Namuona Mwamposa nyuma ya anguko la kiroho la Mch. Moses Magembe na Ustaz Mazinge

Umeona ulivyo mweupe kichwani? Umeona ambavyo ni kweli huna marinda wewe?
Mwanaume rijali hawez kuandika "acha mbambamba.." in any means ushashikishwa ukuta...

Haya rudi sasa ktk hoja acha kuandika vijembe kama hanisi
Umeshakula kwanza bwana mdogo embu weka namba yako nikutumie hela ukale. Unaonekana unanjaaa.

Yaani matusi yanakutoka mishipa imekukaza unatukana hovyo kisa kumtetea tapeli wako😄😄😄

Ipo siku utajidharau sana kwa huu ujinga unaouamini.
 
Duuh
 
Umejichanganya sana kwenye andiko lako.
Lisome tena then tafakari unasimamia nini?!
 
Mwamposa ataanguka na kupooza kama hao wawili. Hakuna dini ya kigeni inaweza kumfikisha mswahili popote.
 


Yesu aliwahi kunipa nguvu katika Njozi .Nikazitumia kuwashinda mapepo na nguvu za giza za kila aina . Yaani mapepo yote. Nilipojaribu kumfuata shetani ili naye nipambane naye kwa namna ile ile nilivyotumia kuwashinda mapepo, Yesu aliniwahi na kuniambia huyo hutamuweza .Huyo nitamuweza mimi mwenyewe .

Nikagundua kuwa Shetani ni very powerfull . Ndio maana anaitwa mungu wa dunia. Yesu pekee ndiye aliyeweza kumshinda shetani. Hakuna mtume wala Nabii aliyemshinda Shetani bila nguvu za Kristo .
Kama Yesu akitaka kumbadili Mazinge amtumikie basi ni sekunde.


Yesu alipotaka kuwainua watoto wa Mungu yaani Wakristo aliibadili mifumo yote ya dunia iwe chini ya Ukristo na alianza na Dola kubwa la Kirumi . Akawaweka chini ya miguu yake ndipo wakristo walipostawi na kuwa huru bila kusumbuliwa na mtu mpaka leo unasikia uhuru wa kuabudu. Hakuna mtu binafsi angeweza kupambana na Dola la Kirumi .
 
Ubalikiwe sana mtumish

Umetisha sana
 
Acha tabia za kichoko, unafuata wanaume wakufumue marinda... Si kila mtu anaendekeza huo ujinga...
 
Kwa Hali hii ya waTZ

Bora Mama aongeze tu idadi ya hao waChina naona hyo 300k hawatosh
Aongeze hata 2m.
Waje kujamiiana tu ipatikane hybrid yenye strong "upstairs".

NB
Tumelala mno.


End**
 
hakuna nchi iliyoendelea kwa mafuta wala takataka za unaoitwa upako watu wanafanya kazi maamae zenu acheni ujinga mleta uzi nawewe walewale tu maaneenerr ulianza kwa kujitia huna dini kumbe mffuasi kindakindani wa muuza mafuta ya alizeti SHAME
 
kuna dada mmoja ni mfuasi wa Mwampsa ,baada ya ndugu yangu kufiwa na mume wake eti akamfata anamwambia mume wake hajafaa yupo msukule anamuonaga.
Nikaamini hawa waumini wanachofundishwa huko ni kuja kuwa wehu sasa.wanajua eti hata kifo ni mipango ya shetani
 
Kuna Nuru halisi na nuru fake, kumbuka kila nuru ina chanzo chake na kila nuru lazima ikuelekeza njia na unapoifuata unafika unapopataka. Wewe unafuata nuru ipi?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…