my own creation ni " Nuru/ Mwangaza"
Ni mfuasi wa Nuru. Ninaifuata Nuru bila kujali nani kaibeba.
I am a desciple of the Light. I follow the Light without giving a heck who carries it
Tuje kwa ishu ya Mwamposa.
Huko mtaani kuna kanuni moja ambayo huwezi fundishwa shule inasema hivi
" Ukiona mtu anatengeneza hela nyingi kuliko wewe more especially kwenye biashara ile ile unayo ifanya wewe tafsiri yake ni kwamba mtu huyo ana akili nyingi kushinda wewe kwa sababu pesa hutafutwa kwa kutumia akili"
So lazima umuheshimu mtu alie kuzidi Cause he knows that which thou know not.
Niliwahi kuandika hapa before kwamba Mwamposa anapaswa kuheshimiwa kwa sababu ana kitu ndani yake ambacho wengi hawana.
Anajua vitu vingi kuliko wengi ndio maana anafanikiwa zaidi kwenye huduma yake kushinda wengine.
Nimenotice kwamba watu wengi ambao wanamsema vibaya Mwamposa huishia kuanguka kwenye mambo wanayo yafanya.
Ni kama vile kuna malaika ambao wamekuwa appointed kushindana na wale ambao wanashindana nae.
Mifano kadhaa. Kuna mwanasiasa mmoja aliwahi kuongea shit kuhusu Mwamposa baada ya sakata la vifo kule Moshi, hakuchukua round she was called to meet with the Lord.
Mazinge mara nyingi amekuwa akimponda Mwamposa sasa hivi ame retard.
Anashirikiana na watu wanao uchafua uislamu hadharani..
Anapingana na mafundisho ya Qur'aan hadharani .
Mazinge huyu huyu ambae kuna kipindi alikuwa ana act as if he was the Deputy to the Prophet ( Peace be upon him) now anafanya vitu ambavyo hata Mimi ambae nilikuwa muumini wa kawaida tu siwezi kufanya.
Nikikumbuka Mazinge alivyo kuwa anamchana Mzee Yusufu baada ya kurudi kwenye Taarab na vitu anavyo fanya sasa hivi napigwa na butwaa.
Soon mtasikia Mazinge kawa mlokole just mark my words.
As far as his place in Islam is concerned, Mazinge is going down in a hurry.
MCH. MOSES MAGEMBE.
Kwa muda wa miaka miwili Mzee Moses Magembe amekuwa akimponda sana Mwamposa kwa mafumbo yeye na huduma yake.
Now amejitoa TAG na sababu kubwa itakuwa ni Maslahi tu hakuna cha kusema kanisa limekufa blah blah blah.
Ni kwamba ipo wazi kama ya mbuzi watu wake wa karibu watakuwa wamemjaza kwamba sasa hivi wewe tayari ni maarufu kwenye mitandao ya kijamii. Toka TAG anzisha kanisa lako.
Ndio maana mara baada ya kanisa lake kuanza he is braging kwamba ana wafuasi mia 7..
Why talking about the numbers?
Watu wake wa karibu hawaja mjulisha Mzee we watu kwamba watu wanampenda kwa sababu ya ile lafudhi yake ya kisukuma na mannerisms za wachungaji wa kilokole wa kizamani plus style yake ya kuongea kwa kufoka lakini huwa hana mahubiri ya maana kihivyo zaidi ya kuponda wachungaji wenzake...
Kauli ya askofu wa TAG baada ya Magembe kuasi Team Magembe wanatakiwa kuitafakari sana.
Alisema hivi tairi likichomoka kwenye gari kipi kinacho enda mwendo mrefu zaidi kati ya tairi lililochomoka na gari?
Mzee Magembe muombe radhi Mwamposa fanya hivyo hadharani vinginevyo utaenda kuaibika maana mwisho wa siku na wewe utaanza kutoa huduma ya kukanyaga mafuta kwenye kanisa lako ambayo umekuwa ukiiponda sana.
Thanks me later
🙏🏻🙏🏻🙏🏻🙏🏻
Kasoro mimi tu.Majini ya mwamposa ni makali, ukimzingua yanakuzingua.
Upako unatembea kama radi.
Nchi nzima tumekuwa mazombi ya mwamposa!
wewe unafaa kuitwa PUMBAVU promaxMtumish inasema kwamba wewe ni muumini wa Nuru halafu hapo hapo unapinga kuwa wewe siyo mkristo
Nuru ni YESU KRISTO MFALME WA WAFALME
Kwahiyo kama wewe ni muumini wa Nuru bas kaa ukijua kuwa wewe ni mfuasi mtiifu wa YESU KRISTO
YESU KRISTO anakupenda sana karibu kwa BWANA tujiunge wote kkkt
netanyahu na makombora yake anamsubiri uyo kristo aje na upangaKuhusu huyo mazinge nazan katika mabishano ya dini ambayo huwa anayafanya huenda kakutana na Nuru ya KRISTO YESU mwenyewe
YESU KRISTO akikutaka ni ngumu kuchomoa , na ukimuona mtu siyo mkristo jua kabisa kwamba huyo KRISTO YESU mwenyewe hajamtaka ha hamuhitaji , YESU KRISTO akikutaka utashangaa sana , ni mwema sana na huwa anawatokea yeye mwenyewe
KRISTO TUMAINI LETU
mashudu promaxMashudu matupu
Hakuna kitu upuuzi na utapeli tu,kama ivyo ndivyo, kwanini asiende mahospitalini akawaponye wagonjwa!!,,hii inanikumbusha pia enzi zilee za kikombe cha babu loliondo kuna wagonjwa walikufa kwasababu yakutoka hospitali na kufata kikombe cha babu, yaani hawa jamaa uwafanya watu wengine hamnazo kabisaa.Na viongozi wote wanaoenda pale wanapata vyeo na nafasi nzuri.mfano makonda alipofulia alienda pale. Chalamila alipotumbuliwa alienda pale na wengine wengi sahivi wote wanamashavu ya maana..
Kuna kitu pale sio bure..
Mjinga na fukara wa akili kama wewe lazima uwe shabiki wa MATAPELI na WAJINGAWAJINGA wenzako.Pole mtoto mzuri kwa kuliwa, inaonekana umeliwa sana hadi hujitambui...
Ila how comes mtoto wa kiume unajiita komasava...? 💩💩💩 hiyo ni dalili kwamba wanaume washakufukua marinda huna tofauti na mama yako, tafuta muarabu akuweke ndani...Mjinga na fukara wa akili kama wewe lazima uwe shabiki wa MATAPELI na WAJINGAWAJINGA wenzako.
Nikusaidie tu kama unakosa point za kujenga hoja bora ukae kimya maana unaanza kudhihirisha UJINGA uliyokujaa kichwani.Ila how comes mtoto wa kiume unajiita komasava...? 💩💩💩 hiyo ni dalili kwamba wanaume washakufukua marinda huna tofauti na mama yako, tafuta muarabu akuweke ndani...
Hivyo ndivyo mimi fukara wa akili ninavyoweza kutambua wasengerema kama wewe
Umeona ulivyo mweupe kichwani? Umeona ambavyo ni kweli huna marinda wewe?Nikusaidie tu kama unakosa point za kujenga hoja bora ukae kimya maana unaanza kudhihirisha UJINGA uliyokujaa kichwani.
Personal attacks hazitakupa USHINDI popote pale utakapokuwa unafanya mdahalo ila itakuchoresha zaidi na kukuonyesha umepanick.
#Rudi kwenye hoja acha mbambamba!!!